Ivan Stepanov
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 6,799
- 22,209
Huyu hapa mmoja wapo kasha kasirika 😂hv arusha tu ndo mnaonaga haya mnayoyaongelea? huko kwenu hayapo? wachaneni na watu wa arusha bana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu hapa mmoja wapo kasha kasirika 😂hv arusha tu ndo mnaonaga haya mnayoyaongelea? huko kwenu hayapo? wachaneni na watu wa arusha bana.
Liweke vizur swali lako chief, sema "kwann vijana wasijifunze kwa wazee wao?"Kwanini wazeee wasiwafundishe vijana wao?
Arusha nimetembea mitaa yake hakuna mkoa nikienda nahisi kila kijana mwizi kama Arusha. Wanaongea kwa gambe, wanatembea kwa fujo, wanavaa kama wakimbizi, wengi tu pombe na bangi ni kama lifestyle yani kila ukipishana nao unajiandaa lolote likitokea.Nafikiri wewe umekariri wale unaowaone mitandaoni ila sio kweli. Mbona vijana wengi wanavaa fresh tu huku Arusha mzee.
Ni mkoa pekee wanaoshindana kua wajinga.Arusha nimetembea mitaa yake hakuna mkoa nikienda nahisi kila kijana mwizi kama Arusha. Wanaongea kwa gambe, wanatembea kwa fujo, wanavaa kama wakimbizi, wengi tu pombe na bangi ni kama lifestyle yani kila ukipishana nao unajiandaa lolote likitokea.
Kwa waliozoea wanakwambia kawaida ila ni kulea ujinga, mtu mwenye akili timamu asiye na mtindio wa ubongo unavaaje buti kubwa size 45 wakati mkuu wako ni 41?
Mtu unanunuaje shati XXXL wakati size yako ni medium?
Vijana wa huko wengi ni wahovyo! Hasa miaka ya hivi karibuni ndo wameharibika kbs. Miaka ya nyuma Arusha vijana wake walikua wamenyooka kwelWazazi hawa wameshindwa kabisa kulea watoto wao hasa wa kiume
Unakuta mtoto ameshafikisha umri wa kujitegemea lakini bado anaiehi kwa wazazi wake Tena anajiona ndani pale yeye ni kidume
Kati ya vijana 10 walioachiwa urithi hasa wa mashamba
Ni mmoja tu au wawili ndo walivitumia vizuri
Wanapenda Sana bike kuliko kitu kingine,
Hawezi pita siku bila kusikia tusi hasa kutaja kiungo kile Cha mwanamke,
Vijana wengi ni walevi kuliko wazee,
Na hawana kabisa mpango wa kuoa😎
Pia bado wana ukabila wa chini chini baadhi ya maeneo mengi hasa ya wazawa,
Wana wivu sana, hasa watu wazima,
Ni hayo tu.
Wachaga (wale wasiolewa) ndio kidogo wanawachangamsha na kuwashtua akili vijana wapumbavu wa Arusha.Ni mkoa pekee wanaoshindana kua wajinga.
Yaani mjinga zaidi ndo mwenye heshima zaidi mtaani.
Si uliona alivoibuka yule chalii nani sijui kule bongo star search, aliiwakilisha vyema chuga.
Kila kijana wa chuga akihojiwa bas anaonea vilevile, anavaa vilevile 😂😂.
Ajabu wakienda kuish dar wanabadilika wanakua kama wazaramo tu, maneno meeengi..
Ila wakubwa zao wanasaka noti aisee, sijui na kizazi cha buku 2 kitawafata, manzese, mabibo maduka na bar kubwa 90% wamekamata watu wa kaskazini.
Ukikuta mzee anachoma nyama kuna kijana anahudumia watu, huyo anafundishwa kazi, mara moja moja anaachiwa jiko, hata huyo mzee alishakuwa kijana pia, hakuzaliwa mzee.
Sawa tumekusikia tutafanyia kaziWazazi hawa wameshindwa kabisa kulea watoto wao hasa wa kiume
Unakuta mtoto ameshafikisha umri wa kujitegemea lakini bado anaiehi kwa wazazi wake Tena anajiona ndani pale yeye ni kidume
Kati ya vijana 10 walioachiwa urithi hasa wa mashamba
Ni mmoja tu au wawili ndo walivitumia vizuri
Wanapenda Sana bike kuliko kitu kingine,
Hawezi pita siku bila kusikia tusi hasa kutaja kiungo kile Cha mwanamke,
Vijana wengi ni walevi kuliko wazee,
Na hawana kabisa mpango wa kuoa[emoji41]
Pia bado wana ukabila wa chini chini baadhi ya maeneo mengi hasa ya wazawa,
Wana wivu sana, hasa watu wazima,
Ni hayo tu.
Wanajiita Wachuga. Lafudhi yao ni tofauti kabisa na Watanzania wengine. Niliwakemea vijana fulani huko Arusha Mjini kwa vile walikuwa wakitaka kufanya uhalifu. Lakini walianza kutoa pisipisi na kunitishia kunichoma nazo. Ilinibidi kuondoka sehemu hiyo mapema kabla ya kutobolewa utumbo.Arusha ni mkoa wa vijana wapuuzi wanaojikuta wanajua. Unakuta amevaa mabuti makubwa, shati kubwa, nywele chafu, wanaongea lugha mbovu ila wanajiona wajanja. Wazazi wao na vijana wao wote kwa pamoja wachapwe viboko
Hao unaowaita vijana wa Arusha ni mchanganyiko wa jamii nyingi Wachaga wakiwemo usfikiri ni wale wenye asili ya Arusha pekee.Wachaga (wale wasiolewa) ndio kidogo wanawachangamsha na kuwashtua akili vijana wapumbavu wa Arusha.
Hao machalii wangekuwa mkoa kama Morogoro au Shinyanga wangekuwa wendawazimu zaidi na maskini kama mbwa koko wa uswahilini. Wanaleta ujinga na kutafuta sifa za kiwendawazimu.
achanaga na mm arifuHuyu hapa mmoja wapo kasha kasirika
nybomaunaweza mlinganisha muhasibu mwenye bachelor na mwenye experience ya 10 yrs kazini na cpa juu? Au bikra na kahaba kwenye kunyanduana? Au kuli mzoefu na aliyeanza ukuli jana ktk kubeba mizigo bandarini, au wale mbwa wa police trained na mbwa koko wa mtaani? Au panya nyagawa na panya wa nyumbani kwako?
Labda huko kwao ndp wana sifa za kijinga, ila DSM wachaga ni wapambanaji haswa.Wachaga (wale wasiolewa) ndio kidogo wanawachangamsha na kuwashtua akili vijana wapumbavu wa Arusha.
Hao machalii wangekuwa mkoa kama Morogoro au Shinyanga wangekuwa wendawazimu zaidi na maskini kama mbwa koko wa uswahilini. Wanaleta ujinga na kutafuta sifa za kiwendawazimu.
Hatujawah shikamana hata siku moja, ama lah sepa humu jukwaaniachanaga na mm arifu
Uzoefu mzee .. . Kama huamini tafuta lishangazi la miaka kama 40-50 lito....mb. e uone lilivyo tamu kuliko hivi vibinti vya juzi juz hapaKuna fact gan hapo.. ubora wa kuchoma nyama na umri... natak nijue kitu kipya.
wanaishia kuvuliwa ubingwa tu maskini ya MunguWanawaza kupata pisi za kitasha ziwapeleke mbele.