Waziri Kabudi akanusha kuthibitisha kifo cha Mwanahabari, Azory Gwanda

Bashite hujawahi fauli kwa kitu chochote tangu uzaliwe hata hili ulilolianzisha la kuteka na kuuwa watu utafikia mwisho wake, hutakaa ulee mtoto wako chupa kuweza kwenda chuo kikuu mjinga mkubwa wewe mwenye laana shetani kabudi kasema mwenyewe kapotea na kafa (disappeared and dead) kwa kiingereza tena siyo Azory Gwanda bali Azory Rwanda kwa jinsi alivyo na mihemuko ya kipuuzi kama wewe bashite, koma kabisa wewe mwenye akili za jalalani
 
Prof. Kabudi ni kama upanga wa maasai, ukitolewa gharani lazima urudi na damu. kuongea kiprofesa kidogo tu watu chali
 
Tanzania ndio nchi pekee mfanyabiashara mwenye milioni chache anaitwa BILIONEA na mtu ambaye ni goigoi na mbumbumbu wa sheria anaitwa NGULI WA SHERIA. Huyu Profesa ukimsikiliza tu unajua ni mtu mwongo, tapeli, msanii na anayeongea kwa jazba bila ya kufikiri. Huyu si nguli wa sheria bali ni Kibudu wa sheria ambaye yuko radhi kusema chochote ili ashibishe tumbo lake.
 
Profesa wa Jalalani kachemka,Asitufanye sisi wajinga,akili zake ni kama Jaguar ambaye anatuambia hatukumwelewa wakati tumemskia,Yeye anafikiri huko Ulimwenguni ni kufokafoka kama huku,watu wako makini
 
Ni kweli. Hajasema declaratively kuwa Azori kafa.

Ila, kwa maneno aliyoyasema, ameacha mwanya wa kutafsirika kuwa kasema hivyo.

Ni suala dogo sana la kubadilisha tu kiunganishi kilichotumika.
.
 
Alipaswa kusema ‘waliopotea au kuuwawa’.

Siyo ‘waliopotea na kuuwawa’ maana hiyo inaacha mwanya wa tafsiri zingine.

Yeye kama mwanasheria nguli nilitegemea awe makini sana na uchaguzi wa maneno atumiayo.
Kuna mwanasheria anaetokea jalalani?
 


Na mimi nilisikikiza hayo mahojiano alipokuwa akihojiwa na Zuhura Yunus, lakini sijasikiliza yale ya kiingereza.

Katika hayo mahojiano prof.kabudi alionyesha (sio mojakwamoja) kwamba huyo muandishi kafa kwakuwa aliunganisha vifo vya wale askari, raia kule kibiti na kadhia ya huyo muandishi Azory, kama ni kadhia moja na hapo ndipo alipotoa nafasi kwa watu kutoa tafsiri zao binafsi.

Na jambo hili ni kawaida kwamba unapoeleza jambo kwa umma "at suspense" unatoa nafasi ya watu kumalizia kile wanachoona kinakubaliana na akili zao na mazingira ya tukio lenyewe.
 
Yeye ndiye anapaswa kurudi darasani kujifunza tofauti ya "disappeared and died" na "disappeared or died".

Kama hawa ndio watu wanaosimamia mikataba yetu, si ajabu tunapigwa changa la macho kila siku.
Una akili sana mkuu, ila ni kwa vile tu huamini kama kuna Mungu
 
Jamaa anaongea kwa kasi, jazba na pupa sana.

Ukimsikiliza kakosea hata jina kataja Azory Rwanda.

Huku katoa mimacho kama mjusi kabanwa na mlango.
Na mate juu. Yule maiki aliyotoka kuongelea nashauri isitumike tena
 
Ya kuokotwa jalalani profesa mzima?
 
Mkuu ungekuwa karibu ningekupa balimi bariiiidi kabisa ili upate nguvu ya kumuonyesha upumbavu wake jumla jumla!
 
Kwani clip yake si ipo tu kuna shida gani?
 
Tatizo huwa wanaropoka tu ila impact yake ya baadae huwa hawaijui. Na ndio maana wengi wao huishia kukanusha maneno yao wenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…