Fundi manyumba
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 3,799
- 8,063
- Thread starter
-
- #101
Mwanzoni nilikua naona mkuu upo upande wtu kumbe na wewe wale wale hovyo kabisaSasa enzi zetu shetani alikuwa hana cherehani ya kushona nguo
Sijui umenielewa ninachomanisha hapa
Upo upande wao.Siyo kosa lao ni nature inayotokana na uumbaji
Khaaa mkuu sasa tutajua we subiri kuna kikosi kinaandaliwa mtaani huko ku deal na watu kama nyie.
Time will tell us
Daah sasa kama na nyie mnasema hivi..Acha wale vyombo maisha ni mafupi,mzee piga pumbu,vijana hela hawana nguvu za kiume hawana sasa si bora wazee wawasaidie
Hivi unajua kusaliti kambi adhabu yake ni kunyongwa mpaka kufaMwanzoni nilikua naona mkuu upo upande wtu kumbe na wewe wale wale hovyo kabisa
Mkuu tena wewe nahisi siku chache utatoa ushuhuda hapaSisi nyani wakongwe mbinu zote za wawindaji twazijua
Sasa wewe upo upande wa wazee wa hovyo au upo upande wetu vijanaHivi unajua kusaliti kambi adhabu yake ni kunyongwa mpaka kufa
Tunakamataje fursa na tupo na msongo wa mawazo unaosababishwa na wazee hawa wachche ambao ujana wao walishindwa kuponda rahaKijana kamatia fursa sio ufuska.
Hebu kwanza twende tukawajibikeSasa wewe upo upande wa wazee wa hovyo au upo upande wetu vijana
Sawa mkuu mi leo nipo hapa kwa kazi hi ya kutokomeza hawa mapepo nyemelezi...Hebu kwanza twende tukawajibike
Saa kumi jioni baada ya kazi tukutane sehemu tulivu, nyama ya kitimoto konyagi Pembeni na maji baridi ili kujipongeza
Muite mchungaji aiseeConnection za Irene Uwoya.
Nitake radhi kijana mtoto wangu wa mwili ni mwaka 1988 sasa ukituhumu kuwa nataka vitoto vya 2000 ni kunitukanaNilisema kuna mda nitawataja wazee wa hovyo naona wanazidi kumiminika.
Huyu Kingsharon92 hovyo sana ni hovyo kiwango cha lami maana yupo huku na huku
Anataka kula watoto wa 200o lakini pia anataka kuwa na sisi huyu anashida sana ahaahah
Swadakta mzee mwenzanguVibinti ndio havina adabu kabisa, baadhi yetu tunakomaa na watu wazima wenzetu, hatuna mda mchafu na vitoto. Vingi hata havijielewi, havina taste, viongo sana, etc.
Wewe ni miongoni mwa watu wenye heshima zao mkuu.Vibinti ndio havina adabu kabisa, baadhi yetu tunakomaa na watu wazima wenzetu, hatuna mda mchafu na vitoto. Vingi hata havijielewi, havina taste, viongo sana, etc.
Mkuu tatzo unatetea hawa watu ndo mana nikafikia hukoNitake radhi kijana mtoto wangu wa mwili ni mwaka 1988 sasa ukituhumu kuwa nataka vitoto vya 2000 ni kunitukana
Ila wewe hapo badae utakuja kuwa mzee wa hovyo ijawahi tokea toka tanganyika inapata uhuru..VIYANA WA OVO WANAYENGA DAIFA LA OVO