DOKEZO Waziri aagiza mabasi 60, Kampuni ya Esther

DOKEZO Waziri aagiza mabasi 60, Kampuni ya Esther

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Mkuu KaziIendelee, hakuna kitu kibaya kama umasikini wa fikra na umasikini wa roho, kuwa na fikra za kimasikini na kuwa na roho ya kimasikini!.

Baada ya kuzikwa kwa Azimio la Arusha lenye miiko ya uongozi, na kubadilishwa na Azimio la Zanzibar, hakuna ubaya wowote kwa kiongozi yoyote kumiliki mali na kufanya biashara yoyote ali mradi biashara hiyo isiwe na conflict of interest na uongozi wake.

Hivyo rais, VP, PM na waziri yoyote au kiongozi yoyote yuko huru kufanya biashara yoyote as direct bussiness kwa ku declare kwenye fomu ya tamko la mali zake au kufanya biashara by proxy as a silent partner kwenye biashara yoyote bila kuvunja sheria yoyote.

Na kwenye kufanya biashara huko, biashara hiyo ina uhuru wa kukopa ma B na ma B na ma B na kuagiza mali zozote hata mabasi 100, ndege, meli au biashara yoyote.

Natoa wito tusiwe masikini wa roho wenye roho za kimasikini na fikra za kimasikini, kama umeridhika na umasikini wako, ni wewe, lakini kama unapenda utajiri, pambana na hali yako, kwa kuwa na fikra za kitajiri, have brilliant business idea, mabenki yapo yanatoa mikopo ya ma B, ukishindwa kabisa kufanya biashara, then get rich any how, or die trying!.

Tusiwaonee wivu wenye nacho!.
P
Majibu haya hayatoshi kwa Mwandishi wa Mada hii

Yeye si Maskini wa roho na pia hana fikra za kimaskini kwa sababu tu ameandika kuhusu Kiongozi wa aina hii kwenye nchi inayopitia wakati Mgumu kupiga hatua kwenye Maendeleo ya watu wake

Hii Capitalist World ina Madaraja, sio tu leo Mtoto wa familia Maskini atokee aanze kujenga ghorofa wakati wanafamilia wote wapo kwenye nyumba za nyasi huku wengine wakitaabika na njaa kali kila mwaka pamoja na Mavuno duni katika shamba lao la familia (Anawajibika kuwa Chachu ya Maendeleo ya wengine japo wanaweza wasimfikie wakati akiwa yeye anakua)

Jambo lake huyu lina Msingi maana Maendeleo yaliyotajwa ya Mwenzetu ni Makubwa mno naye akiwa ndiye Mwanga wetu; Taifa zima tunaoona Mambo bado Magumu

Inafikirisha kuona licha ya kuwa umesema Azimio lenye miiko ya Uongozi lilikoma, lakini haujaweza kuona haifai kumsakama Mwenzetu huyu kuwa ni Maskini wa Roho kwa kuwa Jambo hili kwa Mazingira ya sasa halina sura nzuri kabisa.

Tunataka basi angalau Maendeleo ya aina hii yawepo kwa wingi pia kwa Raia wa kawaida wasio watu wazito katika serikali yetu
 
Mkuu KaziIendelee, hakuna kitu kibaya kama umasikini wa fikra na umasikini wa roho, kuwa na fikra za kimasikini na kuwa na roho ya kimasikini!.

Baada ya kuzikwa kwa Azimio la Arusha lenye miiko ya uongozi, na kubadilishwa na Azimio la Zanzibar, hakuna ubaya wowote kwa kiongozi yoyote kumiliki mali na kufanya biashara yoyote ali mradi biashara hiyo isiwe na conflict of interest na uongozi wake.

Hivyo rais, VP, PM na waziri yoyote au kiongozi yoyote yuko huru kufanya biashara yoyote as direct bussiness kwa ku declare kwenye fomu ya tamko la mali zake au kufanya biashara by proxy as a silent partner kwenye biashara yoyote bila kuvunja sheria yoyote.

Na kwenye kufanya biashara huko, biashara hiyo ina uhuru wa kukopa ma B na ma B na ma B na kuagiza mali zozote hata mabasi 100, ndege, meli au biashara yoyote.

Natoa wito tusiwe masikini wa roho wenye roho za kimasikini na fikra za kimasikini, kama umeridhika na umasikini wako, ni wewe, lakini kama unapenda utajiri, pambana na hali yako, kwa kuwa na fikra za kitajiri, have brilliant business idea, mabenki yapo yanatoa mikopo ya ma B, ukishindwa kabisa kufanya biashara, then get rich any how, or die trying!.

Tusiwaonee wivu wenye nacho!.
P

"Sisemi kwamba ni haramu Kwa mtu kua Tajiri au kulikinbiza mali...nachosema kwamba ni haramu ni pale Watanzania wanapoona KIONGOZI ambaye Hana muda Uongozini Lakini ghafla anzanaa ........"....haya ni Maneno ya JK.


Mtoa haonyeshi Kua ana Roho ya Umasikini au fikra za kimasikin au Wivu au vipi .

Mtoa mada akiwa kama Mtanzania, ame exercise power yake ya utanzania kuhoji !.

Je Kwa Maelezo yako , sio halali Raia kuhoji Utajiri wa Viongozi wetu sababu tu wataonekana Wana fikra za kimasikin?.
 
Kazi iendelee kama ID yako inavyosomeka
 
Back
Top Bottom