Watoto wanaochukua mfanano wa mama zao au wajomba zao; sisi baba zao huwa tunakuwa katika wakati mgumu sana

Sahih Muslim 311

Anas b. Malik reported that Umm Sulaim narrated it that she asked the Messenger of Allah (ﷺ) about a woman who sees in a dream what a man sees (sexual dream). The Messenger of Allah (may peace be upon bi m) said:
In case a woman sees that, she must take a bath. Umm Sulaim said: I was bashful on account of that and said: Does it happen? Upon this the Messenger of Allah (ﷺ) said: Yes (it does happen), otherwise how can (a child) resemble her? Man's discharge (i. e. sperm) is thick and white and the discharge of woman is thin and yellow; so the resemblance comes from the one whose genes prevail or dominate
 
Mtume Muhammad (pece be upon him) alishayajibu haya maswali miaka 1400 iliyopita kabla hata ya ujio wa modern science. Sasa hivi wanaojiita wanasayansi ndio wanakuja kuthibitisha yale yaliyosemwa na Mtume wa Mungu miaka 1400 iliyopita
 
Mungu ameniepusha na kikombe hicho! Vyuma vyote ukiviona na mimi, huulizi[emoji2956]
 
_______________________________________________
Nimepigia mstari[emoji41]
_______________________________________________
 

Volume 7, Book 63, Number 225:
 
Ukiona mtoto hafanani na wewe jua kuwa ulipokutanana na huyo mwanamke ulichelewa kumwaga kabla yake. Anayewahi kumwaga (kufika mshindo) pindi mume na mke wanapokutana ndio hupelekea mtoto kufanana nae.
Mke wangu alitangulia kumwaga mambao ma2 yote..lkn toto limetoka mm kabsa yaan!
 
ni matukio ya kawaida katika jamii hayajaanza leo sema ulimwengu wa sasa hauna uvumilivu wa kutunza siri.
kuna kabila fulani wanawake walisema kuwa katika watoto labda saba wawili wanaweza kuwa wa baba tofauti ili kuongeza breed mpya kwenye familia na kingine iwapo iwapo ikatokea uchawi kwenye familia ikaua watoto wa ukoo mmoja hawa wawili wanaweza kupona na familia ikaendelea kuwa na furaha.
kingine iwapo watoto au ukoo una watoto wanachangamoto mama anaweza kuchanganya
vinginevyo kwa mjini shida(tamaa) zao kikakatikia akaogopa kutoa mtoto akazaliwa!
 
Hapo haina aja ya kupima DNA, inshort umepigwa sana mkuu... Shauri yako

Mtoto lazima afanane na baba hata kope tuu kama hivyo vingine hataki kufanana na wewe .
amini na kwambia.
 
Pole mkuu. Lea tu
 

Ushapigwa, huwezi kosa kitu kimoja unachofanana na mwanao, kata kucha, any unique feature
 
Kuna mtu aliniambia shahawa za ukubwani above 30 zinapungua nguvu ya kufananisha mtoto na baba yake

Tofauti na shahawa za ujanani under 30

Nikacheka sana hoja yake
Bora ata umecheka,
Mzee wangu kaanza kupata watoto wake akiwa 36 years. Tuko wanne kwetu. Mmoja tuu ndo kafanana na mama,wengine baba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…