Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji849][emoji849][emoji848]Aliekuambia kua tajiri ni muda nani? Esther zipo zaidi ya miaka 15
Sikia hiki kijambio cha mama[emoji115]Yaani aendeshe Timu ya mpira harafu ashindwe kuagiza vibasi hivyo ?
Lini sheria ilikataza watumishi kufanya biashara? Hii mentality ya wizi kila kitu ndio inawafanya mzidi kuwa maskini ..
Nikuulize umewahi kuona wapi mbunge wa ccm ni maskini au anagombea ubunge hana pesa?
Kwa hiyo kwa akili zako mbovu kuna mtu ambae TISS hawana taarifa yake?
Ukishaanza kuwa na kacheo na hela huko kitaa lazima Tiss wakujue au hata ukiwa mtu mwenye ushawishi kwenye jamii lazima wajue..
Yaani watu Wana kampuni za ujenzi zina set kama 5 za equipments harafu unazungumzia huto tumabasi? Kuwa serious Mzee.
Yutong zingeuzwa bei chee kiasi hiki hata walimu wangemiliki, bila million 400 hupati labla makopo yakizamani2OO,OOO,OOO X 6O = 12 BIllions katoa wapi?
100% Ester ni jina la mke wake Mwigulu NchembaEster ni kampuni ya Mwigulu nchemba
Atakuwa anampenda sana mkewe,hadi kufungua kampuni kwa jina lake.100% Ester ni jina la mke wake Mwigulu Nchemba
Nilikuwa namsikiliza tajiri wa ABC ITV alikuwa anasema yutong kwa sasa hv mpaka kukamilisha kila kitu si Chini ya 300M+2OO,OOO,OOO X 6O = 12 BIllions katoa wapi?
Ulitaka ziishie wapi? Hao watu wa KIOMBOI hawastahili kupata usafiri?Ukitaka kujua mmiliki wa Esther Luxury Coach jiulize swali dogo tuu, "KWA NINI ZINAFIKA MPAKA KIOMBOI?"
Ester ni jina la mke wake, na mke wake ni mzaliwa wa Rombo Mkoa wa Kilimanjaro . Jiulize kwanini zinakwenda Rombo?Ulitaka ziishie wapi? Hao watu wa KIOMBOI hawastahili kupata usafiri?
Mbona zikifika maeneo mengine sio hoja?
Tatizo siyo kununua, pesa amezipata wapi na mshahara wake wajulikana? Au atuoneshe amechukua wapi mkopo? Watu wengine hata wakiibiwa waona sawa tu endapo aibaye ni Waziri! Mwizi ni mwizi tu.Kwa hiyo umenuna mtu kujinunulia magari?Hebu acha akili za kimasikini mkuu!Au haupendi tukalione ziwa Singidani?😂😂😂
Waziri wa fedha anaruhusiwaje kumiliki kampuni ya betting wakati wizara anayoisimamia inatengeneza policy zinazoisimamia betting? Hii nchi ni lawless.Ela ndogo Sana hiyo kwa mtu mwenye kampuni ya betting
Hili nalo ccm nendeni mkalitizameWaziri wa fedha anaruhusiwaje kumiliki kampuni ya betting wakati wizara anayoisimamia inatengeneza policy zinazoisimamia betting? Hii nchi ni lawless.
Kaka Paskali,Mkuu KaziIendelee, hakuna kitu kibaya kama umasikini wa fikra na umasikini wa roho, kuwa na fikra za kimasikini na kuwa na roho ya kimasikini!.
Baada ya kuzikwa kwa Azimio la Arusha lenye miiko ya uongozi, na kubadilishwa na Azimio la Zanzibar, hakuna ubaya wowote kwa kiongozi yoyote kumiliki mali na kufanya biashara yoyote ali mradi biashara hiyo isiwe na conflict of interest na uongozi wake.
Hivyo rais, VP, PM na waziri yoyote au kiongozi yoyote yuko huru kufanya biashara yoyote as direct bussiness kwa ku declare kwenye fomu ya tamko la mali zake au kufanya biashara by proxy as a silent partner kwenye biashara yoyote bila kuvunja sheria yoyote.
Na kwenye kufanya biashara huko, biashara hiyo ina uhuru wa kukopa ma B na ma B na ma B na kuagiza mali zozote hata mabasi 100, ndege, meli au biashara yoyote.
Natoa wito tusiwe masikini wa roho wenye roho za kimasikini na fikra za kimasikini, kama umeridhika na umasikini wako, ni wewe, lakini kama unapenda utajiri, pambana na hali yako, kwa kuwa na fikra za kitajiri, have brilliant business idea, mabenki yapo yanatoa mikopo ya ma B, ukishindwa kabisa kufanya biashara, then get rich any how, or die trying!.
Tusiwaonee wivu wenye nacho!.
P
Mchumia tumbo siku hizi mkuuKaka Paskali,
Unadhani ni fair waziri wa fedha kumiliki kampuni ya betting wakati wizara anayoisimamia ndiyo inayosimamia betting nchini, is it ethical ?