Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Arusha siyo muda watu wake watakuwa SPECIAL GROUP
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sehemu gani Arusha wanafanya hivyo? Mi nipo Ungalimited hakuna kitu kama hiko.Arusha nimetembea mitaa yake hakuna mkoa nikienda nahisi kila kijana mwizi kama Arusha. Wanaongea kwa gambe, wanatembea kwa fujo, wanavaa kama wakimbizi, wengi tu pombe na bangi ni kama lifestyle yani kila ukipishana nao unajiandaa lolote likitokea.
Kwa waliozoea wanakwambia kawaida ila ni kulea ujinga, mtu mwenye akili timamu asiye na mtindio wa ubongo unavaaje buti kubwa size 45 wakati mkuu wako ni 41?
Mtu unanunuaje shati XXXL wakati size yako ni medium?
Inategemea lkn.... ingawa ktk swala la USAFI mashangazi yapo vzr.Uzoefu mzee .. . Kama huamini tafuta lishangazi la miaka kama 40-50 lito....mb. e uone lilivyo tamu kuliko hivi vibinti vya juzi juz hapa
Sidhani kama ktk kuchoma nyama kuna hitaji experience kulinganisha na hizo kada ulizotaja hasa ya UHASIBU.unaweza mlinganisha muhasibu mwenye bachelor na mwenye experience ya 10 yrs kazini na cpa juu? Au bikra na kahaba kwenye kunyanduana? Au kuli mzoefu na aliyeanza ukuli jana ktk kubeba mizigo bandarini, au wale mbwa wa police trained na mbwa koko wa mtaani? Au panya nyagawa na panya wa nyumbani kwako?
Kioneni hk kiazi embuSidhani kama ktk kuchoma nyama kuna hitaji experience kulinganisha na hizo kada ulizotaja hasa ya UHASIBU.
MAPISHI ni Systematic process.. Ukishajua nini kinaanza nini kinamalizika baasi. Tofauti na UHASIBU au Kada zingine..
Unataka kusema mzee aliyekaanga chips kwa miaka 30 na Kijana aliyekaanga Chips kwa miaka 3 hawa radha za chips zao zipo tofauti?
Siamini kirahisi hiy hoja ya Umri na uchomaji nyama..
Jibu kwa hoja... Mkuu.Kioneni hk kiazi embu
Usishindane na Wadada wa Pwani, hutawawezaMpo busy na watu wa Arusha kuliko kuwa busy na maisha yenu mnafail
Dar sio tatizo kubwa kwasababu wengi wakuja wameacha wazazi wao mikoani.Tena liko dar zaidi
Ni swaga tuu mbona hawana cha tofauti na weweArusha siyo muda watu wake watakuwa SPECIAL GROUP
Kwani mtu akisema wanaume wa Dar unafikiri ni wazaramo tu?Hao unaowaita vijana wa Arusha ni mchanganyiko wa jamii nyingi Wachaga wakiwemo usfikiri ni wale wenye asili ya Arusha pekee.
Hulka na tabia kwa uvaaji hizo za mtumba mnazovaa nyingi zimepauka chafu kwa kijana msafi hawezi kuvaa ...Kwanza kushinda na makoti sio ustaarabu hata uende wapi vijana wanapigo za uwizi mda wote wamekaa kihasira hasira ...Sehemu gani Arusha wanafanya hivyo? Mi nipo Ungalimited hakuna kitu kama hiko.
wacha tukae kwa wazazi wetu man wewe inakuuma nini piga mbizi kwa lami. mbona Yesu mkombozi wetu anakalia zake kwa baba yake mbinguniWazazi hawa wameshindwa kabisa kulea watoto wao hasa wa kiume
Unakuta mtoto ameshafikisha umri wa kujitegemea lakini bado anaiehi kwa wazazi wake Tena anajiona ndani pale yeye ni kidume
Kati ya vijana 10 walioachiwa urithi hasa wa mashamba
Ni mmoja tu au wawili ndo walivitumia vizuri
Wanapenda Sana bike kuliko kitu kingine,
Hawezi pita siku bila kusikia tusi hasa kutaja kiungo kile Cha mwanamke,
Vijana wengi ni walevi kuliko wazee,
Na hawana kabisa mpango wa kuoa😎
Pia bado wana ukabila wa chini chini baadhi ya maeneo mengi hasa ya wazawa,
Wana wivu sana, hasa watu wazima,
Ni hayo tu.
SIjaona bado hao vijana wa arusha wamekugusa wapi mkuu hebu fungukaWazazi hawa wameshindwa kabisa kulea watoto wao hasa wa kiume
Unakuta mtoto ameshafikisha umri wa kujitegemea lakini bado anaiehi kwa wazazi wake Tena anajiona ndani pale yeye ni kidume
Kati ya vijana 10 walioachiwa urithi hasa wa mashamba
Ni mmoja tu au wawili ndo walivitumia vizuri
Wanapenda Sana bike kuliko kitu kingine,
Hawezi pita siku bila kusikia tusi hasa kutaja kiungo kile Cha mwanamke,
Vijana wengi ni walevi kuliko wazee,
Na hawana kabisa mpango wa kuoa😎
Pia bado wana ukabila wa chini chini baadhi ya maeneo mengi hasa ya wazawa,
Wana wivu sana, hasa watu wazima,
Ni hayo tu.
Experience ina mchango kwenye kila kitu.Sidhani kama ktk kuchoma nyama kuna hitaji experience kulinganisha na hizo kada ulizotaja hasa ya UHASIBU.
MAPISHI ni Systematic process.. Ukishajua nini kinaanza nini kinamalizika baasi. Tofauti na UHASIBU au Kada zingine..
Unataka kusema mzee aliyekaanga chips kwa miaka 30 na Kijana aliyekaanga Chips kwa miaka 3 hawa radha za chips zao zipo tofauti?
Siamini kirahisi hiy hoja ya Umri na uchomaji nyama..
mchukue mama ntilie mtaani kwako umpelele five star hotel akapike, kupika si kupika tu mkuuJibu kwa hoja... Mkuu.