Pre GE2025 Waziri Jafo: Zaidi ya Viwanda 28,000 Vimejengwa Ndani ya Miaka 4 ya Rais Samia.Ampongeza Kwa Kuleta Mageuzi Makubwa ya Uwekezaji

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Nilidhani ni enzi zile tu!
 
Tanzania ya Samia ina viwanda Kila Kona eg hiki Cha Transfoma 👇👇

View: https://youtu.be/cKdtZ8Ru-OM?feature=shared
Hivi viwanda vya Samia havina tofauti na viwanda vya Magufuli huwa vinaonekana kwa baadhi ya watu tu wakati kwa wengine havionekani hata bidhaa zinazotekenezwa na viwanda hivyo madukani hazipo zimejaa bidhaa za nje,sijui bidhaa zake zinauziwa kuzimu ndiomaana hazionekani madukani.
 
Nenda hapo ukaona hizo si ni location? Vitaonekana Kwa mtu anaetaka kuviona.
 
Hahaha bado ninatamani niendelee kuishi.
Leta jibu la Mkoa wako unaogopa nini Sasa? Mbona Mimi Niko Katavi wewe hujui unakoishi?

Mimi kwetu Mbeya shida Iko wapi? Una kipi wewe Cha kuitisha Serikali Hadi uwe Tishio eti unataka kuishi? 😂😂
 
Leta jibu la Mkoa wako unaogopa nini Sasa? Mbona Mimi Niko Katavi wewe hujui unakoishi?

Mimi kwetu Mbeya shida Iko wapi? Una kipi wewe Cha kuitisha Serikali Hadi uwe Tishio eti unataka kuishi? 😂😂
Mzee wewe ni chawa wa mama samia kwa hiyo usalama wako ni asilimia mia,pia siwezi nikajua kazi yako ni IPI,suala la kuwa na kitu cha kuitisha serekali watu wasiojulikana wanakijua.
 
Nimekumbuka enzi za jiwe, vi-wonder 100 kila mkoa🤣🤣jamaa alikuwa tapeli
 
Mzee wewe ni chawa wa mama samia kwa hiyo usalama wako ni asilimia mia,pia siwezi nikajua kazi yako ni IPI,suala la kuwa na kitu cha kuitisha serekali watu wasiojulikana wanakijua.
🚮🚮🚮

Huna hoja,kamuulize Samia kama ananijia au hata wasaidizi wake
 
Promo za kishenzi namna hii tulizipinga wakati wa Jiwe.
Maana jiwe alijenga viwanda laki mbili halafu havijulikani viko wapi mpaka leo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…