Watu wenye pesa/mafanikio wako very humble

Huyo jamaa yako ana ubishoo wa kizamani kinoma toka 97.Hata huku Iringa unapotea potea .
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamaa atakua ni bodaboda .....ndo story zao hizo....wakiwa wamelala juu ya pikipiki #kijiweni
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Yes again Yes. Kuna umasikini we akili ama maarifa ama emotional intelligence na Kuna umasikini we pesa na Mali.
Pia navyojua Mali ama mafanikio hayaendani na kujiinua kuonekana wewe Ni zaidi ya aliyekupa ama anayehakikisha wewe unapumua.
Yani Ni ngumu mno ukawa na pesa ya maana like mo, bill gate na ukawa na kiburi Ni ngumu. Huwa haviendani inabidi uwe humble ndio kanuni ya kuzidi kupata Mali. Yaani cheki matajiri wote hata Elon musk unapiga naye stori Kama kamshkaji fulani na ongea zao sio za kuji boast.

Mie nishafika sehemu nikaona kuwa yaani mafanikio na kuji proud havikai sehemu moja hata siku yaani narudia hakuna mwenye uwezo mkubwa mno akawa mwenye kiburi Ni wachache mno yaani rare case.
Hata appearance zao huwa Ni normal.
Since they don't feel Inadequacy, don't need any mattering,or validation from outside since they've already validated or fulfilled in their soul inside and not outside.
Real life is soul or spiritual searching ndio unapata mafanikio.
Mana imeandikwa nitafuteni mie na mie ama.mali Ni ziada tu
 
Hakika
 
Kwa ujumla watu masikini Wana kelele Sana.....
Hata baa za watu masikini zina makelele Sana ...

Kelele inaenda Sana na umasikini
Kelele inaenda Sana na kutosikia details...na watu wasiopenda details Wengi ndo masikini
Debe tupu huvuma zaidi. Bee don't bother to explain to flies how Honey is sweet than shiit.
Akipata tak00 hulia mbwata, n k
 
Hii kweli kabisa mwaka jana nilikutana na mzee mmoja aliniambia ana 57 yrs nikabaki nashangaa jinsi alivyo mwenye afya, mwili wa wastani nachokumbuka alisema yeye huwa hatumii kilevi chochote na hali vyakula vya wanga ndio mafanikio ya afya yake.
Ni mstaarabu sijawai ona yeye mpaka familia yake, ni mmiliki wa makampuni makubwa hapa nchini.
Kilichonivutia kwake zaidi ni afya.
 
hivi mnataka funguo tueke wapi labda. tuwe tunaacha kwa walinzi ama?
coz funguo mara nyingi inakuja na holder na hizi za kisasa ni liplastic tu lenye ukubwa wake, then tunaambatanisha na funguo zetu muhimu in case umetoka na usafiri wako usisahau funguo hizo muhimu ulipotoka.
sasa funguo zote hizo mnataka tueke mfukoni acheni ushamba bwana kuning'iniza funguo ni jambo la kawaida.
hizo hoja zingine ntaafiki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…