Habari ndio hiyo, sasa hivi wanawake wasome wafuate ndoto zao wafanye kazi au biashara wanazozitaka, hakuna tena kufuata ndoto za mume
Kila mtu awe busy kutafuta pesa zake, mwanamke hata akiondoka asubuhi na kurudi usiku hatakiwi kuulizwa wala kulalamikiwa sababu naye anatafuta pesa zake, ili mwisho wa siku wakiachana naye awe na chake asidai cha mumewe
Na wanaume waache kelele za oo mke wangu hanipikii hanifulii hanipetipeti wala hanijali kama anavyowajali watoto, maana kumbuka naye yuko busy kama wewe anatafuta pesa zake, hapo ndoa ndio zitakuwa rahisi