DOKEZO Waziri Gwajima, hii anayofanya Lillian Mwasha kwa watoto siyo sawa

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Upo sahihi Dokta.

Bila utaratibu hakuna usahihi au tija nzuri
 
Anawauliza watoto wanaochukiwa na baba zao. Je amewaandaa kisaikolojia? Mbona yaonekankama ni udhalilishaji kwa watoto na wazazi wao. Angalia clip hapa

Hii haikubaliki, huyu amejisahau. Na shule iliyobariki imejisahau.

Ili binadamu yoyote awajibike, lazima kuwepo na hofu au maumivu. Bila hofu au maumivu mwanadamu hawajibiki.

Kwa matiki hiyo; mzazi kumweleza mtoto kuwa usiposhinda mitihani yako ya form four, jua mimi si baba yako, ni kumtia hofu ili awajibike.

Mhe. Dr Gwajima - WAZIRI saidia hapo
 
Ndiyo hivyo Dr, penye wengi pana mengi. Lakini tunaiona nia yako njema ! Keep it up Dr!
 
πŸ™πŸ™πŸ™
 
Ckuwahi fikiri kama muheshimiwa waziri ungeweza kureply hizi text na kusikiliza maoni mbalimbali ya wadau wa jamii forum.

Hakika hii n kaz nzuri iliyotukuka. Ila Lai yangu kwa wanajamii forum wenzangu baada ya kuona tatzo limetokea tusiwe watu wa mbele kulaani na kutukana bali kupitia Hilo tatzo hakika iwe n changamoto na fursa ya kutoa mawazo yetu na kushauri nn kifanyike na wapi tunakosea ilimradi kesho hyo kitu isijirudie.

Na hii ndo solution ambayo inaweza tufikisha mbali zaidi.[emoji120]
 
Na wewe umekuwa saa mbovu, sikutegemea umuunge mkono huyu demu wa clouds kwa udhalilishaji "bullying" watoto. Kuna wakati unatoa mada nzuri ila kwa hii comment nimekudharau
Kwasababu yeye mwenyewe ni Bully, ukimuunga mkono mtu fulani, it says alot about you!
 
Ain’t trying to play gender card, atleast not here sweet!

ala la muda, hao wasichana hapo ni wakubwa, probably wanaelewa vizuri kilichotokea kwenye maisha yao na wazazi wao.
Unaambiwa mtoto huyu hakuonja malezi ya baba na mama wakiwa wanaishi katika nyumba moja. Nakuomba uelewe kitu kimoja, mwanaume kumkataa mwanamke ni dhambi kubwa katika maisha ya mwanamke kiasi kisasi hicho hakitakaa kiishe hadi kiama. Na bahati mbaya muwe na mtoto, mwanamke atakuchapa kupitia mtoto.

Ila Mwanamke akimkataa mwanaume hapo maisha yanasonga. Na watoto ambao mama ndio waliwakataa Baba za watoto, hutasikia malalamiko ya watoto kwa baba zao.

Ushauri wa bure; kwa vijana kama unaona mambo hayaendi na ukaamua kushika hamsini zako; jitahidi mama akukatae yeye. Kila wakati kuwa mnafiki na kujifanya bado unampenda na kumtaka. Wanawake wanapenda UBOSI ujue.
 
Mkuu, usingetaja wadhifa wake wa udiwani, kufanya hivyo kutamfanya achukue tahadhari ili kuficha ukweli.

Lakini umefanya vyema kuonesha kukerwa na uovu unaotendeka. Mh. Waziri kaweka mawasiliano yake humu. Mpigie simu au umtumie sms. Huyu mama yuko serious sana na kazi yake. Naamini ukimpa maelezo yanayojitosheleza, atachukua hatua haraka sana. Huwa haachi zege lilale.
 
Kabisa, kumwambia mtoto usilete zero ndani kwangu ni kutokuwajibika? Kwahiyo anataka tukawafanyie quez mashuleni?
 
UShauri umefanyiwa kazi
 
Ahsante Sana, hata wewe ninakubariki tu. Mungu akipenda, atakusaidia kuona.

Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app
Dr, tafadhali usiupoteze muda wako kuwajibu watu wanaotaka kukutoa kwenye reli. Kama ni muhimu kuwajibu watu wa aina hiyo, utuachie sisi, tutawajibu kwa kadiri tutakavyoona inafaa. Vinginevyo, ni kuwapuuzia tu.

Wewe shughuli na yale ya msingiπŸ™
 
πŸ™πŸ™πŸ™
 
Huyo akishaona majina ya kigalatia mfano kina Ester,Dorika or Dorice,Maria n.k mapepo yanampanda....
Jana kwenye uzi mwingine nikaona anamparamia Dk. Gwajima analeta ubishani wa kijinga licha ya kupatiwa majibu sahihi. Nikataka nimwambie waziri kuwa huyo bibi kuna sababu nyingine inayofanya alete ubishani na sio hoja iliyo mezani, ila nikasita. Bahati nzuri mods wamepita naye, bibi yupo segerea ya JF anasoma kama guest muda huu.
Yaani anakuwa mjinga mjinga licha ya kuwa kwa umri anaweza kuwa amewapita 90% ya wanaJF.
 
Sidhani kama una msaidia dr, ungekuwa unamsaidia ungeshafanye press release juu ya hili, mwache dr ajipambanie, dr tutakuunga kwenye group la friends of samia tunaona kazi za mawaziri wa madini viwanda afya wewe hatukusikii
 
Heriel ana andika vizuri sana fasihi...lakini acha ujuaji kwenye asiyoyajua!
 
Bila shaka wewe ni Muamala Jamii!
 
Kumbe kaliwa kichwa ...safi sana..hivi haoni aibu ,hata kaa Waziri hayupo sahihi( sio Kwa muktadha huu) Mpe hata heshima yake !
Hivi ni Mawaziri wangapi wamepita hiyo sekta ,walikuwa passive ...huyu anafanya vizuri! Tumpe Moyo ! Ninaongea haya Kwa uzoefu mkubwa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…