Mleta mada mbona bichwa ;alo la habari umemtaja makonda, utumbo wa habari, Bashe hajataja jina la yeyote. Kasema hakuna mtu yeyote isipokuwa aliye-wataja tu, tena kwa vyeo vyao siyo kwa majina yao."Rais, Makamu wa Rais, Waziri Mkuu na Naibu Waziri Mkuu, hawa ndiyo wanaweza kuniita na kunihoji, hakuna mtu mwingine yoyote, watu wajue mipaka yao ya kazi," Waziri wa Kilimo Hussein Bashe.
View attachment 2884613
Acha vichekesho vyako "eti chama kimuhoji Rais"!? Rais huyo huyo ambaye ni mwenyekiti!? Yaani ajihoji mwenyewe!?Kwani yeye ni mtendaji wa chama?
Bashe yupo sahihi. Mawaziri wote na watendaji wengine wote wa Serikali wanawajibika kwa aliyewateua, na siyo mwingine yeyote.
Chama kama kinaona kuna jambo ambalo halipo sawa, kinatakiwa kimhoji Rais ambaye ni kiongozi wa chama na ndiye msimamizi wa Serikali. Msimamizi wa Serikali, ndiye ana uwezo wa kuwahoji wateule wake na watendaji wote wa Serikali.
Makonda ni mpuuzi. Anawarukia watu ambao hawawajibiki kwake wala kwa chama bali kwa serikali na wakuu wa Serikali.
Ooooh kumbe, hongera zako.Mtume muhammad alipewa sumu na kijakazi ya kiyahudi, ikapelekea kifo chake.
Hiyo haina ukomunisti wala ubepari,ata Boris Johnson alikataliwa na Chama chake,akatema bungo la Uwaziri Mkuu pale Uingereza.Hapa sio kama China kwa Wakomunisti.
Mbona kahojiwa vizuri tu na ameeleza kuhusu bei ya sukari.Uzuri wa Bashe hababaishwi.
Keshatoka kuhojiwa saivi tuNgoja tusubiri Bashite atajibu vipi
Teh teh amesemaje mkuuKeshatoka kuhojiwa saivi tu
Atatekeleza maagizo ya chama kuhusu sukari ππππππTeh teh amesemaje mkuu
Hakuna mkate mgumu mbele ya chai.Amepokea maelekezo na kayajibu kwa ufasahaBashe kaniangusha hahahaha inasemekana kaandika hayo uko x lakini leo hii kapigiwa Simu na Makonda kaulizwa maswali na kajibu vizuri na kuahidi kusimamia maekekezo ya chama.
Hahaha kweli za kuambiwa changanya na zakoβ¦Jamani mihemko ya uko x angalieni isije kuwapotezea vibarua vyenu
Ni hatari sanaAtatekeleza maagizo ya chama kuhusu sukari ππππππ
Hii ndiyo moja ya Vita ambayo GENTAMYCINE nilikuwa naitamani sana kama ambavyo nazitamani pia na za Maadui wake Wakubwa Makonda akina Nchemba, Makamba na Mnauye."Rais, Makamu wa Rais, Waziri Mkuu na Naibu Waziri Mkuu, hawa ndiyo wanaweza kuniita na kunihoji, hakuna mtu mwingine yoyote, watu wajue mipaka yao ya kazi," Waziri wa Kilimo Hussein Bashe.
View attachment 2884613
Ingia youtubeTeh teh amesemaje mkuu
Yaan lazima kuna vikao vya siri vipo kumjadili....ngoja tuoneHii ndiyo moja ya Vita ambayo GENTAMYCINE nilikuwa naitamani sana kama ambavyo nazitamani pia na za Maadui wake Wakubwa Makonda akina Nchemba, Makamba na Mnauye.
Mwenez kakalia kuti kavuKeshauchoka uwaziri. Anataka kurudi msituni huyu kha