Kelsea
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 14,564
- 34,341
[emoji23]Hivyo ndo kusema hakuna Me
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23]Hivyo ndo kusema hakuna Me
Wapo wanaojua na wasiojuaHivyo ndo kusema Me wa Jf wote mnajua kupika. [emoji1787]
Ooh!!Wapo wanaojua na wasiojua
Waendelee hivyohivyo.Vita ya Ukraine wataisikia redioni tu.Mie kwetu wanaume wanapika. Kila mtu na malezi yake.
Ni huyo huyo mtoa mada alipoona amekosa sapoti akaja na ID nyingine ili ajisapoti,Unakaujinga flani kumbe upo hapa kushindana sio kuelimishana
Mzee Kuna wanaume wangapi Leo hii wanaendesha familia zao kwa kupika....? Na Kuna mabilionea wangapi walio patikana kwa kupika. ...?Utotoni Ni muda ambao mtu anapaswa kufundishwa misingi ya maisha!
Upishi si msingi wa maisha wa mtoto wa kiume!
Na hii iko wazi, popote duniani, toka enzi za wafalme wasaidizi wa kazi za ndani Ni waschana
LoL I didn't know that!Ni huyo huyo mtoa mada alipoona amekosa sapoti akaja na ID nyingine ili ajisapoti,
angalia majina yao (Weakman, Teenager)
lol, mjini mipango.
Umeongea vizuri. Sasa tuambie, ENZI ZA UTOTO WAKO ULIFUNDISHWA KUPIKA? au ulijifunza mwenyewe na ukajua?Humu kuna wachangiaji wengi ni kula kulala tena wengine wanaishi kwa shemeji zao hamna walijuwalo.
Kwa mfano mimi binafsi hawa tunaowaita wadada wa kazi wamenisumbuwa sana achilia mbali kuwabadirisha au anakuja huyu anakaa wiki anataka kuondoka kumbe ulitumioa tu kumleta mjini na saa nyingine unatuma nauli unaliwa vilevile, sasa nimeamuwa hivi.
Watoto wakubwa wako boarding, mtoto mdogo yupo day lakini anashinda shuleni anarudi jioni kabisa kwahiyo nyumbani tunapika usiku tu au nanunuwa take away hakuna kupika.
Sihitaji wala sifikilii kuleta house girl, usafi ni mara moja kwa wiki anakuja dada anafuwa anaosha vyombo anapiga deki nyumba namlipa cash yake anatambaa, siku za kawaida kufagia nyumba hakunishindi nafagia mimi au wife yeyote atakayehisi kuna michanga ndani.
Kwahiyo kwangu wala hatuhitaji mpishi na wakubwa wakirudi likizo wanapika wenyewe mchana au mama yao kabla ya kwenda job akiamka mapema awapikie ubwabwa full suti, binafsi kama nakuwa home vyakula vyangu ni michemsho tu wala havina mambo mengi ni nyama au samaki viazi ndizi na viungo unachanganya pamoja unakadiria maji, unaweka chumvi unatia na mafuta machache unawasha gesi ngoma inajipika yenyewe, hivi hapo shida iko wapi? Ukiona mimi nanunuwa chips ujuwe ni dharura tena ni usiku inanibidu tu.
Ni hivi kama hukufanikiwa kupata best education wewe basi kwamba na watoto wako wasipate, sisi tulisoma shule za umma lakini leo watoto tunawalipia pesa nyingi shule za private hata wakifauru kuchaguliwa kwenda shule za serikali bado tunakomaa kuwapeleka tena private.[emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Vita tena??Waendelee hivyohivyo.Vita ya Ukraine wataisikia redioni tu.
Nashukuru sana.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Vita tena??
Baki na unaloliamimi. Uwe na siku njema mpendwa.
😃😃😃[emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23]Swali ni kama kupika sio kitu cha kushangaza kwa mwanaume.
Then ni kwanini wapishi wa utotoni mnahangaika kujitetea kwa nguvu?
Mna mashaka na maamuzi ya wazazi wenu na mko insecure?
Bila shaka ni hivyo hivyo.
Don't be a goddamn stupid bitch!Ni huyo huyo mtoa mada alipoona amekosa sapoti akaja na ID nyingine ili ajisapoti,
angalia majina yao (Weakman, Teenager)
lol, mjini mipango.
Asilimia 80 ya menu zinazopikwa na Watanzania ni tofauti na zile za kwenye mahoteli kwanza sidhani kama moja ya vigezo utatumia kuomba kazi ya upishi kuwa ni ulifunzwa kupika utotoni.Mzee Kuna wanaume wangapi Leo hii wanaendesha familia zao kwa kupika....? Na Kuna mabilionea wangapi walio patikana kwa kupika. ...?
Open up
Hapo chini umeandika "Proudly LGBTQI+ Activist". ndio uchafu gani huo?Ni huyo huyo mtoa mada alipoona amekosa sapoti akaja na ID nyingine ili ajisapoti,
angalia majina yao (Weakman, Teenager)
lol, mjini mipango.