Wazazi wa mkoa wa Arusha wasaidiwe malezi kwa watoto wao

Wazazi wa mkoa wa Arusha wasaidiwe malezi kwa watoto wao

mchukue mama ntilie mtaani kwako umpelele five star hotel akapike, kupika si kupika tu mkuu
Kwa wanavyochoma nyama hawa jamaa sioni utaalam wowote hasa kwa upande wa Uzoefu hakuna hiyo mantiki.

Nyama inachomwa haiwekewi viungo vyovyote zaidi ya chumvi.

Muda huo huo kamchukue kijana aliyemaliza mafunzo ya mapishi akuchomee nyama hali yakuwa hana experience zaidi ya mwaka ktk uchomaji nyama, huyu atakupa nyama nzuri zaidi ya huyo MZEE aliyechoma nyama miaka 20.
 
Kwa wanavyochoma nyama hawa jamaa sioni utaalam wowote hasa kwa upande wa Uzoefu hakuna hiyo mantiki.

Nyama inachomwa haiwekewi viungo vyovyote zaidi ya chumvi.

Muda huo huo kamchukue kijana aliyemaliza mafunzo ya mapishi akuchomee nyama hali yakuwa hana experience zaidi ya mwaka ktk uchomaji nyama, huyu atakupa nyama nzuri zaidi ya huyo MZEE aliyechoma nyama miaka 20.
ss huku watu wanataka kitu natural mkuu hzo mambo ya viungo peleka pwani huko, Wapi ulisikiaga ndafu inawekwa viungo,
 
Wazazi hawa wameshindwa kabisa kulea watoto wao hasa wa kiume

Unakuta mtoto ameshafikisha umri wa kujitegemea lakini bado anaiehi kwa wazazi wake Tena anajiona ndani pale yeye ni kidume

Kati ya vijana 10 walioachiwa urithi hasa wa mashamba

Ni mmoja tu au wawili ndo walivitumia vizuri

Wanapenda Sana bike kuliko kitu kingine,

Hawezi pita siku bila kusikia tusi hasa kutaja kiungo kile Cha mwanamke,

Vijana wengi ni walevi kuliko wazee,

Na hawana kabisa mpango wa kuoa😎

Pia bado wana ukabila wa chini chini baadhi ya maeneo mengi hasa ya wazawa,

Wana wivu sana, hasa watu wazima,

Ni hayo tu.
Vijana wa arusha wengi wanaukichaa wa chinichini alafu sasa wanajiona wajanja kweli kumbe wehu tu.
 
Rrondo hebu maliza utata huu
Ni kweli vijana wa chuga wamewehuka [emoji1]

Ova
Mkuu mimi Arusha huwa nakaa siku 3-4 tu nikisema nawajua vijana wa huko nitakuwa muongo. Hata maeneo ambayo huwa nakaa na kutembelea wale wavaa mabuti makubwa na makoti sijawahi kuwaona.
 
Arusha ni mkoa wa vijana wapuuzi wanaojikuta wanajua. Unakuta amevaa mabuti makubwa, shati kubwa, nywele chafu, wanaongea lugha mbovu ila wanajiona wajanja. Wazazi wao na vijana wao wote kwa pamoja wachapwe viboko
Hizo ni Tamaduni kama vile Wanaume wa kisukuma wanavo vaa Shanga
 
ss huku watu wanataka kitu natural mkuu hzo mambo ya viungo peleka pwani huko, Wapi ulisikiaga ndafu inawekwa viungo,
Kazi ya Viungo ni nini? Ukishajua kazi yake kaa chini jitafutie Tusi zuri litakalokufaa.
 
Hilo tatizo la vijana kukaa nyumbani wakati wamefika umri wa kujitegemea ni la nchi nzima
Dar ndo usiseme.
Inashangaza sana kwa kweli.
Mtu ana ajira lakini Bado anakaa kwao na ana miaka 25
 
huko simiyu watu wazima na mapumbu yao kwenye suruali wanakunya pembezoni mwa nyumba.
"Two wrongs does not make it right"

Vipi umevuta Skanka, ugoro + sungura upo kwenye toyo ukielekea wapi?
 
Back
Top Bottom