Mh.huyu Faiza Fox ni kirusi ktk jamii usihangaike naye!FaizaFoxy, Habari za asubuhi FaizaFoxy. Utanisamehe Sana kwa kuwa sijaja humu JF kukubaliana na kila jambo ambalo litakupendeza wewe. Kwa upeo wangu huu huu, katika hili, diagnosis yangu ni kuwa, huyu Lilian Mwasha amekosea hiki alichofanya, hakifai. Na kwa upeo wangu huu huu sijalala hadi nikampata na kumwambia hapa umekosea na aondoe hizo video mitandao yake yote. Na kwa huu upeo wangu, nimemwagiza kamishna wa ustawi amwite kwa hatua zaidi na kufika kwenye hiyo shule waliko hao waalimu na watoto kwa hatua zaidi na tamko litolewe la marufuku kuhusu Kila mtu kuingia kwa watoto na kutoa huduma aina hizi na zingine. Na pia hatua zingine zaidi zichukuliwe kwa mujibu wa taratibu za ustawi. Haya, na wewe Sasa kwa kuwa unao upeo mkubwa kabisa, ongezea tufanye nini zaidi.
Ila acha chuki binafsi Ili twende sawa. Nakubariki, ubarikiwe [emoji1666][emoji120][emoji2969]
Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app
Hapo umenena baada ya mchakato usisite kutupa majibuYaani Kila kitu kinautaratibu, nikifanya langu mm hapa, watakuja waseme waziri kakurupuka. Wote huwa tunafuata utaratibu huu huu, kuwa kwa haraka waziri huwa nasema hili baya au hili liko hivi, na nimesema hapo tayari. Sasa, kinachofuata ni kuwa, ataitwa na kamishna, atahojiwa ilikuwaje kafikaje huko alikofika, atasema, huenda wengine wataunganishwa maana uelewa utakuwa sasa mpana. Inaweza gusa huko shuleni alikokuwa lakini pia watoto watahitaji huduma na wazazi pia watahitaji huduma, yaani mfumo mzima uliguswa utahusika kwenye hatua mbalimbali Kila mmoja kwa nafasi yake kama ni kupata unasihi au kuwajibika. Na hapo baada ya huo uchambuzi ndiyo wizara itasema ikaja ikaenda ikawa hivi na Sasa kilichofanyika hiki. Halafu Sasa maoni yatatolewa je nn kimesahaulika au kimeachwa wapi Ili hatua zaidi ziendelee juu eneo hilo. Nadhani huu ni utaratibu mzuri kabisa, au vipi ndugu zangu?
Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app
Mtapata kabisa. Na hadi sasa kamishna wa ustawi ameshawasiliana na mhusika, katika hatua za awali kasikilizwa kapewa maelekezo. Na hatua zingine zinaendelea. Hili jambo linachukuliwa kwa uzito wote. Ahsante SanaHapo umenena baada ya mchakato usisite kutupa majibu
Wewe Sasa ndio Dr! Saaafi sana.Ahsante Sana. Mambo mengi ya jamii yana dhamana ya wizara mbalimbali za kisekta, wizara yangu tunaendelea na uratibu wa wadau wa kisekta kama nilivyotamka tarehe 12 Sept 2023 tukiwa na BASATA, Cosota Bodi ya FILAMU wanaouhusika na udhibiti wa uzalishaji content.
Tunaendelea na ushirikiano na wenye dhamana ya hivi vyombo vya habari pia.... Shukrani kwa maoni yako.
Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app
AmekoseaAnawauliza watoto wanaochukiwa na baba zao. Je amewaandaa kisaikolojia? Mbona yaonekankama ni udhalilishaji kwa watoto na wazazi wao. Angalia clip hapa
Anawauliza watoto wanaochukiwa na baba zao. Je amewaandaa kisaikolojia? Mbona yaonekankama ni udhalilishaji kwa watoto na wazazi wao. Angalia clip hapa
Wakati tunazagamuana huyu lilian mwasha alitushikia miguu? Yeye haya baada ya kumhoji mtoto alimuuliza mamake hela ya kuhudumia mtoto anatoa wapi? Ulimhoji babake kujua ukweli? Baada ya kuwahoji aliwapa hata elfu kumi za kifuta machozi, sie huwa tunawaambia nenda shule ukileta div four katafute pa kuipeleka, huo ndio ukweli.Sioni Kama udharirishaji,Kama huudumii mtoto na mtoto anajua tusemaje sasa? Au mtoto aseme vipi. Huo Ndio ukweli na ukweli usemwe wazi,Yaan nikojoe tu alafu niondoke mwanangu Aishi vipi.
Kanyaga shingo kabisa bado anapumua huyoIla acha chuki binafsi Ili twende sawa.
SIONI KOSA LA LILIAN NACHOONA NI ANATIBUAnawauliza watoto wanaochukiwa na baba zao. Je amewaandaa kisaikolojia? Mbona yaonekankama ni udhalilishaji kwa watoto na wazazi wao. Angalia clip hapa
This is too low for you SirNi sahihi kabisa.
Mwanadada hajakosea hata kidogo.
Acha vijisababuIts all about Wanaume?
Playing Gender card wont help hapa......
Kwa kuwa umesema kuhusu wanaume nitasema kuhusu wanawake.
Ili yasitokee hayo.
1. Mwanamke asikubali kubeba mimba ya mtu asiye eleweka.
2. Mwanamke asi " tegeshe" ipatikane mimba ili kulazimisha kuwa pamoja ( ndoa) hasa kama anajua mwanaume aliyenaye ana mipango mingine.
3. If mahusiano yalikufa , mtoto asilishwe "sumu" juu ya baba ake, baba ake apewe " access" ya mwanawe, pia mtoto asitumike kama ndio chanzo cha kupiga hela in a name of " Child support".
Vitu ni vingi aseee, ila kusema hili ni jambo la wanaume pekee aseee hii ni issue.
Na haitosaidia chochote.
Absolutly i salute now you are talking as a professional Doctor, kwa taaluma yako unajua hatua za makuzi ya watoto, huyu Lilian ni ignorant kwa kile alichokuwa akifanya.Mtapata kabisa. Na hadi sasa kamishna wa ustawi ameshawasiliana na mhusika, katika hatua za awali kasikilizwa kapewa maelekezo. Na hatua zingine zinaendelea. Hili jambo linachukuliwa kwa uzito wote. Ahsante Sana
Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app
Hana akili ni wakupuuzwaUna uhakika kuwa una jicho la tatu mkuu???
Mhe. Kuomba radhi iwe ni miongoni mwa hatua zitakazochukuliwa, muhusika aombe radhi hadharani kama alivyodhalilisha hao watoto pamoja na familia zao kupitia mitandao aombe radhi pia na ikiwezekana arudi shuleni kuomba radhi na ajutie kosa lake.Mtapata kabisa. Na hadi sasa kamishna wa ustawi ameshawasiliana na mhusika, katika hatua za awali kasikilizwa kapewa maelekezo. Na hatua zingine zinaendelea. Hili jambo linachukuliwa kwa uzito wote. Ahsante Sana
Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app
Clouds alikua anatangaza kipind cha terminal akiwa na Harris kapigaMtangazaji wa kipindi Cha redio EA Redio nahisi km sijakosea au Wasafi au Claods huko kote kapita
Ngoja nikujibu kistaarabu waziri kashusha munkari wangu, kuna wazazi jobless walishafukuzwa kazi mtoto hajui kama babake hana kipato, anaona baba hawajibiki kumbe mzee pesa hakuna,Acha vijisababu
No 1 na 2 vaa condom... kwanini ufanye peku na mtu huna mpango? Take responsibility vaa condom hutokaa uache mbegu usipotarajia
No 3 kama una nia sheria zipo wazi, kuchunwa ni kuamua, toa child support kulingana na kipato chako na mtu kama hataki kuna njia za kisheria za kufata KAMA UNA NIA
inshort umetoa excuses za kitoto tu, VAENI CONDON MKIWA MNAKULANA NA WATU MSIO NA MALENGO NAO, otherwise ni kutafuta kutesa watoto duniani hapa