450mYu tong moja bei gani?
Hyo ni ile single, double ni 450Tsh 300m
Sidhani mkuu!!! Itakuwa maneno ya watu tuKwahiyo Esta siyo mabasi ya Mwigulu kama tunavyoaminishwa?
Maana kipindi cha JK kila jengo tuliambiwa ni la Ridhiwani.
Ninamjua huyo mzee,nimewahi kufanya nae shughuli flani!! Nachokwambia ni ukweliwewe mzee acha kudanganywa.
Complains bila details of facts ambazo zinaweza kuwa verified by the authorities ni upashkuna.Hiyo kampuni mmiliki halisi ni Nañi? Na kama ni Mwigulu Nchemba ameikabidhi Kwa board of trustee waiendeshe na yeye kukaa pembeni?
Pili bill of loading ni dollar ngapi na calculation ya ushuru ni shilling ngapi? Lete details.
Jamaa anaitafuna nchi vizuriNawasalimu Wakuu,
Nchi inaenda pabaya Wakuu, TISS msaidieni mama..,. Hivi inakuwaje Waziri anaagiza Yu Tong 60 halafu hamsemi kitu?, huyu Waziri wa Fedha hizi pesa za Yu Tong 60 kampuni ya Esther, amepata wapi?. Kazi kwenu!.
Haya majizi yatutoza tozo za hovyo ili yakamilishe miradi yao binafsi. Wananchi tuamke tuache woga tuwPinge na kuwataja hadharani wote bila kujali nyadhifa zaoNawasalimu Wakuu,
Nchi inaenda pabaya Wakuu, TISS msaidieni mama..,. Hivi inakuwaje Waziri anaagiza Yu Tong 60 halafu hamsemi kitu?, huyu Waziri wa Fedha hizi pesa za Yu Tong 60 kampuni ya Esther, amepata wapi?. Kazi kwenu!.
Kuna siri nzito kati ya Mwigulu na mkuu wa kaya. Hawezi kuguswa na mtu wala taasisi yeyote mpaka pale siri itakapowekwa hadharaniNawasalimu Wakuu,
Nchi inaenda pabaya Wakuu, TISS msaidieni mama..,. Hivi inakuwaje Waziri anaagiza Yu Tong 60 halafu hamsemi kitu?, huyu Waziri wa Fedha hizi pesa za Yu Tong 60 kampuni ya Esther, amepata wapi?. Kazi kwenu!.
Wanashindana na SA100 KUFANYA UFISADI ...MUISIHARAMU SIYO MTU KABISANawasalimu Wakuu,
Nchi inaenda pabaya Wakuu, TISS msaidieni mama..,. Hivi inakuwaje Waziri anaagiza Yu Tong 60 halafu hamsemi kitu?, huyu Waziri wa Fedha hizi pesa za Yu Tong 60 kampuni ya Esther, amepata wapi?. Kazi kwenu!.