Watoto wa shule sekondari siku hizi hawapendi kuchomekea! Nani alaumiwe kati ya Wizara, Wazazi au Walimu?

Watoto wa shule sekondari siku hizi hawapendi kuchomekea! Nani alaumiwe kati ya Wizara, Wazazi au Walimu?

Kuna vitu vya kuumiza kichwa, wanafunzi wanapenda kuwa tofauti, wakati nasoma nililing'amua hili, hata wakiambiwa wasichomekee basi wataanza kuchomekea, wakiambiwa hiki, watatakka kufanya vile, ili mradi waende kinyume na sheria.
 
Kuna vitu vya kuumiza kichwa, wanafunzi wanapenda kuwa tofauti, wakati nasoma nililing'amua hili, hata wakiambiwa wasichomekee basi wataanza kuchomekea, wakiambiwa hiki, watatakka kufanya vile, ili mradi waende kinyume na sheria.
True
 
Kuna vitu vya kuumiza kichwa, wanafunzi wanapenda kuwa tofauti, wakati nasoma nililing'amua hili, hata wakiambiwa wasichomekee basi wataanza kuchomekea, wakiambiwa hiki, watatakka kufanya vile, ili mradi waende kinyume na sheria.
Kwahiyo waachwe au
 
Ni mtihan kwa kweli mwaka huu mwezi wa pili kuna kijana alikua kwenye interview kwenye taasisi ya kidini tena ktk shule yan kwa jinsi yule mvulana alivyovaa hata kazi asingeweza kupata suruali njiwa, kishati kama cha mdogo wake, kaja kavaa kapero(kofia), kibegi kavuta ile mikanda kimebanana na mgongo huku kaeka ma head phone makubwa utasema kaitwa nafasi ya u dj kumbe nafasi ya accountant, yan tulichoka kwa ule muonekano
 
Jamii imeona walimu ni mafala fulani.
Walm wamejb kwa
1. Wanaenda kazn kusain mahudhurio
2.wanaanza kupga stori mpira, mbunye na madeni yao na kutia moyo taisha tu.
3.waandaa somo, nukuu 4. Wanaingia class kuwapgsha pind bov na swali lisilo na kiwango unawapa madogo
5. Unasaini kitabu kuwa umefundisha
6. Unaenda ka mama yoyo
7. Tar23 nawah nmb kuchukua laki 2 yangu, naenda kula mataptap na kulipa maden.
8. Januari wanafeli wote wanasiasa na jamii mnapga kelele siku 3 huku mkisia kaizirege
9.mei mosi mnafurahia hakuna ongezeko
10. Miaka 60 anastaf anapata mi 70.


11. Anakufa akiwa na miaka 72.5

Ova.
 
Ni mtihan kwa kweli mwaka huu mwezi wa pili kuna kijana alikua kwenye interview kwenye taasisi ya kidini tena ktk shule yan kwa jinsi yule mvulana alivyovaa hata kazi asingeweza kupata suruali njiwa, kishati kama cha mdogo wake, kaja kavaa kapero(kofia), kibegi kavuta ile mikanda kimebanana na mgongo huku kaeka ma head phone makubwa utasema kaitwa nafasi ya u dj kumbe nafasi ya accountant, yan tulichoka kwa ule muonekano
Aisee
 
Jamii imeona walimu ni mafala fulani.
Walm wamejb kwa
1. Wanaenda kazn kusain mahudhurio
2.wanaanza kupga stori mpira, mbunye na madeni yao na kutia moyo taisha tu.
3.waandaa somo, nukuu 4. Wanaingia class kuwapgsha pind bov na swali lisilo na kiwango unawapa madogo
5. Unasaini kitabu kuwa umefundisha
6. Unaenda ka mama yoyo
7. Tar23 nawah nmb kuchukua laki 2 yangu, naenda kula mataptap na kulipa maden.
8. Januari wanafeli wote wanasiasa na jamii mnapga kelele siku 3 huku mkisia kaizirege
9.mei mosi mnafurahia hakuna ongezeko
10. Miaka 60 anastaf anapata mi 70.


11. Anakufa akiwa na miaka 72.5

Ova.
Zaman walilipwa mamilion?
 
Yanatokea hayo MAWAZIRI ELIMU MPO, WAZIRI TAMISEMI UPO, Wakurugenzi mpo, maafisa elimu mpo, wakuu wa shule mpo, walimu mpo MNAANGALIA
Mkuu siasa imekua nyingi Sana katika Elimu,,, Mimi ni mwalimu hebu nishauri kidogo,,nimekutana na KESI Kama hizo kwa vijana,,nikawaeleza namna sahihi ya kuvaa kwa mara ya 1 na 2,, Ila bado hawakubadilika nikawata Tena tukazungumza kuhusu madahara ya jinsi ya wanavyo vaa,,, Ila bado hakubadilika nikawapa adhabu ndogo ya bakola mbili wazazi ,diwani Afsa Elimu, Mkuu wa wilaya wote wakaja juu watoto wasibuguziwe kisa saree,,, hapo natakiwa nifanye nn kurekebisha hiyo tabia
 
Mkuu siasa imekua nyingi Sana katika Elimu,,, Mimi ni mwalimu hebu nishauri kidogo,,nimekutana na KESI Kama hizo kwa vijana,,nikawaeleza namna sahihi ya kuvaa kwa mara ya 1 na 2,, Ila bado hawakubadilika nikawata Tena tukazungumza kuhusu madahara ya jinsi ya wanavyo vaa,,, Ila bado hakubadilika nikawapa adhabu ndogo ya bakola mbili wazazi ,diwani Afsa Elimu, Mkuu wa wilaya wote wakaja juu watoto wasibuguziwe kisa saree,,, hapo natakiwa nifanye nn kurekebisha hiyo tabia
Yaani ulipowacharaza alikuja DC na afisa elimu kukuambia usiwabughuzi!
Hakuna DC Mjinga hivyo asiyehoji kilichotokea!
 
Mim kama mwalimu mkuu.napita napiga mikasi vimodo vyote.kwanza mw wa nidham yupo wap?
Tegemea kesho kumuona ,diwan wazazi na Mkuu wa wilaya wakikupiga mkwara na waweza kula demotion ,, ##mzazi kwa Sasa ukisomesha mtoto shule ya kata jipange## usipo simama wewe umekula kwako walimu tusha choka tunangalia mshahara
 
Tegemea kesho kumuona ,diwan wazazi na Mkuu wa wilaya wakikupiga mkwara na waweza kula demotion ,, ##mzazi kwa Sasa ukisomesha mtoto shule ya kata jipange## usipo simama wewe umekula kwako walimu tusha choka tunangalia mshahara
Ooh
 
Inategemea na shule…

Shule niliyosoma mie hata ukikutwa stand hujachomekea au kuvaa skafu/ tai ni kesiii
 
Yaani ulipowacharaza alikuja DC na afisa elimu kukuambia usiwabughuzi!
Hakuna DC Mjinga hivyo asiyehoji kilichotokea!
Hapa ndo tatizo la mtanzania !.. Mkuu nakueleza kitu kilichotokea Tena sio chini ya Mara 3 ,,Mimi ni mwalimu na sioni faida ya kusema uongo take it or leave it!. I swear to the living God nachosema Ni kweli na sio story
 
Kwani walimu wenyewe wanaaje
Wanaume Wanavaa modo suruali imebana hana Mkanda, hana soksi, amevaa jeans
Wanawake wamevaa gauni fupi
Blauzi mabega wazi
Atakumbuka nidhamu ya uvaaji ya mwanafunzi
Upande wa wazazi ndo basi tena
Watoto hawana cha kujifunza kutoka aidha kwa wazazi au walimu
 
Hili bomu la utovu wa nidham nani analilea?

Unaweza kufikiri wizara ya elimu imebadili utamaduni wa uvaaji!

Siku hizi watoto wa shule za sekondari hususani hizi za kutwa hawapendi kabisa kuchomekea sare za shule, katika 100 utakuta watano tu ndiyo wanaochomekea!

Hata ukitazama hizo suruali wanazovaa nyingi ni njiwa (yaani hazifuniki kiwiko) Mashati yao ya shule mengi ni madogo hayafiki kiunoni (Vitopu) Wengine hawana hata vibebeo (mabegi) wanabeba daftali kitozi mkononi Haya yote yanatia sana mashaka tunaandaa wasomi gani

Je, hii style ya uvaaji tunaandaa watumishi wenye sifa gani huko baadae?

Je, nani anastahili hizo lawama? Wizara, wazazi au walimu?

Au tusubiri watumishi wasio na nidhamu baadae ndipo tuwakanye!?
Akili ya Mwanafunzi inapimwa kwa Kuchomekea Kwake Sare zake za Shule?

Wengine tumechapwa mno Bakora kwa Utundu, ila bado tulitusua vile vile Kitaaluma.

Kuna Shule moja Kinondoni ina Jina la Kiongozi mkubwa nchini na 24/7 Wanafunzi wake Wanachomekea Uniforms zao na wana Nidhamu mno ila Kila Matokeo ya Kidato cha Nne yakitoka huikosi katika Top Ten ya Mapopoma ( Wapumbavu ) je, hapo huko Kuchomekea Kwao kumewasaidia nini Kitaaluma?

GENTAMYCINE napenda mno na sana Wanafunzi Watukutu ( very Naughty) ila ni Werevu Kiasili na hata Shuleni pia Wanatusua ( Wanafaulu ) vyema.
 
Back
Top Bottom