Wazazi wenye wanafunzi waliofutiwa matokeo ya Darasa la Saba 2022 tukutane hapa tutiane moyo

Noop afanye mtihani kwanza wa std 7,hatoanza form 1 bila prem no ya std 7 na tsm 9 yake inapelekwa Shule husika atakayoenda

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Huna akili, mambo yamebadilika
 
Mwanafunzi ni mnufaika wa udanganyifu
 
Ushauri huu uzingatiwe. Kufutiwa mtihani kwa lugha nyepesi hatambuliki kama mtoto alimaliza std7. Wazee wa shortcut wasikuchanganye
 
Hawajui Hawa lolote

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Inaukweli..kuwa nikienda baraza la mitihabi nitakuta matokeo ya mtoto wangu..wenye ufahamu tusaidie hili..maana kama wazazi tuna sintofahamu nyingi
Inategemea na sababu zilizopelekea kufutiwa hayo matokeo.Si kweli kuwa ukienda pale una uhakika wa kupewa hayo matokeo.Cha muhimu tu ni kwemda ili upate uhalisia lakini pia na hatma ya watoto wenu itakuwaje? Nachokiona hapa ni watoto kurudia mitihani tu swala linakuwa watarudia lini,mwaka huu au watasubiri tena Next year which is the worst case scenario kwa mtoto kupoteza mwaka mzima tena
 
Usimpotoshe tafadhari si sawa.Ingekuwa ni rahisi hivyo kwa mfumo wa sasa basi NECTA wasingekuwa na jeuri ya kufuta matokeo.Hizo shule za Private mwisho wa siku wanapeleka taarifa za wanafunzi wao NECTA.
 
Noop afanye mtihani kwanza wa std 7,hatoanza form 1 bila prem no ya std 7 na tsm 9 yake inapelekwa Shule husika atakayoenda

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app

Nahisi umedanganya,, Mfano watoto waliosoma kenya primary ama uganda primary je hawaruhusiwi kusoma o level Tanzania?
 
Nahisi umedanganya,, Mfano watoto waliosoma kenya primary ama uganda primary je hawaruhusiwi kusoma o level Tanzania?
Hajadanganya,kuna utaratibu wao ambao wanapaswa kuufuata na watapewa na Baraza,hakuna anaekuja tu na kusoma bila kupitia pale NECTA kama mwisho wa siku utataka afanye mitihani ya Baraza.Inawezekana tu kama mtoto wako utataka asome mitaala ya Cambridge ambayo iko nnje ya NECTA
 
Prem haianzii std 7 inaanzia std toka std 1 namba ya usajili wa mwanafunzi ambao haukufutwa kilichofutwa ni matokeo.
 
Prem namba inapatikana shuleni aliposoma mtoto na kwenye matokeo ipo
 
Prem haianzii std 7 inaanzia std toka std 1 namba ya usajili wa mwanafunzi ambao haukufutwa kilichofutwa ni matokeo.
Mfano mimi mtoto wangu kafutiwa matokeo ila prem Number ipo, japo haina matokeo (W) je anaweza endelea std 7 au inapaswa arudie Darasa std7
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…