Kwa ujumla nidham ya wanafunz wengi imeshuka especially shule za kata, siasa zimetawala sana unakuta mtoto anafanya makosa wakuu wa shule wanogopa kutoa adhabu kwa sababu za kisiasa kuwa wataonekani hawajali, coz suala hilo ataingiloa diwan, M/Kiti wa chama, mtendaji wa kata/mtaa/kijiji, so siasa zimezidi sana,
Lakin pia mzazi haoni umuhimu wa kumfatilia mwanane coz elimu ni bure lakini kungekuepo na ada angefatilia koz anasikia uchungu kwa ada yake, sasa halip ada anafatilia nini, mwisho wa siku nidhamu inaporomoka na ufaulu unashuka