Waziri Mkuu alikuwa sahihi tena sahihi kabisa!! kutamka aliyo tamka naomba mnielewe!! taarifa km hii inaruhusiwa Kisiasa, kiutamaduni, na kiuchumi pia!! hata mie nilikuwa km wewe lkn nikafikiri tena kwa mtizamo tofauti baada ya kusikiliza hotuba yake fupi kwa kina kwa sababu zifuatazo;
1. Uongo mtakatifu unao fanana na ukweli, hii ina kubalika hta Mbinguni kwa Mungu!! mbali na hii kwani Majaliwa yeye ni Daktari kusema kwamba alimpima mgo njwa yeye akatoa hili jibu?
Yeye km muuguzaji aliwakilisha taarifa km ilivoletwa kwake na Madaktari wa zamu wa siku hiyo, wakati anajiandaa kweenda msikitini!! akaona atumie hiyo nafasi!! ,,, hata kusign baadhi ya nyaraka RAIS alikuwa anafanya kazi hizo akiwa akingali kwa Hosp!! akasema kwani alikufa siku aliyo sema hayo maneno au alikufa baadaye? Rais habebi vyuma kusema eti ata shindwa ku sign na kutoa maelekezo tuu!!
2. Imani kuu aliyo kuwa nayo dhidi ya Boss wake aliamini Mungu ana mlinda Rais! kwa gharama kubwa lkn Mungu kaamua vinginevyo akamchukua!! sasa waziri mkuu afanyeje akaamsute Mungu siyo?? kikubwa ni imani aliyojawa nayo muhusika.
3. Jopo la madaktari liliokuwa lina shughulika na tiba ya Rais aliliamini mno na lilikuwa likimtia Moyo na hii ni tabia za tabibu wote Duniani hata km mgonjwa wako amekufa hawawezi kukupa jibu la moja kwa moja, kwa nini kaulize wenye taaluma yao matabibu ndo kazi yao!
4. Huduma nzuri na za kisasa! alizopewa marehemu alijua zita msaidia tu.
5.Maombi aliyo piga Majaliwa na familia yake usiku na mchana ya kufunga na kuomba aliyaamini lkn Mungu kaamua vinginevyo, mkitaka muulizeni Mungu.a
6.Watanzania wenye Imani waliingia kwenye Maombi pamoja na waziri Mkuu! ili kumtia nguvu inaonyesha waziri alikuwa na imani thabiti lkn Mungu akaamua vinginevyo! alitamka ukweli kuhusu afya ya Rais kwa wakati ule lkn hali ilibadilika sasa amfufue?
7.W/Mkuu Anaamini Mungu akisema yeye kazi ya uwaziri Basi!! ni amesema, hawezi kupingana na kauli ya Mungu ambae amempa hiyo kazi, wewe ni nani mpaka uingilie kazi aliyo pewa na Maulana au unataka kuondoka na wewe umfuate Rais wako yule mtanashati??
8. W/Mkuu anaamini kila kitu kina mwisho wake, yeye ni nani asiwe na Mwisho? akasema wapo vigogo kuliko yeye waliopitia kwenye Moto km kina Saddam Husein nk na wakapotea mazima sembuse yeye W/Mkuu?
9;Anaamini km ipo!! ipo tu piga ua garagaza atabaki kuwa yeye! kama Mung akitaka. wangapi Mungu aliwakataa wako wapi! mfano Tafawa balewa Mungu alikataa waziwazi, Suka Buka Dimka Mungu alimkataa on the spot! anasema kwanza kufika hapo alipo ni Mungu tu! hakuwahi kuwazia hiyo nafasi kwanza ana mshukuru Mungu Na watanzania, kuwa km alivo leo! cheo ni dhamana alifundishwa hivo!
10, Kufa Boss wake siyo mwisho wa Safari yake kisiasa, Mungu alivo wa ajabu mnaweza kuniponda Leo kweli nikaondoka lkn Mungu akafungua milango zaidi Ikawa mwanzo mwingine mzuri kwangu na familia yangu na nikafanya Siasa za kimataifa na Bado mkanihitaji kuliko mnavoniona leo!!
Nasema hivi sioni tabu kuwajibika kama watanzania wakinihitaji kufanya hivo!! ni suala la muda tu!! utasema!!
Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Africa..... Aksanteni kwa kunisikiliza!!!!! alisema Majaliwa