DOKEZO Waziri aagiza mabasi 60, Kampuni ya Esther

DOKEZO Waziri aagiza mabasi 60, Kampuni ya Esther

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Unataka evidence gani? Huyu ameeleza anachokifahamu na ameomba chombo husika kufuatilia.
Elete ushahidi wewe mahakama?
 
Mwigulu kama anaiba mjue tu kawekwa hapo kwa maslahi ya wakubwa.

Ukimuona chura juu ya mti ujue kawekwa
 
Kwa hiyo umenuna mtu kujinunulia magari?Hebu acha akili za kimasikini mkuu!Au haupendi tukalione ziwa Singidani?😂😂😂
Hajanuna ili tunauliza pesa kapata wapi ndio swali la msingi,huko nyuma huyu Mr tozo hakuwa na ukwasi namna hii sasa inabidi tuingiwe na wasiwasi kuwa hizi bila shaka ni tozo zetu,jamaa sio mfanyabiashara na hata kwenye sheria za maadili sidhani kama aliandika ana mali hizo wakati akiwa amepata uwaziri, pia usisahahu jamaa na kilabu ya mpira huko nyuma alikuwa hana jeuri hata ya kuandika mabango akaishia kuandika kwenye mawe!
 
Yaani aendeshe Timu ya mpira harafu ashindwe kuagiza vibasi hivyo ?

Lini sheria ilikataza watumishi kufanya biashara? Hii mentality ya wizi kila kitu ndio inawafanya mzidi kuwa maskini ..

Nikuulize umewahi kuona wapi mbunge wa ccm ni maskini au anagombea ubunge hana pesa?

Kwa hiyo kwa akili zako mbovu kuna mtu ambae TISS hawana taarifa yake?

Ukishaanza kuwa na kacheo na hela huko kitaa lazima Tiss wakujue au hata ukiwa mtu mwenye ushawishi kwenye jamii lazima wajue..

Yaani watu Wana kampuni za ujenzi zina set kama 5 za equipments harafu unazungumzia huto tumabasi? Kuwa serious Mzee.
Sasa hao Tiss kazi yao ni ipi maana ufisadi kila mwaka wa fedha CAG anapokagua ni majanga matupu.

Yaani hawana uwezo wa kuzuia rushwa na ufisadi hadi CAG abaini madudu?

Kuna watu mtaani ni matajiri wa kutupwa na ni watumishi wa umma ambao hawana biashara rasmi zinazotambulika lakini wanakula maisha kama nchi haina waangalizi wa rasilimali za umma.
 
Sasa hao Tiss kazi yao ni ipi maana ufisadi kila mwaka wa fedha CAG anapokagua ni majanga matupu.

Yaani hawana uwezo wa kuzuia rushwa na ufisadi hadi CAG abaini madudu?

Kuna watu mtaani ni matajiri wa kutupwa na ni watumishi wa umma ambao hawana biashara rasmi zinazotambulika lakini wanakula maisha kama nchi haina waangalizi wa rasilimali za umma.
Taarifa ya CAG huwa haisemi moja kwa moja kwamba mtu au TaaSisi X ni mafisadi kwa sababu sio kazi Yao..

Wao wanapima.value for money na matumizi ya pesa kwa mujibu wa sheria za umma..

Ndio maana Huwa ni hoja za mkaguzi wanapewa mda kuzijibu,wakileta vielelezo zinafutwa wakishindwa kuna kurudisha pesa au kwenda mahakamani..
 
Mkuu KaziIendelee, hakuna kitu kibaya kama umasikini wa fikra na umasikini wa roho, kuwa na fikra za kimasikini na kuwa na roho ya kimasikini!.

Baada ya kuzikwa kwa Azimio la Arusha lenye miiko ya uongozi, na kubadilishwa na Azimio la Zanzibar, hakuna ubaya wowote kwa kiongozi yoyote kumiliki mali na kufanya biashara yoyote ali mradi biashara hiyo isiwe na conflict of interest na uongozi wake.

Hivyo rais, VP, PM na waziri yoyote au kiongozi yoyote yuko huru kufanya biashara yoyote as direct bussiness kwa ku declare kwenye fomu ya tamko la mali zake au kufanya biashara by proxy as a silent partner kwenye biashara yoyote bila kuvunja sheria yoyote.

Na kwenye kufanya biashara huko, biashara hiyo ina uhuru wa kukopa ma B na ma B na ma B na kuagiza mali zozote hata mabasi 100, ndege, meli au biashara yoyote.

Natoa wito tusiwe masikini wa roho wenye roho za kimasikini na fikra za kimasikini, kama umeridhika na umasikini wako, ni wewe, lakini kama unapenda utajiri, pambana na hali yako, kwa kuwa na fikra za kitajiri, have brilliant business idea, mabenki yapo yanatoa mikopo ya ma B, ukishindwa kabisa kufanya biashara, then get rich any how, or die trying!.

Tusiwaonee wivu wenye nacho!.
P
Haya na wewe lete ushahidi wa mikataba ya mikopo ya mtuhumiwa.
 
Taarifa ya CAG huwa haisemi moja kwa moja kwamba mtu au TaaSisi X ni mafisadi kwa sababu sio kazi Yao..

Wao wanapima.value for money na matumizi ya pesa kwa mujibu wa sheria za umma..

Ndio maana Huwa ni hoja za mkaguzi wanapewa mda kuzijibu,wakileta vielelezo zinafutwa wakishindwa kuna kurudisha pesa au kwenda mahakamani..
Hapo kwenye kwenda mahakamani maana yake wameshindwa kuonesha uwazi wa matumizi husika. Kwa maana hiyo CAG anakuwa sahihi.

Je, muda huo hadi CAG anabaini madudu yote hayo Tiss wanakuwa wapi?

Kila mara tunaona ubadhirifu wa fedha za umma baada ya ukaguzi wa CAG hadi kufikia Rais kuchukizwa na kuwatimua kazi waliotajwa kwenye ripoti ya ukaguzi.

Rais hadi anafikia kumtumbua mtu maana yake ni kweli ubadhirifu umefanyika. Sasa kazi yao ni ipi haswa?
 
Taarifa ya CAG huwa haisemi moja kwa moja kwamba mtu au TaaSisi X ni mafisadi kwa sababu sio kazi Yao..

Wao wanapima.value for money na matumizi ya pesa kwa mujibu wa sheria za umma..

Ndio maana Huwa ni hoja za mkaguzi wanapewa mda kuzijibu,wakileta vielelezo zinafutwa wakishindwa kuna kurudisha pesa au kwenda mahakamani..
Mfano mzuri bandarini kuna ufisadi wa kutisha kila mwaka na wahusika hubainika baada ya ripoti ya ukaguzi wa CAG.

Pale bandari kuna Tiss, Polisi na wana usalama wengine wengi lakini bado hawabaini ubadhirifu hadi CAG afanye ukaguzi ndo unaona madudu yanavyofumuliwa.
 
Hapo kwenye kwenda mahakamani maana yake wameshindwa kuonesha uwazi wa matumizi husika. Kwa maana hiyo CAG anakuwa sahihi.

Je, muda huo hadi CAG anabaini madudu yote hayo Tiss wanakuwa wapi?

Kila mara tunaona ubadhirifu wa fedha za umma baada ya ukaguzi wa CAG hadi kufikia Rais kuchukizwa na kuwatimua kazi waliotajwa kwenye ripoti ya ukaguzi.

Rais hadi anafikia kumtumbua mtu maana yake ni kweli ubadhirifu umefanyika. Sasa kazi yao ni ipi haswa?
Sio kazi ya Tiss kusimamia miradi na taarifa ya CAG ni complex ukitaka Tiss wafanye hiyo Kazi sijui kama Wana manpower za kutosha kuwepo kila sehemu kufanya uchunguzi sio tuu wa pesa bali wa quality ya miradi,hii ni ngumu Bora hata ungeuliza Takukuru maana wao ndio Wana jukumu la moja kwa moja..
 
Mfano mzuri bandarini kuna ufisadi wa kutisha kila mwaka na wahusika hubainika baada ya ripoti ya ukaguzi wa CAG.

Pale bandari kuna Tiss, Polisi na wana usalama wengine wengi lakini bado hawabaini ubadhirifu hadi CAG afanye ukaguzi ndo unaona madudu yanavyofumuliwa.
Tiss sio Malaika au majini bali ni watu kama wewe na Wana mahitaji ya pesa pia.
 
Ndugu Suleman Jr, Maendeleo yapo ya aina Mbili

Economic Growth pamoja na Economic Development

Kwa kuwa hivi vyote vinahitajika sisi Tanzania tutaendelea kujenga Miundombinu ili kuboust hali ya Maisha yetu hasa maeneo yasiyofikika kule Jamii ya wengi ilipo, yaani Mikoani, Wilayani, Kata mpaka Vijijini. Huduma Muhimu kama barabara, madaraja ni sehemu kubwa ya kugusa Maendeleo ya watu (Economic Development) Japo Maendeleo ya watu yatajiashiria pale ambapo watu wanaweza kujipatia Mahitaji yao pasipo shida kubwa; Masoko ya mazao yao yawepo yakiwa na bei nzuri, Wamudu Matibabu, ada za shule walipe bila shida au upande mwingine pato la Taifa lizikave, Maji wapate bila shida kubwa, Chakula bora na cha kutosha kiwepo nyumbani na Mengineyo.

Upande wa Taifa kuingia uchumi wa kati, kupunguza utegemezi kama Madeni, kukuza Pato lake, kuwa na Bajeti Imara pamoja na kupanda Scale au thamani ili siku Moja tuwe wa Tisa Africa, tuwashushe Kenya angalau maana sisi ni wa kumi, hii ni (Economic Growth)

Kiufupi Maendeleo ya kujenga Shule nyingi tena zingine Mpya, Zahanati, Barabara, Miradi ya Maji, Reli, Mabwawa, Madaraja ni Mambo mazuri si ya kupingwa ni ya kushangiliwa na hasa wakati mwingine TUNAPOJENGA KWA PESA ZETU WENYEWE
Sijapinga maendeleo yaliyofanyika bali kujali maendeleo ya upande mmoja pekee,
Baba ako ana ela anajenga majumba kila mahali, magari kila aina shule anakusomesha ya kata, hajali mavazi yenu familia kila akiombwa ela anadai anajenga kwanza, miaka 6 bila kuongezewa mshahara wakati vitu vinapanda bei kila uchwao?
Ndio maana mliona watu wanalia vyuma vimekaza
 
Back
Top Bottom