Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamaa atakua ni bodaboda .....ndo story zao hizo....wakiwa wamelala juu ya pikipiki #kijiweni
Yes again Yes. Kuna umasikini we akili ama maarifa ama emotional intelligence na Kuna umasikini we pesa na Mali.Habarini za wakati huu wakuu..
Nimegundua kwamba watu wengi (siyo wote) wenye pesa/mafanikio ya kweli wako very humble. Hadi naanzisha huu uzi, yapo matukio mengi yamethibitisha conclusion hii.
Jana jioni nilienda Morena Hotel Dodoma kujipumzisha. Nikiwa pale nikakutana na rafiki yangu niliyepotezana naye muda mrefu. Akaomba ani-join kwenye meza yangu. Alikuwa anakunywa maji makubwa. Tukawa tunastorisha, akaniambia kwa sasa yeye ni Mhandisi binafsi, aliacha kazi Serikalini akaamua ajiajiri.
Tukiwa tunaendelea na story, nikapigiwa simu na business partner wangu, akaja kutu-join. Kwanza partner alipofika tu alikuwa kaning'iniza funguo za gari kwenye lux, alipofika mezani akazitoa kiunoni akazianika mezani, sambamba na iphone zake mbili. Nikamtambulisha story zikaendelea.
Story zikiendelea, partner akapigiwa simu na client ambaye tunamdai, badala ya kwenda kuzungumzia pembeni au kwa sauti ya chini akawa anapayuka kwa kutaja hadi kiasi cha pesa tunachomdai akidhani kwamba kama ni kiasi kingi kwetu basi ni kingi kwa kila mtu. Sikushangaa kwasababu nimeshamzoea, yeye ni mtu flani hivi (wakubwa mmenielewa).
Baada ya muda kidogo Mhandisi akaagiza Hennessy VSOP Cognac ya 700ml. Akatuambia na sisi tuagize. Mimi nimeacha pombe, nikaagiza grand malt na coke. Nikamuona partner ana wasiwasi, uso wake umesawajika, ni kama alikuwa anajiuliza kuhusu bill. Akaagiza Heineken, akaletewa 6! Bill ikaja, Mhandisi akalipa, alikataa kabisa kushea au sisi kulipa. Taratibuuu, partner akachukua funguo za gari na simu mezani akaweka mfukoni [emoji28]..
Mhandisi akanywa Hennessy kidogo tu, ingine akabeba, akaomba tuhame pale, partner naye akabeba Heineken zake.
Ile tunafika parking, Mhandisi anasukuma Toyota Land Cruiser V8 VXR nadhani ni ya 2021 ile, partner ana Toyota Vanguard yake, akawa mpole sana. Msiulize mimi naendesha nini [emoji3]...
Mhandisi akaomba tumfate nyuma. Break ya kwanza Bambalaga. Aisee partner alilewa mpaka anauliza pale tuko wapi!
Tukaagana usiku wa saa saba, tukabadilishana contacts. Leo saa tatu asubuhi Mhandisi kanipigia, kuna mradi "X" amepata tender hapa Dodoma. Anataka tuwe Wanasheria wake, yaani tufanye 'retainership agreement', na anatulipa kwa mwaka mzima, leo hiihii amesha-deposit malipo yetu yote ya mwaka in millions. Partner amebaki mdomo wazi!
Mhandisi ni mpole sana. Anachagua maneno ya kuzungumza. Hana mbwembwe yeye ni vitendo tu.
Hii siyo scenario ya kwanza, ziko nyingi sana.
Kwahiyo ukiona mtu anajisifia sana, anaonesha possessions zake hadharani ili kila mtu ajue, ujue hamna kitu hapo. Anafanya hivi ili kujilinda. Kuna kitu najifunza hata whatsap status za matajiri ni tofauti sana na za masikini. Matajiri wengine huwa hawapost kabisa au wanapost mara mojamoja, na wakipost hawawezi kupost fitina au majungu.
Hata humu JF, wadau ambao wako vizuri sana huwezi kuwaona ni wajuaji. Hata namna wanavyo-comment au ku-post, ni tofauti sana na masikini na waigizaji wa maisha.
Maisha ni safari ndefu, naendelea kujifunza..
UlimbukeniMbona daimond na mwigulu hawako humble
HakikaHabarini za wakati huu wakuu..
Nimegundua kwamba watu wengi (siyo wote) wenye pesa/mafanikio ya kweli wako very humble. Hadi naanzisha huu uzi, yapo matukio mengi yamethibitisha conclusion hii.
Jana jioni nilienda Morena Hotel Dodoma kujipumzisha. Nikiwa pale nikakutana na rafiki yangu niliyepotezana naye muda mrefu. Akaomba ani-join kwenye meza yangu. Alikuwa anakunywa maji makubwa. Tukawa tunastorisha, akaniambia kwa sasa yeye ni Mhandisi binafsi, aliacha kazi Serikalini akaamua ajiajiri.
Tukiwa tunaendelea na story, nikapigiwa simu na business partner wangu, akaja kutu-join. Kwanza partner alipofika tu alikuwa kaning'iniza funguo za gari kwenye lux, alipofika mezani akazitoa kiunoni akazianika mezani, sambamba na iphone zake mbili. Nikamtambulisha story zikaendelea.
Story zikiendelea, partner akapigiwa simu na client ambaye tunamdai, badala ya kwenda kuzungumzia pembeni au kwa sauti ya chini akawa anapayuka kwa kutaja hadi kiasi cha pesa tunachomdai akidhani kwamba kama ni kiasi kingi kwetu basi ni kingi kwa kila mtu. Sikushangaa kwasababu nimeshamzoea, yeye ni mtu flani hivi (wakubwa mmenielewa).
Baada ya muda kidogo Mhandisi akaagiza Hennessy VSOP Cognac ya 700ml. Akatuambia na sisi tuagize. Mimi nimeacha pombe, nikaagiza grand malt na coke. Nikamuona partner ana wasiwasi, uso wake umesawajika, ni kama alikuwa anajiuliza kuhusu bill. Akaagiza Heineken, akaletewa 6! Bill ikaja, Mhandisi akalipa, alikataa kabisa kushea au sisi kulipa. Taratibuuu, partner akachukua funguo za gari na simu mezani akaweka mfukoni [emoji28]..
Mhandisi akanywa Hennessy kidogo tu, ingine akabeba, akaomba tuhame pale, partner naye akabeba Heineken zake.
Ile tunafika parking, Mhandisi anasukuma Toyota Land Cruiser V8 VXR nadhani ni ya 2021 ile, partner ana Toyota Vanguard yake, akawa mpole sana. Msiulize mimi naendesha nini [emoji3]...
Mhandisi akaomba tumfate nyuma. Break ya kwanza Bambalaga. Aisee partner alilewa mpaka anauliza pale tuko wapi!
Tukaagana usiku wa saa saba, tukabadilishana contacts. Leo saa tatu asubuhi Mhandisi kanipigia, kuna mradi "X" amepata tender hapa Dodoma. Anataka tuwe Wanasheria wake, yaani tufanye 'retainership agreement', na anatulipa kwa mwaka mzima, leo hiihii amesha-deposit malipo yetu yote ya mwaka in millions. Partner amebaki mdomo wazi!
Mhandisi ni mpole sana. Anachagua maneno ya kuzungumza. Hana mbwembwe yeye ni vitendo tu.
Hii siyo scenario ya kwanza, ziko nyingi sana.
Kwahiyo ukiona mtu anajisifia sana, anaonesha possessions zake hadharani ili kila mtu ajue, ujue hamna kitu hapo. Anafanya hivi ili kujilinda. Kuna kitu najifunza hata whatsap status za matajiri ni tofauti sana na za masikini. Matajiri wengine huwa hawapost kabisa au wanapost mara mojamoja, na wakipost hawawezi kupost fitina au majungu.
Hata humu JF, wadau ambao wako vizuri sana huwezi kuwaona ni wajuaji. Hata namna wanavyo-comment au ku-post, ni tofauti sana na masikini na waigizaji wa maisha.
Maisha ni safari ndefu, naendelea kujifunza..
Mtu akatokea kuchunga ng'ombe unadhani ataji behave vipi ,cheki raisi mwinyi zenj very humbleMbona daimond na mwigulu hawako humble
Debe tupu huvuma zaidi. Bee don't bother to explain to flies how Honey is sweet than shiit.Kwa ujumla watu masikini Wana kelele Sana.....
Hata baa za watu masikini zina makelele Sana ...
Kelele inaenda Sana na umasikini
Kelele inaenda Sana na kutosikia details...na watu wasiopenda details Wengi ndo masikini
Hii kweli kabisa mwaka jana nilikutana na mzee mmoja aliniambia ana 57 yrs nikabaki nashangaa jinsi alivyo mwenye afya, mwili wa wastani nachokumbuka alisema yeye huwa hatumii kilevi chochote na hali vyakula vya wanga ndio mafanikio ya afya yake.Mwenye hela huwa mpole na mwembamba wa wastani na muonekano wa afya njema.
Masikini huwa na maneno mengi sifa kwake hazishi, akikusaidia miaka 10 baadae atakumbusha msaada wake kwako. Pia afya zao huwa hafifu kula ovyo ovyo(kitambi kubwa)
Ukiwa tajiri wa hela kuwa tajiri wa afya pia.
Dah nimecheka mie,eti wakiwa wamelala juu ya pikipiki.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamaa atakua ni bodaboda .....ndo story zao hizo....wakiwa wamelala juu ya pikipiki #kijiweni
Ulishswahi ona chupa inapaka mtu mafuta?🤣Najua umenielewa mkuu [emoji23][emoji23]
Hapo unaepuka tu vita vya Mpwayungu kijanjakijanja [emoji28][emoji28]
......yeah hili pia ni kweli, ukining'iniza sio rahisi kuanguka, ndo maana kesi za kupoteza funguo za gari ni chache kuliko kupoteza za ofisini au home.....Sio kila anayening’iniza ni show offs. Wengine ni kwa usalama zaidi..
Fata maisha yakoSijui kwanini nimemkumbuka mpwayungu village bila sababu.
Nadhani kwa vile ni tajiri yetu wa jf mpole na hana mbambamba
Walimu ni maboya [emoji23][emoji23][emoji23]Usinigombanishe na tajiri mpwayungu village mkuu.
Anawatafutia waalimu kazi mbadala waachane na kazi anazoziita za laana yani kuchezea chaki.
Mimi ni nani nimseme?[emoji23][emoji23]
HaswaFata maisha yako