Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ule nao unakuwaga kama wa kiganga, mamlaka zenyewe hazijipangi- kamati ya maafa na majanga kama vile ipo kwenye makaratasi tuKuna wapuuzi humu walikuwa wanabeza utabiri wa TMA.
Mkuu, vikosi gani tena ? Sijui kama Morogoro kuna wavuvi🤫Poleni sana vitengo vya dharura na uokozi vikae tayari kwa lolote! Huu sio wakati wa kwenda kazini kwa mazoea
Mbuyuni, Maduka 10 huku Tumelowa ndugu yanguWale wakazi wa kihonda mitaa ya pembeni na mwendokasi Darajani pale kwenda Azimio sahz wamelowa.
Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app
Ndio ujiandae kumpokea mgeni. Ahadi ni deniInyeshe sana inyeshe tenaa
Kihonda MWENDOKASI, Jibu lipo hapo, Kihonda palikuwa sio sehemu ya kutokea mafuriko, yatoke wapi?Ule nao unakuwaga kama wa kiganga ,mamlaka zenyewe hazijipangi- kamati ya maafa na majanga kama vile ipo kwenye makaratasi tu
Hili eneo ni baya mvua ikitwangwa Mindu maafa yanatokea hapoMbuyuni, Maduka 10 huku Tumelowa ndugu yangu
Kuna hili eneo pia la barabara ya Dodoma maeneo ya kanisani kabla hujafika mazimbu road maji yamepita juu ya barabara. Inabidi serikali ibomoe barabara hiyo iinuliwe juu au kuweka makaravati mengi kupitisha maji. Wahandisi wanelewa zaidi.Hili eneo ni baya mvua ikitwangwa Mindu maafa yanatokea hapo
Kama vile vya Kagera?Poleni sana vitengo vya dharura na uokozi vikae tayari kwa lolote! Huu sio wakati wa kwenda kazini kwa mazoea
Hahahah sina utani na mamlaka mkuu[emoji1544][emoji1787][emoji1550]
Hahah asiyeamini uwepo wa methali aje asome hapa,ule usemi wa kufa kufaana sasa hii ndo maana yake.Poleni sana hayo maji yatajaza bwawa la umeme .
Magari yenyewe yamesimama kutembeaNimeongea na ndugu anema ni balaa kwa walio bondeni! Ameshindwa kwenda kazini!
Mimi sijasema huko[emoji1544][emoji1550][emoji2]Kama vile vya Kagera?