Binti Sayuni03
JF-Expert Member
- Jan 21, 2025
- 1,075
- 1,913
- Thread starter
-
- #81
Mnatukosea sana aisee kuomba msamaha unapokosea ni muhimu jitahidini muwe mnafanya hivyoHii kitaalam tunaita GG au BOTH TEAM TO SCORE. Hii ndo defense mechanism yangu kubwa sana kwa Manzi, siku zote huwa natafuta kubalance mzani🤔
Duh! Sasa ilikuwaje ulifanikiwa kuzipata?Ni hatari sana nilihama kabisa Sasa kuna baadhi ya nyaraka zangu zilibaki kwake,nikawa nashughulikia mambo fulani ya kifedha kumwuliza akasema hazipo.Pale ndo nkajua like jini bahati nikaomba watu wa kazini nilipoacha wanitafutie zingine.Utamu upo hapa.
Hao ni wakongwe wamekuja kivingine😀😀Kuna ID's za 2024 na 2025 za moto sana,,,, ! Uzi kila siku, ama kwa siku uzi kadhaa ,,, content ngono /mahusiano! Nn shida ? Mkiona mahusiano hayakupendi achana nayo fanya mengine
Ninajishusha sana ila hapa naona nafika mwishoUngesema alichokosea tuone uzito wake. Ila ukweli ni kwamba HAKUNA mwanaume mkorofi kwa mwanamke mnyenyekevu
Ndio nimezipta Jana mkuu fikiri ni pesa za mafao.Halafu anachunguza kama nimepata au lah na nimetoka mkoani kufuatilia.Duh! Sasa ilikuwaje ulifanikiwa kuzipata?
Kwani huku kuna mtu anapangiwa cha kupost??Hao ni wakongwe wamekuja kivingine😀😀
Kuna makosa naweza omba msamaha ila mengine lazima nigeuze kesi. Mfano amechukua simu yangu kaanza kupekua vitu, yaani hata akutane na video namcheat hiyo siwezi omba msamahaMnatukosea sana aisee kuomba msamaha unapokosea ni muhimu jitahidini muwe mnafanya hivyo
Kwahiyo hizo pesa zikiingia ina maana yeye ataona?Ndio nimezipta Jana mkuu fikiri ni pesa za mafao.Halafu anachunguza kama nimepata au lah na nimetoka mkoani kufuatilia.
Nimemjibu yule sio weweKwani huku kuna mtu anapangiwa cha kupost??
Nipe mbinu mkuudaaah
Sawa dearNimemjibu yule sio wewe
Kuna vizuri vipo kwako anaogopa kukuudhi moja kwa moja kwa sababu akianza yeye atashindwa kujirudisha.Kumbuka sio kwako tu.HUWA HAWAVUMILIKAGIWanaboa sana kama wamelazimishwa
Heeeeh! Kwanini usiombe msamaha sasa hapo?Kuna makosa naweza omba msamaha ila mengine lazima nigeuze kesi. Mfano amechukua simu yangu kaanza kupekua vitu, yaani hata akutane na video namcheat hiyo siwezi omba msamaha
na wewe unakua mbabeNipe mbinu mkuu
Haoni anajua bila docs sizipati,na lazima nimnyenyekee Sasa alishasema hazipo.Waweza ona alivyo katiliKwahiyo hizo pesa zikiingia ina maana yeye ataona?
Yaani niombe msamaha kwa vitu vilivyomo kwenye simu yangu!?Heeeeh! Kwanini usiombe msamaha sasa hapo?
Hapa sijakuelewa mkuuKuna vizuri vipo kwako anaogopa kukuudhi moja kwa moja kwa sababu akianza yeye atashindwa kujirudisha.Kumbuka sio kwako tu.HUWA HAWAVUMILIKAGI
Dah! 😁😁mimi niliomba nione anaechat nae maana niliona vikopa kopa aisee aligoma kunionyeshaYaani niombe msamaha kwa vitu vilivyomo kwenye simu yangu!?