Gazeti limemtaja Leo wewe kelele mchana huu ,unadhani uchunguzi ni kama kukaanga chipsLeo katika Gazeti la Raia Mwema kuna taarifa za Waziri anaemiliki Jumba Ufukweli mwa Dubai tena akiwa amelinunua CASH kwa mabilioni ya shilingi.
Cha ajabu mpaka sasa vyombo vyetu husika havijafanya uchunguzi wowote kwa kumhoji ili ijulikane fedha hizi alikwiba wapi na hatua stahiliki. Hii inaonyesha wizi ni kama umehalalishwa ktk kipindi hiki.
View attachment 2881294
Are you serious! Unaifahamu Dubai weweMtu kumiliki nyumba dubai mnaona ajabu
Watu wana miliki nyumba usa,Canada,UK huko
Ova
Bado tuna safari ndefu snNa mimi naona ajabu nimesoma sijaona jina la mtu!!
Nimechoka na huyu mrangi kumbe ni mbabaishaji tu. Dubai ninayojua, hata hotel ni gharama ajabu. Mfano pale Palm Jumeirah ndipo kiboko ya njiaSasa huko USA na Canada si kawaida TU bei za nyumba! Dubai hata maji ya kunywa TU ni bei ndio uje ununue nyumba!
Wewe ndio zuzu haswa unayeamini uzushi.Huyo waziri ni nani mtaje?We ni mjinga sn, kwamba watu hawaoni, kwanini asiache kazi ya uwaziri akasimamie biashara zake? Mbona hatumlalamikii Mo au GSM?
tulia huna akiliWewe ndio zuzu haswa unayeamini uzushi.Huyo waziri ni nani mtaje?
Kigwa ndio aliyeanzisha yote hayo.Ndio maana picha yake ikawekwa kwenye hiyo habari.Naona kuna Subliminal message hapo kuwa Kigwa lakini Kigwa si alishafanyiwa Matumbuzi.
Uchaguzi umekaribia lakini nijuavyo mimi Nzega hawamtaki hata kumsikia Kigwa na huenda Jimbo lake linakuja CHADEMA Jimbo litakalobakia CCM ni Nzega Mjini Bashe kawaloga wana Nzega Town.Kigwa ndio aliyeanzisha yote hayo.Ndio maana picha yake ikawekwa kwenye hiyo habari.
Rais wetu mpendwa aliruhusu kula kwa urefu wa kamba yako acha wenye nafasi waoneshe urefu wa kamba zao.Haya magazeti na Kigwa wote lao moja, Kigwa anafanya hivyo kwa lengo la kutafuta teuzi, wakati hayo magazeti yanafanya hivyo ili yapate wateja.
Kama jina la waziri mnalo, nyumba anayomiliki ni yake, na ushahidi mnao, kipi kinachowatisha kumtaja huyo waziri?
Wajanja wanatuchezea kiakili ili kuyafikia malengo yao, huku wanajiita whistleblowers!.
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
issue sio nyumba au mali zipi .... ni upatikanji halali wa uwezo huo. Compliance1Sikuwahi kujua kwamba kumiliki nyumba Dubai ni haramu ππππ
Umaskini wa akili ni tatizo kubwa sana Nchi hii ndio maana haiendelei.
Majawabu anayo Mh. Hamisi Kigwa..Leo katika Gazeti la Raia Mwema kuna taarifa za Waziri anaemiliki Jumba Ufukweli mwa Dubai tena akiwa amelinunua CASH kwa mabilioni ya shilingi.
Cha ajabu mpaka sasa vyombo vyetu husika havijafanya uchunguzi wowote kwa kumhoji ili ijulikane fedha hizi alikwiba wapi na hatua stahiliki. Hii inaonyesha wizi ni kama umehalalishwa ktk kipindi hiki.
View attachment 2881294
Kwa nini asiende kujiajiri?
Una tatizo la uelewa bila kukosea.Kwa nini asiende kujiajiri?