Wazee wa ovyo acheni kufakamia Wanawake wa Vijana wenu

Hii imeendaaa
 
We dem mmoja tu unalia usiku kucha, ulibahatisha nn...
Ndio unakomaa hivyo wakifika watano, unakuwa ngangari
Mkuu unajua mi nimetoka nae wapi..
Mkuu usiongee tu ujui how nime invest kwa mtu alafu anatokea mzee mmoja haeleweki kutokea bodi ya wapi huko anaanza kuweka vigezo vya ajabu ili amle duu wangu 🥺🥺
 
Vijana wenyewe wako busy na mijimama na mijishangazi kutafuta unafuu wa maisha. Acha na sie tuhangaike na 2000s babies
 
Mkuu unajua mi nimetoka nae wapi..
Mkuu usiongee tu ujui how nime invest kwa mtu alafu anatokea mzee mmoja haeleweki kutokea bodi ya wapi huko anaanza kuweka vigezo vya ajabu ili amle duu wangu 🥺🥺
Huna hela
Hupigi show fresh
Unalia lia sana
Inaweza kuwa sababu ya kuachwa.
Be a MAN
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…