Mzazi kama wewe ndy wale aina ya wazazi ambao wanaletewa mashitaka na watu,,Kwani kuchomekea kunaongeza ufaulu?
UmeuwaaMzazi kama wewe ndy wale aina ya wazazi ambao wanaletewa mashitaka na watu,,
Kwamba mtoto wako wa kiume ni shoga,,
Badala ya kuchukuwa hatua,
Unawajibu kwani matako ni yake?au yako?
Mwacheni mwanangu.
Baada ya kusema hayo jibu swali sasa... kuchomekea kutaongeza ufaulu?Mzazi kama wewe ndy wale aina ya wazazi ambao wanaletewa mashitaka na watu,,
Kwamba mtoto wako wa kiume ni shoga,,
Badala ya kuchukuwa hatua,
Unawajibu kwani matako ni yake?au yako?
Mwacheni mwanangu.
Katika jambo lolote bila DISCIPLINE hesabu maumivu.Baada ya kusema hayo jibu swali sasa... kuchomekea kutaongeza ufaulu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa wewe ukiletewa mashtaka Kama hayo utafanyaje?UTALIA au UTAMCHINJA huyo mwanao?Mzazi kama wewe ndy wale aina ya wazazi ambao wanaletewa mashitaka na watu,,
Kwamba mtoto wako wa kiume ni shoga,,
Badala ya kuchukuwa hatua,
Unawajibu kwani matako ni yake?au yako?
Mwacheni mwanangu.
Wape vidonge vyao.....wanadhani ukichomekea ndio utafaulu Kama zero Ni zero tu,hebu waache ukoloni mamboleoWaacheni madogo wavae wanavyotaka fatilieni mifumo ya elimu punguzeni masomo ambayo hayana maana mavazi sio jambo zito mbona shule za wenzetu mbele uko wanavaa mavazi yao ya kawaida tu mambo ya uniform yatolewe tu
Miaka ya saizi unataka umvalishe mtoto suruali la malinda na shati kubwa utadhani miaka ya 80 kwani ndo nidhamu toeni ukoloni waacheni watoto wavae kulingana na generation yao
We ni mwanafunz, angalia watoto wanaofaulu siku zote wako smart, hawanaga kwenda na wakati. Kuvaa ni nidhamu, nidhamu ndo Kila kitu Katika ufaulu wa mwanafunzi.Wape vidonge vyao.....wanadhani ukichomekea ndio utafaulu Kama zero Ni zero tu,hebu waache ukoloni mamboleo
Ujue wazungu wanajielewa kuliko Wabongo?Waacheni madogo wavae wanavyotaka fatilieni mifumo ya elimu punguzeni masomo ambayo hayana maana mavazi sio jambo zito mbona shule za wenzetu mbele uko wanavaa mavazi yao ya kawaida tu mambo ya uniform yatolewe tu
Miaka ya saizi unataka umvalishe mtoto suruali la malinda na shati kubwa utadhani miaka ya 80 kwani ndo nidhamu toeni ukoloni waacheni watoto wavae kulingana na generation yao
Upuuzi wa kukariri kila kitu sijui tutajikomboa lini waafrica....kwa vile wazungu walichomekea machati eti ili ufaulu lazima uchomekee shati.sio kweli kabisa....Basi Walokole woooote walitakiwa ndio wawe top ten kwenye matokeoWe ni mwanafunz, angalia watoto wanaofaulu siku zote wako smart, hawanaga kwenda na wakati. Kuvaa ni nidhamu, nidhamu ndo Kila kitu Katika ufaulu wa mwanafunzi.
Kutochomekea haimaanishi kua huna discipline. Labda kama umeambiwa "chomekea" na ukakaidi. Mwanzisha mada kaongelea pia watoto wanapokua mtaani kua hawachomekei uniform zao. Mm naona kama akitoka shule hata asipochomekea ni sawa tuKatika jambo lolote bila DISCIPLINE hesabu maumivu.
Iwe Maisha,
Ndoa,
Shule,
Michezo.
Kama huna discipline basi umekula hasara
FactKatika jambo lolote bila DISCIPLINE hesabu maumivu.
Iwe Maisha,
Ndoa,
Shule,
Michezo.
Kama huna discipline basi umekula hasara
Hmm..hapana. binafsi napinga hilo... kuchomekea haimaanishi kwamba ndio unanidhamu. Na sio kweli kwamba wanafunzi wanaochomekea wengi wana faulu...We ni mwanafunz, angalia watoto wanaofaulu siku zote wako smart, hawanaga kwenda na wakati. Kuvaa ni nidhamu, nidhamu ndo Kila kitu Katika ufaulu wa mwanafunzi.
Kama mwanafunzi hawez fuata agizo dogo tu la kuchomekea,ambalo halidhuru kitu je ataweza fuata maagizo yanayoumiza ya kwenda kutafuta vitini ajisomee?Baada ya kusema hayo jibu swali sasa... kuchomekea kutaongeza ufaulu?
Sent using Jamii Forums mobile app