granitized
JF-Expert Member
- Jul 5, 2016
- 3,249
- 7,948
Hvo vote vinatumika na vijana wa arusha tu tanzania nzima."Two wrongs does not make it right"
Vipi umevuta Skanka, ugoro + sungura upo kwenye toyo ukielekea wapi?
Tumia akili unapo'argue mambo ya msingi .. hupo kwenu(kwetu) unapomanisha ni wapi?!Hvo vote vinatumika na vijana wa arusha tu tanzania nzima.
huko kwenu vijana wote ni kuimba. kusifu +kuabudu siyo? hongereni.
ndo maana nimekuuliza huko kwenu, ukiwa mkazi wa arusha kwani hauna kwenu, unaishi mtaani?Tumia akili unapo'argue mambo ya msingi .. hupo kwenu(kwetu) unapomanisha ni wapi?!
Umejuaji sio mwenyeji na mkazi wa Arusha?
Nipo hapa ngarenaro ndipo nimepanga.. home njirondo maana nimekuuliza huko kwenu, ukiwa mkazi wa arusha kwani hauna kwenu, unaishi mtaani?
hapo ndo kwenu sasa pamoja na waliokuzunguka, kama hujawai fika maeneo mengine usidhani unayoyaona hapo yapo hapo tu, hata kwingne yapo tena inawezekana yanazidi ya hapo.Nipo hapa ngarenaro ndipo nimepanga.. home njiro
Imepiga kwenye mshono mkuu?hv arusha tu ndo mnaonaga haya mnayoyaongelea? huko kwenu hayapo? wachaneni na watu wa arusha bana.
WaduduArusha ni mkoa wa vijana wapuuzi wanaojikuta wanajua. Unakuta amevaa mabuti makubwa, shati kubwa, nywele chafu, wanaongea lugha mbovu ila wanajiona wajanja. Wazazi wao na vijana wao wote kwa pamoja wachapwe viboko
Sijui unataka sema nini hata hueleweki..hapo ndo kwenu sasa pamoja na waliokuzunguka, kama hujawai fika maeneo mengine usidhani unayoyaona hapo yapo hapo tu, hata kwingne yapo tena inawezekana yanazidi ya hapo.
Duniani kote tunaamini umri fulani unapofika kujitegemea ni utamaduni.Ata hao wazee unaowasifia pia walikua vijana sa sjui unamaanisha nn
Lkn pia ktk maisha kla mtu kla familia inakipaumbele chake ww unaweza ona kutoka nyumban na kwenda kujitegemea ni ujanja ila mwenzako akaona ni ujinga jifunze kutokupangia watu maisha
Kupanga na kujitegemea sio akili wala ujanj ila ni stage ya makuzi au maisha ya binaadmu na sio lazma kla mtu apite stage iyo
Pombe na bike ni jadi yetu
kama ni kuvuta bangi na ulev holela upo tanzania nzima, kwa nn tu arusha ndo ishikiwe bango. huu ni wivu tu wa wanya vichakani dhid ya arusha, watu wanaokula vyakula vya mifugo na kutoa vitambi ndo wana nongwa na arusha.Sijui unataka sema nini hata hueleweki..
Msisitizo wangu mtoa hoja hii ushauri wake uzingatiwe Arusha inaharibuka na wapumbavu wanaovuta bangi na ulevi holela
hapana, kuna sehemu watu wazima waume na mapumbu yao kwenye suruali na wake na visimi vyao kwenye uchi wanakunya pembezoni mwa nyumba ila inachukuliwa poa tu.Imepiga kwenye mshono mkuu?