DOKEZO Waziri aagiza mabasi 60, Kampuni ya Esther

DOKEZO Waziri aagiza mabasi 60, Kampuni ya Esther

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Baadhi ya viongozi wa nchi hii wanatumia vyeo vyao kuingia mikataba na wafadhili kwa maslahi yao! Wanafungua taasisi na kuanzisha biashara kwa manufaa yao! Wanajificha nyuma ya kivuli cha wawekezaji!
Hakuna vikwazo/sheria za wao kumiliki mali zenye thamani kubwa tofauti na kipato chao!

Hata ikiwa ni kweli, bado sheria haimbani!
 
Yu tong moja bei gani?
450m
Kama ni 60 ni bilion 27
Mshahara ni mil 4 kwa mwez, na kampuni imeanza miaka 6 ilopita, kutokana na macho yangu,
Ninavyojua biashara ya mabus hayawezi yakakupa hyo hella
Mshahara na marupurupu ya uwazili hayafiki nibkama mil10 kwa mwezi, hizo nil20 au 25 hana, labda kaiba
 
Umeshasahau kuwa Chama pendwa kimesharudi kwa wafanyabiashara?
Huenda kizuizi kilikuwa Mwendazake.
 
Mwenye nacho huongezewa,kama ni zake kweli napo ni sawa tu,huenda kakopeshwa na benki,ila sasa watanzania ukiwa na nafasi ukiitumia shida usipoitumia shida.Akistaafu hana chochote napo tutamfungulia uzi wa masimango hivi hivi.
 
wabongo kwa kupika majungu na fitina mko juu, mnakiwango cha PHD ya kupika majungu.
madhahara ya kuwa na PhD ya majungu na fitina ni kupata ugonjwa wa moyo na kufa mapema.
 
phd ya tozo inatumaliza watanzania.....wewe mwalimu uliyetoa hiyo phd ebu jitafakali, huyu mwanafufunzi wenu amekuwa mikosi
 
Hiyo kampuni mmiliki halisi ni Nañi? Na kama ni Mwigulu Nchemba ameikabidhi Kwa board of trustee waiendeshe na yeye kukaa pembeni?

Pili bill of loading ni dollar ngapi na calculation ya ushuru ni shilling ngapi? Lete details.
Complains bila details of facts ambazo zinaweza kuwa verified by the authorities ni upashkuna.
 
Nawasalimu Wakuu,

Nchi inaenda pabaya Wakuu, TISS msaidieni mama..,. Hivi inakuwaje Waziri anaagiza Yu Tong 60 halafu hamsemi kitu?, huyu Waziri wa Fedha hizi pesa za Yu Tong 60 kampuni ya Esther, amepata wapi?. Kazi kwenu!.
Haya majizi yatutoza tozo za hovyo ili yakamilishe miradi yao binafsi. Wananchi tuamke tuache woga tuwPinge na kuwataja hadharani wote bila kujali nyadhifa zao
 
Nawasalimu Wakuu,

Nchi inaenda pabaya Wakuu, TISS msaidieni mama..,. Hivi inakuwaje Waziri anaagiza Yu Tong 60 halafu hamsemi kitu?, huyu Waziri wa Fedha hizi pesa za Yu Tong 60 kampuni ya Esther, amepata wapi?. Kazi kwenu!.
Kuna siri nzito kati ya Mwigulu na mkuu wa kaya. Hawezi kuguswa na mtu wala taasisi yeyote mpaka pale siri itakapowekwa hadharani
 
Nawasalimu Wakuu,

Nchi inaenda pabaya Wakuu, TISS msaidieni mama..,. Hivi inakuwaje Waziri anaagiza Yu Tong 60 halafu hamsemi kitu?, huyu Waziri wa Fedha hizi pesa za Yu Tong 60 kampuni ya Esther, amepata wapi?. Kazi kwenu!.
Wanashindana na SA100 KUFANYA UFISADI ...MUISIHARAMU SIYO MTU KABISA
 
Back
Top Bottom