Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 33,092
- 96,127
Mheshimiwa, jaribu basi hata kuwaheshimu wana ccm wenzako. Treni za umeme kitambo tu zipo Afrika. Acheni kufanya siasa nyepesi! Mnafanya tuonekane Watanzania wote ni viazi mbele ya majirani zetu.Mbona hayo majina umeweka we we ? Tuonesha yalisia ya majina ya nchii