Mnataka kumkwamisha Mama na Bashe. Mama ndio kamteua BsheHuyo msomali alipewaje uwaziri? Tangu apewe hiyo wizara kafanya lipi la maana zaidi ya ufisadi, huyu si ndio anahusishwa na ile kampuni dhulumati ya tumbaku mkwawa? Hawa mawaziri shida sana
Wewe umesema jambo. Japo Bashe ni mmoja wa mawaziri wababaishaji, nampongeza kwa kutokuwa mnafiki na kuamua kusema ukweli. Waziri au mtumishi wa serikali hapaswi kuwajibika kwa Makonda.Japo simfagilii kivile lakini kwa kauli hii nampongeza sana.
kwahiyo anamaanisha BASHITE, DCI/RPC, TAKUKURU na wengine hawawezi kumuita na kuchukua maelezo yake?"Rais, Makamu wa Rais, Waziri Mkuu na Naibu Waziri Mkuu, hawa ndiyo wanaweza kuniita na kunihoji, hakuna mtu mwingine yoyote, watu wajue mipaka yao ya kazi," Waziri wa Kilimo Hussein Bashe.
View attachment 2885428
View attachment 2885860
Bashe awezi kuwa mbabe wa Makonda mbona jana alipigiwa simu akaeleza mbele ya wananchi? Au hakuwa yeye? Siamni kama kuna mtu amemwambia aondoe bei elekezi ! Zaidi yeye ameambiwa ahakikishe ana simamia swala la upatikanaji wa sukari na bei alizozisema …na amekubali mbele za watu….Haya sasa makonda amepata mbabe 😂
😂😂😂 mwenzie Mpina amehojiwa na wanaccm mkoani kwake hahaha bashe bhanakwahiyo anamaanisha BASHITE, DCI/RPC, TAKUKURU na wengine hawawezi kumuita na kuchukua maelezo yake?
Husichanganye mada, Bashe hayuko juu ya sheria. Akifanya makosa ya kijinai au rushwa atahojiwa na vyombo husika kama raia mwingine yoyote lakini hawajibiki kwa Makonda. JPM aliwapa kichwa Polepole na Bashiru kuwaengua wagombea wa nafasi za ubunge nk, hichi ndicho wanachokiogopa mawaziri wakidhani Samia atafanya kama alivyofanya JPM.kwahiyo anamaanisha BASHITE, DCI/RPC, TAKUKURU na wengine hawawezi kumuita na kuchukua maelezo yake?
Watafikiwa Tu 😂 ni swala la mudaHii ndiyo moja ya Vita ambayo GENTAMYCINE nilikuwa naitamani sana kama ambavyo nazitamani pia na za Maadui wake Wakubwa Makonda akina Nchemba, Makamba na Mnauye.
Ona sasaTuone kama kweli anayosema.... 😀 😀
Good thinking"Rais, Makamu wa Rais, Waziri Mkuu na Naibu Waziri Mkuu, hawa ndiyo wanaweza kuniita na kunihoji, hakuna mtu mwingine yoyote, watu wajue mipaka yao ya kazi," Waziri wa Kilimo Hussein Bashe.
View attachment 2885428
View attachment 2885860
Saaafi"Rais, Makamu wa Rais, Waziri Mkuu na Naibu Waziri Mkuu, hawa ndiyo wanaweza kuniita na kunihoji, hakuna mtu mwingine yoyote, watu wajue mipaka yao ya kazi," Waziri wa Kilimo Hussein Bashe.
View attachment 2885428
View attachment 2885860
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bashe kaniangusha hahahaha inasemekana kaandika hayo uko x lakini leo hii kapigiwa Simu na Makonda kaulizwa maswali na kajibu vizuri na kuahidi kusimamia maekekezo ya chama.
Hahaha kweli za kuambiwa changanya na zako…Jamani mihemko ya uko x angalieni isije kuwapotezea vibarua vyenu
ni wapi mwenezi amejigeuza Rais wa nchi!!huo u MC anaoufanya kwa watendaji mbali mbali mbele ya wananchi au kuna jingine!!!Kwani Mwenez anatumia kifungu gani kujigeuza yeye ni Rais wa nchi?
nchimbi sio mwenezi,ni katibu mkuu wa chama.Mbina Nchimbi katulia tu.Tanzania hatuna utawala wa sheria.Ni vurugu mechi tu kama tumelaaniwa.
Waziri gani amewahi shitakiwa na kuhojiwa na police tangu tupate uhuru?kwani sheria zimemtaja waziri gani kuwa mwenye kinga ya kushtakiwa??
Safi sana kwa huyo mkulima.Na kujiamini ...
Watanzania wengi hatujiamini .. Na uoga sana wa kutumia Mahakama pale unapokandamizwa...Kuna kipindi kama miaka 4 ...Mnyeti akiwa RC akifanya ziara vijijini huko Manyara alimfanyia kituko mkulima mmoja ..
Akaenda kuripoti polisi ..polisi wakamtimua ..akafunga safari Dodoma kwa IGP ..basi yule bwana akapigiwa simu na RC kwenda ofisini kwake na kuyamaliza japo aliambiwa chunga sana....ni wachache wana udhubutu huo