Wazazi Mnaosomesha Watoto Shule za Private jifunzeni kufanya tathmini ya Pesa mnayowekeza katika Elimu hiyo na matokeo yake (Hawatazeekea Nyumbani)?

Wazazi Mnaosomesha Watoto Shule za Private jifunzeni kufanya tathmini ya Pesa mnayowekeza katika Elimu hiyo na matokeo yake (Hawatazeekea Nyumbani)?

Nani kasema shule ndo urithi? Binafsi binti yangu atasoma huko na miradi ataikuta ashindwe yeye!!! Kumpa mtoto elimu bora sio urithi ni wajibu wetu kama wazazi kumpatia hayo..... kama hela huna peleka kayumba” wewe unaamini hao wanaosomesha kayumba ndo watawapa urithi watoto wao? Ashindwe kumpa elimu bora atoe urithi!!! Anatoa wapi? Wengi wanaopiga hizi kelele kama zako kibunda hawana
Ndio maana biashara nyingi za waswahili hufa mwenyewe mwenye nazo akizeeka au kufa

Sababu ya midimamo.ya kijinga kama huu wako

Wafanyabiashara matajiri wakubwa wahidi na waarabu watoto wa akina Dewji na Mzee Bakheresa watoto wao wamewasimesha shule na vyuo bora vya binafsi vya kimataifa kwa mabilioni na kuwakabidhi biashara waendeshe wa.waswahili wanawaza kusonesha kayumba

Wazee wa watu akina Dewji na Mzee Bakheresa huwaoni tena wakiamka asubuhi kwenda kazini wameachia kila kitu watoto wao wasomi na wanapeleka mbali zaidi kuliko wazazi wao

Mswahili unakuta kikongwe kutwa kinahaha kuendesha biashara wakati ana watoto wakubwa kibao.

Mfanyabiashara mswahili anamnyima mtoto elimu nzuri halafu eti ooh mimi lengo langu nabana hela nimwachie biashara

Ataendeshaje wakati elimu ndogo kwenye ulimwengu wa sasa wa ushindani mkubwa wa kibiashara kimataifa? Kampuni itamfia mikononi mwake
 
Kwahiyo hao wanaopeleka watoto Saint Kayumba wanawapeleka kufanya nini? Kama kuelimika ni English Medium basi Kuna wazazi wanauza vishata na sambusa ili watoto wasome kumbe wanaingizwa chaka (sikujua hili!)
Ndugu yangu kuelimika sio English nikujuze.Hata mimi watoto wangu wote wamesoma English medium ila sikufanya hivyo sababu tu eti ajili ya kingereza.
Kilichonifanya niwapeleke ni mazingira ya shule za sasa za Kayumba yalivyo.Darasa moja wanafunzi 200 madeksi hakuna watoto wanaandikia chini.Watoto wanazoea kiasi kwamba ukimpa assigment nyumbani mezani akikuandikia anashuka chini sakafuni ndio anaandika juu ya daftari kwa sababu hajazoea meza mimi jambo hili liliniuma sana kuona watoto wangu wasije ota vibiongo.
Enzi zetu za Nyerere senti Kayumba mimi nilisoma kwa raha desk moja mnakaa watatu tu na darasa mkondo mmoja wanafunzi hawazidi 25.Kalamu hadi daftari mnapewa bure shuleni.Mtaala nchi nzima ulikuwa unafanana.
Haya mambo ndio yanapelekea kufikiria kama ninaweza kunywa bia kila siku kwanini nisimpeleke mwanangu english medium
Kwanza English medium huwa sizipendi maana ni kuwachanganya wanafunzi sema basi tu tufanyeje sasa kutokana na sababu nilizotaja.
Na tena mtoto wa Kayumba akiwa vizuri darasani akifika chuo kikuu akikutana na wale wa English medium anawaacha mbali sana.
Kujua kingereza sio kufaulu hasa kwa masomo ya sayansi
 
Ndio maana biashara nyingi za waswahili hufa mwenyewe mwenye nazo akizeeka au kufa

Sababu ya midimamo.ya kijinga kama huu wako

Wafanyabiashara matajiri wakubwa wahidi na waarabu watoto wa akina Dewji na Mzee Bakheresa watoto wao wamewasimesha shule na vyuo bora vya binafsi vya kimataifa kwa mabilioni na kuwakabidhi biashara waendeshe wa.waswahili wanawaza kusonesha kayumba

Wazee wa watu akina Dewji na Mzee Bakheresa huwaoni tena wakiamka asubuhi kwenda kazini wameachia kila kitu watoto wao wasomi na wanapeleka mbali zaidi kuliko wazazi wao

Mswahili unakuta kikongwe kutwa kinahaha kuendesha biashara wakati ana watoto wakubwa kibao.

Mfanyabiashara mswahili anamnyima mtoto elimu nzuri halafu eti ooh mimi lengo langu nabana hela nimwachie biashara

Ataendeshaje wakati elimu ndogo kwenye ulimwengu wa sasa wa ushindani mkubwa wa kibiashara kimataifa? Kampuni itamfia mikononi mwake
Umesoma ukaelewa kweli mkuu au umekurupuka? Umefatilia mjadala wangu na huyo niliye mjibu? Mimi nimesoma mwanangu kayumba hasomi nitampa elimu bora na biashara atazikuta” jitaidi kusoma uwele na ukikuta quote usivamie! Huyo nilie mjibu kaelewa
 
Nani kasema shule ndo urithi? Binafsi binti yangu atasoma huko na miradi ataikuta ashindwe yeye!!! Kumpa mtoto elimu bora sio urithi ni wajibu wetu kama wazazi kumpatia hayo..... kama hela huna peleka kayumba” wewe unaamini hao wanaosomesha kayumba ndo watawapa urithi watoto wao? Ashindwe kumpa elimu bora atoe urithi!!! Anatoa wapi? Wengi wanaopiga hizi kelele kama zako kibunda hawana
Hakuna elimu bora kwenye mtaala wa NECTA acheni kujidanganya.
Kinacho fundishwa kayumba ndo hicho hicho kinacho fundishwa huko ems tofauti ni lugha tu na ndio maana mwisho wa siku walio somea kayumba na ems wote wana kutana kwenye vyuo vyenye hadhi sawa na kwenye soko la ajira wanakuwa na hadhi sawa.
 
Ndio maana biashara nyingi za waswahili hufa mwenyewe mwenye nazo akizeeka au kufa

Sababu ya midimamo.ya kijinga kama huu wako

Wafanyabiashara matajiri wakubwa wahidi na waarabu watoto wa akina Dewji na Mzee Bakheresa watoto wao wamewasimesha shule na vyuo bora vya binafsi vya kimataifa kwa mabilioni na kuwakabidhi biashara waendeshe wa.waswahili wanawaza kusonesha kayumba

Wazee wa watu akina Dewji na Mzee Bakheresa huwaoni tena wakiamka asubuhi kwenda kazini wameachia kila kitu watoto wao wasomi na wanapeleka mbali zaidi kuliko wazazi wao

Mswahili unakuta kikongwe kutwa kinahaha kuendesha biashara wakati ana watoto wakubwa kibao.

Mfanyabiashara mswahili anamnyima mtoto elimu nzuri halafu eti ooh mimi lengo langu nabana hela nimwachie biashara

Ataendeshaje wakati elimu ndogo kwenye ulimwengu wa sasa wa ushindani mkubwa wa kibiashara kimataifa? Kampuni itamfia mikononi mwake
Ww unadhani akina Mo walisoma huu uchafu wa necta?
Kiufupi tofauti ya kayumba na ems ni lugha tu lakini yote ni yale yale.
 
Hakuna elimu bora kwenye mtaala wa NECTA acheni kujidanganya.
Kinacho fundishwa kayumba ndo hicho hicho kinacho fundishwa huko ems tofauti ni lugha tu na ndio maana mwisho wa siku walio somea kayumba na ems wote wana kutana kwenye vyuo vyenye hadhi sawa na kwenye soko la ajira wanakuwa na hadhi sawa.
100% Fact
 
kama Una hela hata hii mitaala ya Necta ni kupiga Chine. Peleka international school au Cambridge. Huko elimu ni CBE.
 
Kama wazazi wangekuwa na akili ya kuthamini ELIMU bora, no one would havé Many kids. Kumpa mtoto elimu bora itakayomtambulisha duniani ni gharama sana .

Wonder mtu na mkewe wote waajiriwq Halmashauri total salary wote 2 haifiki 5M but Wana 4 kids ……hii ni kuendelea kuweka tabaka na kuendeleza dhambi ya umasikini

ELIMU ya sasa ni Ushindan peleka mtoto shule za maana , zaa kutokana na What you earn…….otherwise Tofaut ni KUBWA na unamfungulia njia kwenye Global International Universities with lots of opportunités at early age .
 
Yaya yaya yaya elimu bure bora kupiuga gharama za uniform na madaftari
 
Kiufupi tofauti ya kayumba na ems ni lugha tu lakini yote ni yale yale.
Una Ushujaa wa kujifariji wa mtu maskini

Utasikia kula hotel kubwa ya bei kubwa na kula kwa mama nitilie ni sawa tu sababu mwisho wa siku wote mtakunya mlichokula

Kayumba na English medium ni kama mbingu na nchi

Endelea kujifariji .Uliza hata watoto wenyewe wanapenda kusoma nini kati ya Kayumba na English Medium watakuambia wanataka English wewe tu mzazi katili usiye na chembe ya huruma ndio utakomaa kuwa lazima asome kayumba.Sababu una roho ya kishetani isiyomtakia mema mtoto
 
Hakuna elimu bora kwenye mtaala wa NECTA acheni kujidanganya.
Kinacho fundishwa kayumba ndo hicho hicho kinacho fundishwa huko ems tofauti ni lugha tu na ndio maana mwisho wa siku walio somea kayumba na ems wote wana kutana kwenye vyuo vyenye hadhi sawa na kwenye soko la ajira wanakuwa na hadhi sawa.
Ni sawa mkuu peleka kayumba kijana wako watakutana huko juu kama unavyosema
 
Back
Top Bottom