Walnut Creek
JF-Expert Member
- Mar 17, 2009
- 5,830
- 6,315
Hamna vita ya ndani iliyokuwa inandoa above 80% ya ethinic group ndani ya bara lolote.Unafahamu vita vilivyo kuwepo kati ya hizo jamii na wazungu wakati wana fika katika hayo maeneo ?
Nadhani hapo ndipo tunakosea, Waafrika wengi wanakosa exposure na tuliona dunia tuna jukumu na kuwaambia ukweli. Pia ifike mahali shuleni waambie historia ya kweli ya Afrika sababu hata ukiangilia kinachotokea enzi hizi kilitoka huko Angola na Congo kwenye 16th century. Uwanawambia watu ni suala la muda tu wataanza kuja kuchukua mali zetu kwa nguvu tena. Haiwezakana kila mtu ana invest kwenye defense na bara la afrika tunacheka cheka tu.Naomba usihangaike kuwa elimisha hawa machizi na malimbukeni kwa kumwona mzungu ni kila kitu kwa sababu za movie za Hollywood!
Tupa baharini samaki wale!
Huyo Mungu wa namna hiyo ni mpumbavu, tuliza kichwa soma andiko nawe ni sample ile ile kuwa watu weusi hatuna akili maana ulicho andika kina thibitisha hilo.
Umemshambulia mtoa mada bure kbs bila kutoa hoja juu ya hoja yake! Ni vzr ungemueleza ni Nchi gan Africa imepiga hatua kubwa kimaendeleo angalau kufikia hatua za Asia na magharib, issue ya ushoga haikua na mantiki kuiweka kweny hoja maan hiyo ni tabia ya watu haihusian na maendeleo ya nchi au utawala bora!!
Bora tuwe na mashoga ila wanajua kuipangilia nchi na kila kitu kinapatikana kwa muda unaofaa,Kuliko kuwa na Viongozi kama wa wakati huu akili zao wanawaza kukopa tu kila siku.
Hela wanakopeshwa wanakuja kununua mabasi,Magari ya kubeba Makaa ya mawe na kujenga majumba kwa manufaa yao tu na kuwasahau watanzania wenzao, huku wanazuga na mabaibui na matai ya bendera ya Taifa.
Nawajua na nyie mna haki zenu duniani ....ila motoni kuni Mingi sana.Mashoga unawajua au unaongea kwa jazba tu kujifurahisha??!
Kwahiyo nn kifanyike ili kulikomboa bara la Africa toka kwa wakoloni weusi?Ni akili ya mtu asiyefikiri kabisa na asiyejua siasa za dunia ndiye anayeweza kuona ili tuendelee inabidi tuwakabidhi nchi yetu wageni watutawale, kumkabidhi mgeni nchi yako ni sawa na kurudisha Ukoloni, Ukoloni maana yake wewe mwenyewe unakosa Uhuru na unakuwa mtumwa ndani ya nchi yako mwenyewe, (you wilingly become submissive to the colonisers), kuacha nchi yako kwa wageniwakutawale/wakuongoze haina tofauti sana na kumtoa rehani mkeo, sasa wehu wa aina hiyo tunatakiwa tuujibu kwa nasaha na taaradhi??!!
Kuna kizazi fulani, mpaka kiishe hicho.Kwa kuwa bado sisi watu weusi maarufu kama Waafrika hatuja pata akili ni vyema basi swala zima la uongozi tuachie wazungu na watu jamii za mashariki mwa asia ya mbali (wachina, wajapan, wakorea .........)
Sisi kama watu weusi cha kufanya sasa kuanzisha mpango kabambe wa kukopa watu kutoka katika hizo jamii ili waje katika mataifa yetu ili kutu ongoza.
Taifa kama la Tanzania lina hitaji kukopa watu wengi sana kutoka katika hizo jamii na kupewa uraia wa kudumu kabisa hapa nchini ili waje kutuongoza.
Tuna hitaji pia kuchanganya damu kwa kasi na hawa watu kwa manufaa ya mataifa yetu. Tuna hitaji kuwaachia nchi hawa watu watuongoze kwa zaidi ya miaka mia moja (100) mpaka pale tutakapo ona kuwa sasa tumepata akili ndipo tutaanza kujipenyeza kwenye uongozi na sisi kuongoza.
South Africa makaburu walifanya kosa kubwa sana kuwa achia uongozi watu weusi sasa matokeo ya makosa yao wana yalipia.
Nyerere alikuwa hafahamu anacho kipigania.
Trump alikuwa sahihi ni vyema tuki rejea ushauri bora kabisa kutoka kwa bwana Trump kwa ajili yetu.
MTU MWEUSI HAPASWI KUWA KIONGOZI KWA SASA MPAKA PALE ATAKAPO PATA AKILI.
Kijana unavuka mipaka, kuwa makini.actually mtu mweusi hapashwi kuishi , Mungu angeliwafuta kwenye uso wa dunia na kuwaumba bada ya miaka 1,000,000
Hata wewe HUN AKILINawashangaa wengi mnaotetea ujinga wa mleta mada, kama mnakubaliana hamna akili ni nyie, sio wote.
Ni kweli kabisa akitawala hunyofoa vipengele vya ukomo wa mwenyekiti ili aongoze milele!actually mtu mweusi hapashwi kuishi , Mungu angeliwafuta kwenye uso wa dunia na kuwaumba bada ya miaka 1,000,000
CrapKwa kuwa bado sisi watu weusi maarufu kama Waafrika hatuja pata akili ni vyema basi swala zima la uongozi tuachie wazungu na watu jamii za mashariki mwa asia ya mbali (wachina, wajapan, wakorea .........)
Sisi kama watu weusi cha kufanya sasa kuanzisha mpango kabambe wa kukopa watu kutoka katika hizo jamii ili waje katika mataifa yetu ili kutu ongoza.
Taifa kama la Tanzania lina hitaji kukopa watu wengi sana kutoka katika hizo jamii na kupewa uraia wa kudumu kabisa hapa nchini ili waje kutuongoza.
Tuna hitaji pia kuchanganya damu kwa kasi na hawa watu kwa manufaa ya mataifa yetu. Tuna hitaji kuwaachia nchi hawa watu watuongoze kwa zaidi ya miaka mia moja (100) mpaka pale tutakapo ona kuwa sasa tumepata akili ndipo tutaanza kujipenyeza kwenye uongozi na sisi kuongoza.
South Africa makaburu walifanya kosa kubwa sana kuwa achia uongozi watu weusi sasa matokeo ya makosa yao wana yalipia.
Nyerere alikuwa hafahamu anacho kipigania.
Trump alikuwa sahihi ni vyema tuki rejea ushauri bora kabisa kutoka kwa bwana Trump kwa ajili yetu.
MTU MWEUSI HAPASWI KUWA KIONGOZI KWA SASA MPAKA PALE ATAKAPO PATA AKILI.
Mkuu Asiwaju, kwa hiyo unashauri kwamba sisi tunaweza tu tukatangaza tenda yaMakaburu wa kijerumani wanainasidia sana Botswana.
Mkuu kwa hiyo sisi hatuna akili au akili zetu hazina virutubisho? Aidha huoni kwamba huenda sasa tumejifunza kutoka kwao na hivyo hatutarudia makosa.Serikali za majimbo zina wafaa watu walio na akili pekee kama ambavyo democracy ina hitaji watu wa namna hio bila hivyo umasikini na rushwa vita tawala katika majimbo.
Mfano ni Kenya na Nigeria wamecopy mifumo ya namna hiyo lakini hakuna kitu wanacho nufahika nacho zaidi ya umasikini.
Na wewe you are included. Wewe hutasalimika as long as you are blackNa Mwenye Enzi Mungu akupe haja ya moyo wako, yaani mfe nyote wewe na familia yako na ndugu zako wote mpaka asibaki hata mtu mmoja katika ukoo wako mpaka miaka 1000 ipite walahi!
Ehh Mwenye Enzi Mungu wewe ni Mungu kweli nina hakika atapata haja ya moyo wake kama Zaburi ya 109 isamavyo!
Aamina [emoji2972]
Wewe ni mweusi?!actually mtu mweusi hapashwi kuishi , Mungu angeliwafuta kwenye uso wa dunia na kuwaumba bada ya miaka 1,000,000