Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
UmemalizaHakuna anayekataa yeye kuwa tajiri, bali aweke wazi asili ya utajiri wake, sio anapokuwa waziri timu ya kwao inang'aa, ila akipoteza uwaziri timu inayumba.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UmemalizaHakuna anayekataa yeye kuwa tajiri, bali aweke wazi asili ya utajiri wake, sio anapokuwa waziri timu ya kwao inang'aa, ila akipoteza uwaziri timu inayumba.
Mbona ilimilikiwa kitambo!Kama kuna ukweli kwenye hili basi nchi imeshamilikiwa na wachache
Watu wa aina yako ndio mlikua mkishangilia madaraja na barabara kuona yanajengwa mkijua ndio maendeleo,Majibu haya hayatoshi kwa Mwandishi wa Mada hii
Yeye si Maskini wa roho na pia hana fikra za kimaskini kwa sababu tu ameandika kuhusu Kiongozi wa aina hii kwenye nchi inayopitia wakati Mgumu kupiga hatua kwenye Maendeleo ya watu wake
Hii Capitalist World ina Madaraja, sio tu leo Mtoto wa familia Maskini atokee tu aanze kujenga ghorofa wakati wanafamilia wote wapo kwenye nyumba za nyasi huku wengine wakitaabika na njaa kila mwaka pamoja na Mavuno duni katika shamba la familia (Anawajibika kuwa Chachu ya Maendeleo ya wengine japo wanaweza wasimfikie wakati akiwa yeye anakua)
Jambo lake huyu lina Msingi maana Maendeleo yaliyotajwa ya Mwenzetu ni Makubwa mno naye akiwa ndiye Mwanga wetu Taifa zima tunaoona Mambo bado Magumu
Inafikirisha kuona licha ya kuwa umesema Azimio lenye miiko ya Uongozi lilikoma lakini haujaweza kuona haifai kumsakama Mwenzetu huyu kuwa ni Maskini wa Roho kwa kuwa Jambo hili kwa Mazingira ya sasa halina sura nzuri
Tunataka basi angalau Maendeleo ya aina hii yawepo kwa wingi pia kwa Raia wa kawaida wasio watu wazito katika serikali yetu
Nakumbuka yule chawa wa Zitto Kabwe ni somebody Nondo kama sikosei alikwenda tume ya maadili kufuatilia mkubwa Fulani akakuta amedanganya Mali alizojaza kwenye fomu, lakini alipigwa danadana mpaka naona akakubali yaishe.Hebu niambie sehemu ya kwenda kuuliza, na hizo taratibu.
Juha mkubwa huna unachokijua Kaa tu Kimya sawa? Unajifanya una Akili wakati unazidiwa na hata Dereva Bodaboda tu anayekuchapia Mamsampu wako.Hiyo kampuni mmiliki halisi ni Nañi? Na kama ni Mwigulu Nchemba ameikabidhi Kwa board of trustee waiendeshe na yeye kukaa pembeni?
Pili bill of loading ni dollar ngapi na calculation ya ushuru ni shilling ngapi? Lete details.
Nenda brela 😀
Abood na shabiby ni matajiri kabla ya kuwa wabunge? Unachekesha weweHakuna mtu atakayeshangaa Abood au Shabiby kuagiza mabasi, ni matajili kabla ya kuwa wabunge, huyu Mwigulu Nchemba Kwa miaka 10 tu kapata wapi huo utajili?
Hata kama katiba basi ni mwizi mzuri
Kuiba na kuwekeza nchini na kuongeza ajira ni kuzuri kuliko kuiba na kupeleka pesa nje uswisi nk
Mabasi 60 kila basi linakuwa na madereva wawili na wahudumu wawili jumla wanne
Nne Mara mabasi 60 ni kuwa yataongeza Ajira za watu 240
Hao 240 wana wategemezi chukulia kila mmoja anawategemezi wawili jumla ya watakaofaidika ni wao 240 jumlisha wategemezi 480 .Wataokafaidika direct na hizo ajira ni 720
Bado kuna TRA hapo wanafaidi,bado wenye nyumba za kupangisha wanafaidi, bado vituo vya mafuta vitafaidi kujaza mafuta hayo magari,bado magereji watafaidi nk
Watanzania tuache utoto tukiona wazawa wanawekeza kwenye nchi tuachane na wivu wa kijinga
Watu wabaya ni waenda kuficha pesa nje
Binafsi kama ni kweli kaagiza mabasi 60 nampongeza
Kwa hiyo umenuna mtu kujinunulia magari?Hebu acha akili za kimasikini mkuu!Au haupendi tukalione ziwa Singidani?😂😂😂
Ameshaagiza tuletee evidence, au umesikia tu story..!!
Kwenye Tozo2OO,OOO,OOO X 6O = 12 BIllions katoa wapi?