The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Umeongea kitu cha maana sana mkuu,Kila mtu anafanya yake kwa namna alivyo na hulka yake...hatufanani kulingana na makabila au kanda zetu,kila aina ya watu ina mambo yake,hata kwenu kuna kituko chake japo huwezi kukisem
Hivyo vyote vipo kanda ya ziwa!?🤔🤔Uzinzi
Uchepukaji
Shemeji zangu wahaya ni watu wa hovyo sana,sipendi ile tabia yao ya ukabila.unakuta Mpo wote wao wanagonga kilugha tu.Shubaamiti zao sitoenda ukweni tena(Uhayani).Mjomba kuna wahaya wanaingia hpa nna jamaa zangu wa kihaya mjni hpa ukila nao jiandae kujionea maajabu mnakula changanyikeni lkn wao km wanakula kila mtu sahani ya peke yake
Ha hahShemeji zangu wahaya ni watu wa hovyo sana,sipendi ile tabia yao ya ukabila.unakuta Mpo wote wao wanagonga kilugha tu.Shubaamiti zao sitoenda ukweni tena(Uhayani).
watu wengi hawapendi kuambiwa madhaifu yaoUkiwaambia wanakuwa wakali kama pilipili.
Baada ya Dar es Salaam mji unaofuatia ni Mwanza kwa ukubwa na ujanja !! We unatokea mkoa au kanda ipi tulinganishe unachokizungumza ?!Picha linaanza,nimeenda ukweni kanda ya ziwa kulipa mahari.Siku hiyo walichinja Ng'ombe na msosi ulikuwa wa kutosha.Mda wa kula nakumbuka sisi tuliwekwa sehemu moja na wenyeji wetu wawili ili tusiwe wapweke,daah walivyokuwa wanalamba vidole wale mabwana hadi nikaghairi kula.Wenyewe wanasema kuwa haitakiwi mkono ubaki na mabaki ya chakula,kwahiyo wanalamba mikono haswa ili kuisafisha huku wanaendelea kula,pia hawajui kula sehemu moja.Mda huu atamega tonge upande huu,ila tonge la pili litamegwa upande ule na tonge la tatu litamegwa katikati...Nikamtumia meseji waif afanye mchakato aniletee chakula cha peke yangu,kweli kikaletwa nikala.Japo maneo ya chichini yaliongeleka kuwa sipendi kula sahani moja na wenyeji.
Baada ya kuwa mwenyeji hii kanda kwa takribani miaka minne ndo nimegundua kuwa ile siku ya mahari haikuwa bahati mbaya,watu wengi huku kuanzia Simiyu,Shinyanga,Mwanza hadi mara wapo hivyo.Kukuta mtu anakula huku anajichokonoa meno kwa vidole mbele za watu ni kawaida,kula na kukibehulia chakula ni kawaida,kula huku analamba vidole vyote vitano ni kawaida sana,Kula chakula bila kuchagua upande ndo kabisa hawa jamaa ni mafundi,wanadonoa chakula kama kuku.Inatia hasira sana na inakera kushuhudia watu wa namna hii.
Angalau kidogo kwa waliosoma soma na wale wenye exposure ya kusafiri sehemu mbalimbali ndo wanaunafuu.
USHAURI:Wazazi wa kanda ya ziwa wafundisheni vijana wenu ustaarabu wakati wa kula.
Kuna mashemeji zangu walikuja kunitembelea ila nikawaambia waziwazi kuwa sipendi kumuona mtu anakula hovyo kama mbwa hapa nyumbani kwangu.Walienda kusimulia huko walipotoka kuwa nina roho mbaya ila mimi sijali.
nmecheka kwa nguvu sana mpaka majirani wameshtukaIngetosha tu kusema wakwe zako wanakula kwa kulamba lamba vidole pia usisahau kuwataja kwa majina na kuweka namba zao za simu ili tuwape elimu
Ukubwa wa mji hau-determine tabia zao.Mbona Texas ni kubwa ila watu hawaachi kupigana risasi.Tabia inchochewa na utamaduni wa eneo husika.Baada ya Dar es Salaam mji unaofuatia ni Mwanza kwa ukubwa na ujanja !! We unatokea mkoa au kanda ipi tulinganishe unachokizungumza ?!
Sawa wewe mstarabu sana kwenu Tanga mnaunga Mkono upinde .Picha linaanza,nimeenda ukweni kanda ya ziwa kulipa mahari.Siku hiyo walichinja Ng'ombe na msosi ulikuwa wa kutosha.Mda wa kula nakumbuka sisi tuliwekwa sehemu moja na wenyeji wetu wawili ili tusiwe wapweke,daah walivyokuwa wanalamba vidole wale mabwana hadi nikaghairi kula.Wenyewe wanasema kuwa haitakiwi mkono ubaki na mabaki ya chakula,kwahiyo wanalamba mikono haswa ili kuisafisha huku wanaendelea kula,pia hawajui kula sehemu moja.Mda huu atamega tonge upande huu,ila tonge la pili litamegwa upande ule na tonge la tatu litamegwa katikati...Nikamtumia meseji waif afanye mchakato aniletee chakula cha peke yangu,kweli kikaletwa nikala.Japo maneo ya chichini yaliongeleka kuwa sipendi kula sahani moja na wenyeji.
Baada ya kuwa mwenyeji hii kanda kwa takribani miaka minne ndo nimegundua kuwa ile siku ya mahari haikuwa bahati mbaya,watu wengi huku kuanzia Simiyu,Shinyanga,Mwanza hadi mara wapo hivyo.Kukuta mtu anakula huku anajichokonoa meno kwa vidole mbele za watu ni kawaida,kula na kukibehulia chakula ni kawaida,kula huku analamba vidole vyote vitano ni kawaida sana,Kula chakula bila kuchagua upande ndo kabisa hawa jamaa ni mafundi,wanadonoa chakula kama kuku.Inatia hasira sana na inakera kushuhudia watu wa namna hii.
Angalau kidogo kwa waliosoma soma na wale wenye exposure ya kusafiri sehemu mbalimbali ndo wanaunafuu.
USHAURI:Wazazi wa kanda ya ziwa wafundisheni vijana wenu ustaarabu wakati wa kula.
Kuna mashemeji zangu walikuja kunitembelea ila nikawaambia waziwazi kuwa sipendi kumuona mtu anakula hovyo kama mbwa hapa nyumbani kwangu.Walienda kusimulia huko walipotoka kuwa nina roho mbaya ila mimi sijali.
Maana hata Ulaya wanasema sisi siyo Wastaarabu kwakuwa hatutaki Upinde hivyo dhana ya ustaarabu inategemea umekulia wapi.Huku kanda ya ziwa kila Mtu anawekewa bakuli lake la nyama lakini pwani bakuli moja finyango mbili watu sita. Hivyo acha kuleta mambo ya Pwani huku bara . Pwani wali mnaupa kipao mbele sana huku wala hauna nafasi kihivyo ndiyo maana hata kuula hatuuli kama nyie.Mimi sio mtu wa Tanga.Pia mambo ya upinde naona yapo sehemu nyingi hata huko kanda ya ziwa.Cha msingi tuamrishane yaliyo mazuri na tukatazane yaliyo mabaya
Pascal Mayalla akikusikiaMimi nikisemaga kuwa wasukuma ni watu wa hovyo huwa naonekana mbaguzi, hao watu waanzishiwe kule Mwanza chuo cha ustaarabu kuwe na kozi za namna ya kuongea, kula,kuvaa na namna ya kuishi na jamii zingine. Wasukuma ni watu wa hovyo sana bora masai