Watu 48 waokolewa mafuriko Morogoro

Mkuu wa Wilaya ya Morogoro, Albert Msando amewasili mapema asubuhi leo Ijumaa Januari 13, 2023 eneo la Kihonda mahali ambako wananchi wameathirika zaidi huku akisaidia kuokoa watu na mali zao.
👍
 
13 January 2023
Morogoro, Tanzania

Wananchi wanyooshea kidole mradi wa reli SGR

 
Haiwezekani mvua ya Moro kujaza mto Msimbazi
 
Asante ila tambua mvua haipigi ila inanyesha!,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…