Wazazi wa mkoa wa Arusha wasaidiwe malezi kwa watoto wao

Wazazi wa mkoa wa Arusha wasaidiwe malezi kwa watoto wao

"Two wrongs does not make it right"

Vipi umevuta Skanka, ugoro + sungura upo kwenye toyo ukielekea wapi?
Hvo vote vinatumika na vijana wa arusha tu tanzania nzima.

huko kwenu vijana wote ni kuimba. kusifu +kuabudu siyo? hongereni.
 
Hvo vote vinatumika na vijana wa arusha tu tanzania nzima.

huko kwenu vijana wote ni kuimba. kusifu +kuabudu siyo? hongereni.
Tumia akili unapo'argue mambo ya msingi .. hupo kwenu(kwetu) unapomanisha ni wapi?!

Umejuaji sio mwenyeji na mkazi wa Arusha?
 
Tumia akili unapo'argue mambo ya msingi .. hupo kwenu(kwetu) unapomanisha ni wapi?!

Umejuaji sio mwenyeji na mkazi wa Arusha?
ndo maana nimekuuliza huko kwenu, ukiwa mkazi wa arusha kwani hauna kwenu, unaishi mtaani?
 
  • Thanks
Reactions: Cyb
Nipo hapa ngarenaro ndipo nimepanga.. home njiro
hapo ndo kwenu sasa pamoja na waliokuzunguka, kama hujawai fika maeneo mengine usidhani unayoyaona hapo yapo hapo tu, hata kwingne yapo tena inawezekana yanazidi ya hapo.
 
  • Thanks
Reactions: Cyb
Arusha ni mkoa wa vijana wapuuzi wanaojikuta wanajua. Unakuta amevaa mabuti makubwa, shati kubwa, nywele chafu, wanaongea lugha mbovu ila wanajiona wajanja. Wazazi wao na vijana wao wote kwa pamoja wachapwe viboko
Wadudu
 
hapo ndo kwenu sasa pamoja na waliokuzunguka, kama hujawai fika maeneo mengine usidhani unayoyaona hapo yapo hapo tu, hata kwingne yapo tena inawezekana yanazidi ya hapo.
Sijui unataka sema nini hata hueleweki..
Msisitizo wangu mtoa hoja hii ushauri wake uzingatiwe Arusha inaharibuka na wapumbavu wanaovuta bangi na ulevi holela
 
Ata hao wazee unaowasifia pia walikua vijana sa sjui unamaanisha nn
Lkn pia ktk maisha kla mtu kla familia inakipaumbele chake ww unaweza ona kutoka nyumban na kwenda kujitegemea ni ujanja ila mwenzako akaona ni ujinga jifunze kutokupangia watu maisha

Kupanga na kujitegemea sio akili wala ujanj ila ni stage ya makuzi au maisha ya binaadmu na sio lazma kla mtu apite stage iyo

Pombe na bike ni jadi yetu
Duniani kote tunaamini umri fulani unapofika kujitegemea ni utamaduni.

Hata zile jamii zinazoishi pamoja kama wahindi au zile jamii tunazoziona kwenye movie za Kituruki zikiishi pamoja, baada ya muda utaona kila kijana anapambana kufanya kazi ili ajitegemee pamoja na kuwahudumia wanaomtegemea.

Kwa Tanzania, ukiacha hao chuga/wadudu, vijana wengi hupambana kupata chake kwa lengo la kujitegemea. Ni hatua ambayo huonesha kukua kwa kijana na ishara ya utashi wa kijana huyo.

Kumtegemea mzazi na mali za urithi bila kuonesha jitihada za kujitegemea, ni ishara ya kushindwa kifikra na uzembe wa kujituma.
 
Sijui unataka sema nini hata hueleweki..
Msisitizo wangu mtoa hoja hii ushauri wake uzingatiwe Arusha inaharibuka na wapumbavu wanaovuta bangi na ulevi holela
kama ni kuvuta bangi na ulev holela upo tanzania nzima, kwa nn tu arusha ndo ishikiwe bango. huu ni wivu tu wa wanya vichakani dhid ya arusha, watu wanaokula vyakula vya mifugo na kutoa vitambi ndo wana nongwa na arusha.
 
Back
Top Bottom