Wazazi wenye wanafunzi waliofutiwa matokeo ya Darasa la Saba 2022 tukutane hapa tutiane moyo

Msipende mikumbo mnapotafutia watoto shule za kwenda kusoma kuna vingi vya kuchunguza kabla hujaamua kumpeleka hapo mtoto
 
Hicho sio kigezo cha kufutiwa watakuwa waliwekewa mtego, ila kwa sasa wapo wanabadiri majina ya shule na kusajiri upya, badara ya st.john utakuta shule inaitwa New st.john na usajiri ni miezi sita utakuwa umekamilika na hiyo new st.john mmiliki ni mtu mwingine sijui hapo sheria zinasemaje.
 
Zaidi shule husika zigaramie gharama za watoto hao kurudia mitihani endapo serikali itaridhia. Jamani watoto wasiharibiwe ubaadae kwa makosa ya walimu wao na wamiliki wa shule.
 
Nafikiri shule za private wanamchukua mtoto anapofaulu mtihani wao wa kujiunga na shule yao na si matokeo ya mtihani wa darasa la saba. Na pia haitaathiri mitihani mwingine ya sekondari au chuoni.
Hivyo nakuhimiza umtafutie shule atakayoweza kuendeleza na masomo ya sekondari. Usipoteze muda.
 
selikali ilibebe kama lilivyo ila shule itakuja kulipia kwenye Faini.
Zaidi shule husika zigaramie gharama za watoto hao kurudia mitihani endapo serikali itaridhia. Jamani watoto wasiharibiwe ubaadae kwa makosa ya walimu wao na wamiliki wa shule.
 
Pole sana rafiki inaumiza sanaa kufutiwa mtoto matokeo jamani daaahhh...!!!
I can feel youu!ila hizi private Jamani mi nadhani wangekua wanafungia shule ila siyo wanafunzi kufutiwa matokeo inaumiza sanaa

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Cheti ya darasa la saba ni kama cheti ya kipaimara tu.. hakina maana yoyote... Peleka mtoto private... Au nenda wizaran wanaweza kukusaidia kumpeleka shule mtoto

Sent from my M2010J19SI using JamiiForums mobile app
Kwa Sasa usajili wa mtoto kidato Cha nne unaanzia std 7 ndugu hvyo mtoto wako kama hajamaliza std asahau kuhusu mtihani
Ile prim no yake ya std 7 itahitajika form two na form four pia
Ndo sera ya elimu ya Sasa hvyo std 7 ni lazima
Mimi ni mwalimu naongea uhalisia

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Hakuna uchawi hapo, anaenda sekondari kama kawaida, ishu ingrkuwa sisi ambao tunategemea mtoto afaulu tuuze kuku kumpatia pesa asome sekondari ya serikali
Kaka hyo ilikua zamani Sasa hivii itahitajika prim no ya std 7 kwanza hata huko private,na tsm 9 yake inaenda kule private
Sasa hivii Sheria zimebadilika mnooo

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Sawa nashukuru kwa kunifungua... Nilikuwa cjui haya mambo... Kumbe mambo yamebadilika... Asante sana

Sent from my M2010J19SI using JamiiForums mobile app
 
Waalimu wa sekondari waje watuambue nini umuhimu wa PREM NUMBER ambayo mtoto anatokanayo shule ya msingi

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Ndio kitambulisho chake Ile Prim no Sasa hivii mfumo umechange kabisaaaa bila std 7 matokeo hatakubaliwa sekondari maana form two pale Kuna prim zinajazwa za std 7 kama hana anarudi tena primary Drs la afanye mtihani wa la 7
Hvyo yapaswa umakini sana ktk maamuzi

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Umemaliza kabisaaa Ndo ukweli ulivyo Sasa hv

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Wanafutiwa matokeo ndugu

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Watoto walipaswa waseme kama alivyofanya Iptisam vile

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
NECTA si wajinga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…