Interlacustrine R
JF-Expert Member
- Jan 22, 2022
- 7,186
- 14,274
Kuna Binamu yangu wa kiume amemlanda Mjomba wake urefu + sura + rangi ya ngozi + utembeaji + uongeaji hadi sauti.Wapo ambao hawana ufanano na baba
Nadhani DNA ndio muokozi wa haya mamboIt's really confusing, lakini mambo ya DNA yana vitu vingi.
We umefanana na nani?π€£π€£π€£π€£π€£π€£dah
Shauri zakoWapo ambao hawana ufanano na baba
Wakati mwingine unakuwa hujaibiwa, ila inatokea tuπ π€£ Mimi huwa nasema hili... Hata dunia igeuke juu chini, Mtoto yeyote wa kike au kiume lazima afanane na Baba... Ikiwa tofaut jibu ni jepesi umeibiwa...
πππlazima mtoto atafanana na wazazi wote wawili.... wewe huwezi ona ila watu wanaona.... tofauti na hapo, umepigwa!!
Angalia usije ukafanya mauaji, pale atakapofanana na wajomba zakeMwezi wa 10 tampokea first born wangu .jembe lazma lichukue ata kisogo Changu asee DNA ya familia
hii [emoji81]
Kabisa mkuu, kuliko kuishi ukiwa vuguvugu ni kheri ukaeleweka kama ni moto au baridi.Nadhani DNA ndio muokozi wa haya mambo
Kwa baba sipo kwa mama sipo π€£π€£π€£We umefanana na nani?
Tunaomba ufafanuziUsilee NIDA ya mutu braza.
Wajomba wengi ndio wazaz wa watoto kwenye ndoa zenu.
View attachment 2623176
Hapo kuna tatizoKwa baba sipo kwa mama sipo π€£π€£π€£
Sijui labda baba wakubwa na wajomba
Kagua ukiona mjomba anajifanya kutoa upendo wa kufanana na baba... Anza ukaguzi mapema sana.Tunaomba ufafanuzi
πππHapo kuna tatizo
Hata vidole tu, Mimi nimefanana na mama ila vidole na kucha za mkono na mguu,mwamba huyu hapaKwa namna yeyote Ile "lazima" mtoto awe na ufanano wowote ule na baba yake.
Mimi nimewagomea Ukoo mzimaMwezi wa 10 tampokea first born wangu .jembe lazma lichukue ata kisogo Changu asee DNA ya familia
hii [emoji81]