Wazee wa ovyo acheni kufakamia Wanawake wa Vijana wenu

Tena usipende mazoea nao watakufumua na wewe.
 
Mkuu sio wivu naongea kitu real vijana tuna umia tunajikaza kisabun tuu ila moyoni tunabubujikwa na machozi
Acha kuumizwa na kitu ambacho si chako. K ni yao na wao ndiyo wana haki ya kuigawa kwa kikongwe, au mtoto. Je, unawasaidia kuziosha? Acha wivu
 
Nahusikaje hapa mkuu, ile ni taarifa niliweka kama ilivyo, na ni kwa nia njema kabisa ya kufikisha ujumbe.

Kila mtu ashinde mechi zake.
Jana ulileta Uzi wa kipuuzi wa mwanafunzi wa Mwalimu Nyerere College. Najua wewe humu JF huwa unataka kuwa na kila mwanamke. Achana na huo utoto. Mtu akimpa mzee K ni yake, unasumbuka na nini?
 
Cha ajabu zaidi kuna wazee huku wanakula watoto wao wa kuzaa, wamama pia wanaliwa na watoto wao wa kiume, so painful.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…