Wazazi wa mtoto huyu watakesha wanabubujikwa machozi ya furaha na kumuombea maisha marefu Rais Samia

Wazazi wa mtoto huyu watakesha wanabubujikwa machozi ya furaha na kumuombea maisha marefu Rais Samia

Mambo mnayakuza mno nyie chawa hivi mama kutimiza wajibu wake hilo nalo ni la kujadili
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kila nikikaa nikawaza na kufikiria makubwa na mazito anayoyafanya Rais Samia katika Taifa letu kugusa maisha ya watanzania.Nabakia kusema Mama yetu Mpendwa na Rais wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan Alizaliwa katika ardhi ya Tanzania kuja kuwafuta watu machozi na kuwarejeshea tabasamu katika mioyo yao.

Mama yetu Daktari Samia ni Mama Mwenye huruma isiyoelezeka wala kupimika katika mzani.Ni mama mwenye moyo wa upendo wa hali ya juu sana,ni Mama mwenye utu na kuguswa na matatizo ya watu.ni Mtumishi wa kweli wa watu ,ni Mama ambaye moyo wake na Maisha yake amejitolea kwa ajili ya kuwatumikia watanzania kwa moyo wake wote.

Embu fikiria ndugu yangu mtanzania, Unafikiri wazazi wa Mtoto huyu ambaye Mama yetu na Rais wetu mpendwa Daktari Mama Samia ameahidi kumhudumia na kumsaidia kupata mguu wa bandia . unafikiri wazazi wa Mtoto huyu wana furaha kiasi gani mioyoni Mwao? Unafikiri ni vipi wanaweza sahau upendo na huruma ya Rais Samia kwa mtoto wao? Ni vipi watalala na wakapata usingizi bila kumuombea maisha marefu Rais Samia?

Unafikiri Mtoto huyu na Mwanafunzi huyu aliyegusa hisia za watu atamsahau vipi Rais Samia? Unafikiri ni furaha kiasi gani atakayokuwa nayo mtoto huyu pindi atakapopatiwa Mguu wa Bandia? Unafikiri anaweza vipi kulisahau jina la Rais Samia moyoni Mwake katika uhai wake wote hapa Duniani ? Unafikiri atawasimulia nini watoto wenzake mpaka wajukuu zake panapo majaliwa ya Mwenyezi Mungu?

Ndugu zangu Watanzania unaweza kuwa na chuki binafsi na Rais Samia .lakini ukweli ni Kuwa Rais Samia ni mtu na nusu,ni kiongozi ambaye tunapaswa kumuombea Maisha marefu na kumuunga mkono kuendelea kutuongoza Watanzania. Ni kiongozi ambaye wapo watu watakuja waje wamkumbuke sana na kumlilia sana kwa mazuri aliyo watetendea atakapomaliza muda wake wa Urais hapo 2030 panapo majaliwa ya Mwenyezi Mungu.

View attachment 3045822

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Kuna waliofanya makubwa sana kuliko hayo mbona haujawahi kuandika kuwashukuru!
 
Huu msafara ungepunguzwa by half watoto zaidi ya 50 wenye uhutaji wa mguu au baiskeli za miguu mitatu wangeweza kuguswa na kupata unafuhu wa maisha .
 

Attachments

  • 5771428-3ac42bba2641c68d8af63f1a2f71a52.mp4
    6.8 MB
Ila we jamaa unanilazimisha kupata dhambi ya kutokana kimoyomoyo japo sijui matusi. Unanipa wakati mgumu sana. Sijawahi kupata ban ila nna uhakika utakuja kunifanya nipate bila kupenda.

Kweli jambo jema limefanyika. Lakini maelezo Yako yanaondoa mantiki yote ya bandiko lako.

Kwa kuona hili tatizo, kwanini asiimarishe taasisi itakayohakikisha watoto/watu wenye hayo matatizo wanapata hii huduma Kwa urahisi na kufikia wengi?
Ukitukana hiyo kenge maji muosha mbwa huwezi pigwa bana mkuu
 
Mama Samia ana hofu ya Mungu. Huwezi mfananisha na watu waliokosa aibu wanaochangisha maskini mamilioni ili kununua V8 la Lissu. Hongera Lucas kwa uzi mfupi wenye ufafanuzi wa kutosha.
Machawa wakipongezana, hii si bungeni tu mpaka jf kazi ni ile ile.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kila nikikaa nikawaza na kufikiria makubwa na mazito anayoyafanya Rais Samia katika Taifa letu kugusa maisha ya watanzania.Nabakia kusema Mama yetu Mpendwa na Rais wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan Alizaliwa katika ardhi ya Tanzania kuja kuwafuta watu machozi na kuwarejeshea tabasamu katika mioyo yao.

Mama yetu Daktari Samia ni Mama Mwenye huruma isiyoelezeka wala kupimika katika mzani.Ni mama mwenye moyo wa upendo wa hali ya juu sana,ni Mama mwenye utu na kuguswa na matatizo ya watu.ni Mtumishi wa kweli wa watu ,ni Mama ambaye moyo wake na Maisha yake amejitolea kwa ajili ya kuwatumikia watanzania kwa moyo wake wote.

Embu fikiria ndugu yangu mtanzania, Unafikiri wazazi wa Mtoto huyu ambaye Mama yetu na Rais wetu mpendwa Daktari Mama Samia ameahidi kumhudumia na kumsaidia kupata mguu wa bandia . unafikiri wazazi wa Mtoto huyu wana furaha kiasi gani mioyoni Mwao? Unafikiri ni vipi wanaweza sahau upendo na huruma ya Rais Samia kwa mtoto wao? Ni vipi watalala na wakapata usingizi bila kumuombea maisha marefu Rais Samia?

Unafikiri Mtoto huyu na Mwanafunzi huyu aliyegusa hisia za watu atamsahau vipi Rais Samia? Unafikiri ni furaha kiasi gani atakayokuwa nayo mtoto huyu pindi atakapopatiwa Mguu wa Bandia? Unafikiri anaweza vipi kulisahau jina la Rais Samia moyoni Mwake katika uhai wake wote hapa Duniani ? Unafikiri atawasimulia nini watoto wenzake mpaka wajukuu zake panapo majaliwa ya Mwenyezi Mungu?

Ndugu zangu Watanzania unaweza kuwa na chuki binafsi na Rais Samia .lakini ukweli ni Kuwa Rais Samia ni mtu na nusu,ni kiongozi ambaye tunapaswa kumuombea Maisha marefu na kumuunga mkono kuendelea kutuongoza Watanzania. Ni kiongozi ambaye wapo watu watakuja waje wamkumbuke sana na kumlilia sana kwa mazuri aliyo watetendea atakapomaliza muda wake wa Urais hapo 2030 panapo majaliwa ya Mwenyezi Mungu.

View attachment 3045822

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Yeye anafanya hivyo kupitia kodi za wa tanzania MALISA G anafanya makubwa kwa watanzania wengi sana ktk kuokoa uhai wao na wengine kusaidiwa mambo mengi mfano elimu, kujengewa makazi nk.
Huyu tumuweke ktk kundi gani.
Mi nadhani bwana lucas jaribu kuwa rational, acha uchawa.
Kuna watu wenye mioyo ya utu kuliko huyo unae mchawia.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kila nikikaa nikawaza na kufikiria makubwa na mazito anayoyafanya Rais Samia katika Taifa letu kugusa maisha ya watanzania.Nabakia kusema Mama yetu Mpendwa na Rais wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan Alizaliwa katika ardhi ya Tanzania kuja kuwafuta watu machozi na kuwarejeshea tabasamu katika mioyo yao.

Mama yetu Daktari Samia ni Mama Mwenye huruma isiyoelezeka wala kupimika katika mzani.Ni mama mwenye moyo wa upendo wa hali ya juu sana,ni Mama mwenye utu na kuguswa na matatizo ya watu.ni Mtumishi wa kweli wa watu ,ni Mama ambaye moyo wake na Maisha yake amejitolea kwa ajili ya kuwatumikia watanzania kwa moyo wake wote.

Embu fikiria ndugu yangu mtanzania, Unafikiri wazazi wa Mtoto huyu ambaye Mama yetu na Rais wetu mpendwa Daktari Mama Samia ameahidi kumhudumia na kumsaidia kupata mguu wa bandia . unafikiri wazazi wa Mtoto huyu wana furaha kiasi gani mioyoni Mwao? Unafikiri ni vipi wanaweza sahau upendo na huruma ya Rais Samia kwa mtoto wao? Ni vipi watalala na wakapata usingizi bila kumuombea maisha marefu Rais Samia?

Unafikiri Mtoto huyu na Mwanafunzi huyu aliyegusa hisia za watu atamsahau vipi Rais Samia? Unafikiri ni furaha kiasi gani atakayokuwa nayo mtoto huyu pindi atakapopatiwa Mguu wa Bandia? Unafikiri anaweza vipi kulisahau jina la Rais Samia moyoni Mwake katika uhai wake wote hapa Duniani ? Unafikiri atawasimulia nini watoto wenzake mpaka wajukuu zake panapo majaliwa ya Mwenyezi Mungu?

Ndugu zangu Watanzania unaweza kuwa na chuki binafsi na Rais Samia .lakini ukweli ni Kuwa Rais Samia ni mtu na nusu,ni kiongozi ambaye tunapaswa kumuombea Maisha marefu na kumuunga mkono kuendelea kutuongoza Watanzania. Ni kiongozi ambaye wapo watu watakuja waje wamkumbuke sana na kumlilia sana kwa mazuri aliyo watetendea atakapomaliza muda wake wa Urais hapo 2030 panapo majaliwa ya Mwenyezi Mungu.

View attachment 3045822

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Lucas, mama yetu Samia Suluhu Hassan hatakuwa mwny huruma wala uelewa.

Umefanya kazi kubwa. Unafaa kulitumikia taifa, naamini ataelewa.
 
Unalipwa ujira kiasi gani wewe kibaraka kwa kupiga zumari na ngoma
 
Kasaidia mmoja tu aliyeonekana hapo je ambao hawakuonekana inakuwaje?Kunatakiwa kuwa na mifumo kushughulikia matatizo Kwa ujumla na siyo huu ujuha anaoufanya huu wa kuigiza ili aonekane anasaidia kumbe hamna kitu.
 
Ila we jamaa unanilazimisha kupata dhambi ya kutukana kimoyomoyo japo sijui matusi. Unanipa wakati mgumu sana. Sijawahi kupata ban ila nna uhakika utakuja kunifanya nipate bila kupenda.

Kweli jambo jema limefanyika. Lakini maelezo Yako yanaondoa mantiki yote ya bandiko lako.

Kwa kuona hili tatizo, kwanini asiimarishe taasisi itakayohakikisha watoto/watu wenye hayo matatizo wanapata hii huduma Kwa urahisi na kufikia wengi?
Kama umeona wivu kwa mtoto yule kusaidiwa basi na wewe nenda ukafanye hivyo
 
Kasaidia mmoja tu aliyeonekana hapo je ambao hawakuonekana inakuwaje?Kunatakiwa kuwa na mifumo kushughulikia matatizo Kwa ujumla na siyo huu ujuha anaoufanya huu wa kuigiza ili aonekane anasaidia kumbe hamna kitu.
Kwani wewe nani amekuzuia kuwasaidia hao wengine? Kwanini unakuwa na roho kama shetani?
 
Yeye anafanya hivyo kupitia kodi za wa tanzania MALISA G anafanya makubwa kwa watanzania wengi sana ktk kuokoa uhai wao na wengine kusaidiwa mambo mengi mfano elimu, kujengewa makazi nk.
Huyu tumuweke ktk kundi gani.
Mi nadhani bwana lucas jaribu kuwa rational, acha uchawa.
Kuna watu wenye mioyo ya utu kuliko huyo unae mchawia.
Usimfananishe Mheshimiwa Rais na vichuguu. Unafahamu Rais Samia amegusa maisha ya mamilioni mangapi ya watanzania?
 
Ni upuuzi mtupu. Alipaswa kuweka mifumo ya kuwasaidia watanzania wengi walio na changamoto kama ya huyu mtoto
 
Unakuza sana mambo!
Lucas ushawahi kumuona mtu anaongea hadi mdomo unatoa mapovu meupe?
Haa Zamani Watu Aina Hiyo Waliitwa SHIHATA (Shirika La Habari Tanzania)


Miaka Hii Wanasema Friji Haligandishi
 
Back
Top Bottom