Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeshapanic 😂😂Anajua mwenyewe alipo
Nipanic amekuwa baba angu?Umeshapanic 😂😂
PM Majaliwa: "Mh Rais Dkt John Pombe magufuli Yupo salama na anaendelea na Majukumu yake ya kazi ofisini kma kawaida......."PM Majaliwa: "Dkt Philip Mpango ambaye yupo Nje ya Nchi kwa majukumu.."
Je anaaminika?????Dr mpango yupo ughaibun anapiga kazi, alisikika pm majaliwa akilitaarifu taifa.
Ipo siku mtahoji alipo mzee Ali Hasan Mwinyi kisa kila mara mnamuona Jakaya anapita kila kona ila hamumuoni mzee Mwinyi 😂Jamii ya mtu kama Philip Mpango ni character ya aina gani??
Ni swali nduguAcheni hizo
Mzee mwinyi si alishastaafu kaka....[emoji3][emoji3]Ipo siku mtahoji alipo mzee Ali Hasan Mwinyi kisa kila mara mnamuona Jakaya anapita kila kona ila hamumuoni mzee Mwinyi [emoji23]
Mtumishi wa serikali aliepo madarakani una compare na kina jk kweluIpo siku mtahoji alipo mzee Ali Hasan Mwinyi kisa kila mara mnamuona Jakaya anapita kila kona ila hamumuoni mzee Mwinyi [emoji23]
Kasimu kangu kabovu jamani nifanyeje? mafundi siwaamini. Usijali nitakupelekea Korea wakatengeneze kwa uhakikaKiswaswadu anasemaje?