DOKEZO Waziri aagiza mabasi 60, Kampuni ya Esther

DOKEZO Waziri aagiza mabasi 60, Kampuni ya Esther

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Yaani aendeshe Timu ya mpira harafu ashindwe kuagiza vibasi hivyo ?

Lini sheria ilikataza watumishi kufanya biashara? Hii mentality ya wizi kila kitu ndio inawafanya mzidi kuwa maskini ..

Nikuulize umewahi kuona wapi mbunge wa ccm ni maskini au anagombea ubunge hana pesa?

Kwa hiyo kwa akili zako mbovu kuna mtu ambae TISS hawana taarifa yake?

Ukishaanza kuwa na kacheo na hela huko kitaa lazima Tiss wakujue au hata ukiwa mtu mwenye ushawishi kwenye jamii lazima wajue..

Yaani watu Wana kampuni za ujenzi zina set kama 5 za equipments harafu unazungumzia huto tumabasi? Kuwa serious Mzee.
Sikia hiki kijambio cha mama[emoji115]
 
Huyu jamaa baada ya jiwe kumtumbua kwenye uwaziri na ile team ya mpira iliyumba kinoma lakin baada ya mama kumrudisha uwaziri angalieni maendeleo ya team yalivyo mazuri kiuchumi
 
Kwa hiyo umenuna mtu kujinunulia magari?Hebu acha akili za kimasikini mkuu!Au haupendi tukalione ziwa Singidani?😂😂😂
Tatizo siyo kununua, pesa amezipata wapi na mshahara wake wajulikana? Au atuoneshe amechukua wapi mkopo? Watu wengine hata wakiibiwa waona sawa tu endapo aibaye ni Waziri! Mwizi ni mwizi tu.
 
Mkuu KaziIendelee, hakuna kitu kibaya kama umasikini wa fikra na umasikini wa roho, kuwa na fikra za kimasikini na kuwa na roho ya kimasikini!.

Baada ya kuzikwa kwa Azimio la Arusha lenye miiko ya uongozi, na kubadilishwa na Azimio la Zanzibar, hakuna ubaya wowote kwa kiongozi yoyote kumiliki mali na kufanya biashara yoyote ali mradi biashara hiyo isiwe na conflict of interest na uongozi wake.

Hivyo rais, VP, PM na waziri yoyote au kiongozi yoyote yuko huru kufanya biashara yoyote as direct bussiness kwa ku declare kwenye fomu ya tamko la mali zake au kufanya biashara by proxy as a silent partner kwenye biashara yoyote bila kuvunja sheria yoyote.

Na kwenye kufanya biashara huko, biashara hiyo ina uhuru wa kukopa ma B na ma B na ma B na kuagiza mali zozote hata mabasi 100, ndege, meli au biashara yoyote.

Natoa wito tusiwe masikini wa roho wenye roho za kimasikini na fikra za kimasikini, kama umeridhika na umasikini wako, ni wewe, lakini kama unapenda utajiri, pambana na hali yako, kwa kuwa na fikra za kitajiri, have brilliant business idea, mabenki yapo yanatoa mikopo ya ma B, ukishindwa kabisa kufanya biashara, then get rich any how, or die trying!.

Tusiwaonee wivu wenye nacho!.
P
Kaka Paskali,
Unadhani ni fair waziri wa fedha kumiliki kampuni ya betting wakati wizara anayoisimamia ndiyo inayohusika kutengeneza some of the policies governing betting nchini, is it ethical ?
 
Back
Top Bottom