Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 25,252
- 36,513
Upo sahihi Dokta.Yaani Kila kitu kinautaratibu, nikifanya langu mm hapa, watakuja waseme waziri kakurupuka. Wote huwa tunafuata utaratibu huu huu, kuwa kwa haraka waziri huwa nasema hili baya au hili liko hivi, na nimesema hapo tayari. Sasa, kinachofuata ni kuwa, ataitwa na kamishna, atahojiwa ilikuwaje kafikaje huko alikofika, atasema, huenda wengine wataunganishwa maana uelewa utakuwa sasa mpana. Inaweza gusa huko shuleni alikokuwa lakini pia watoto watahitaji huduma na wazazi pia watahitaji huduma, yaani mfumo mzima uliguswa utahusika kwenye hatua mbalimbali Kila mmoja kwa nafasi yake kama ni kupata unasihi au kuwajibika. Na hapo baada ya huo uchambuzi ndiyo wizara itasema ikaja ikaenda ikawa hivi na Sasa kilichofanyika hiki. Halafu Sasa maoni yatatolewa je nn kimesahaulika au kimeachwa wapi Ili hatua zaidi ziendelee juu eneo hilo. Nadhani huu ni utaratibu mzuri kabisa, au vipi ndugu zangu?
Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app
Bila utaratibu hakuna usahihi au tija nzuri