Kwani nawe unayaona mahesabu?Nyie watu, mtu kaweka mahesabu yake na tunaysina.
Mtu mwenye akili za kumtosha angeweka mahesabu yake mbadala.
Politely; Please avoid inviting such nonsense nuisance!Kwani hzmuoni?
Nyumba zote zinazojengwa Dodoma wizi mtupu, kwa maoni yenu.
Ameweka BOQ ya kujenga armoury badala ya banda la mlinzi, hivyo hawezi kuwekewa mahesabu mbadala!Nyie watu, mtu kaweka mahesabu yake na tunaysina.
Mtu mwenye akili za kumtosha angeweka mahesabu yake mbadala.
Nonsense ni nyie vichwa panzi.Politely; Please avoid inviting such nonsense nuisance!
Vichwa panzi hamuwezi hata kuargue kile mnachokitetea kimahesabu.Ameweka BOQ ya kujenga armoury badala ya banda la mlinzi, hivyo hawezi kuwekewa mahesabu mbadala!
Siku nyingine ukitengeneza BOQ uliza madhumuni(purpose) ya jengo na siyo ku-copy ovyo mwishowe una-copy BOQ ya kujenga armoury!Najua sasa hivi unaumwa na mbu kibandani.
Tafuta wataalam wakusaidie.
Mkuu wewe endelea kuishi mbavu za mbwa.Siku nyingine ukitengeneza BOQ uliza madhumuni(purpose) ya jengo na siyo ku-copy ovyo mwishowe una-copy BOQ ya kujenga armoury!
Noana unaanza kuwa na fahamu. Utaelewa tu kwamba shule haikukusaidia kujenga hoja. Ikumbuke force account.Nonsense ni nyie vichwa panzi.
Kwa maoni yenu nyumba za serikali ziwe za kukandikwa tope.
Profesa wa BQ. Display behaviour.Mkuu wewe endelea kuishi mbavu za mbwa.
Unabishana na profesa wa ujenzi, utaweza wapi.
Ridhika na very low standards unazozifahamu.
Hatuwezi kuelewana katu.Noana unaanza kuwa na fahamu. Utaelewa tu kwamba shule haikukusaidia kujenga hoja. Ikumbuke force account.
BOQ not BQ, be careful.Profesa wa BQ. Display behaviour.
Xcel za mchongo hatutaki. Nenda na xcel yko kamtetee mwenzio aliyeshindwa kutoa hyo xcel hadi kudakwa. Ujenzi wa jengo la serikali anakosa mchanganuo wa gharama utafikiri kamjengea mtu wa mtaani. Mnajifanya mko smart sana kumbe hakuna kitu ni wizi tu, mainjinia wa bongo viazi sana ndo maana hawaaminiki kwenye miradi mikubwa.Nimekuwekea Xcel hiyo tumia kichwa si mdomo kubwabwaja.
Miradi hsijengwi kwa kupiga dimi bali mahesabu.
Hebu pelekeni huko kwa aliyemtia hatiani uchanganuzi wenu. Yeye alishindwa nini kuandaa gharama hzo ilihali alijua kiongozi anapita kukagua? Mnafanya kazi kwa ubabaishaji sana na hpo mnadai nyumba za serikali hazijengwi kwa maneno matupu mbona ye kajenga bila kuwa na sehemu ya kumbkumb za manunuzi hadi maelezo ya maan anakosa.Watu msio na akili za kutosha, mmepewa mahesabu ili mupitie na kusahihishaujenzi wa jengo mnalotaka , mmekalia kuchonga kama hamna akili nzuri!
Lete mkadirio yako, nyumba za kerikali hazijengwi kwa maneno matupu.
Kwa taarifa yako ninapoishi ni matawi ya juu sana kwako! Endelea na utapeli wako lakini huna maisha marefu utabambwa tu!Mkuu wewe endelea kuishi mbavu za mbwa.
Unabishana na profesa wa ujenzi, utaweza wapi.
Ridhika na very low standards unazozifahamu.
Kisa ana knowledge ya uhandisi basi anataka kubadili nyeusi tukubali ni nyeupe. Amejipinda kutuandikia maelezo kibao utafikiri mwenzie aliyeshindwa kutoa hayo maelezo hana akili.Kwa taarifa yako ninapoishi ni matawi ya juu sana kwako! Endelea na utapeli wako lakini huna maisha marefu utabambwa tu!
Habari ndiyo hiyo hata chawa wako wamekuruka!
Ungeandika tuu kwa kiswahili. Hiyo lugha huimudu.Politely; Please avoid inviting such nonsense nuisance!
Ungefafanua ni kitu gani katika hiyo BoQ kinachokufanya uamini ni kwa ajili ya jengo la ghorofa?BOQ ya wizi nani atafutilia! BOQ ya banda la mlinzi inakuwa sawa na BOQ ya msingi wa ghorofa! Wewe ni zaidi ya fisadi na kama kuna mtu anakupa kazi basi huyo ni zaidi ya kilaza!
Kabisa mwambaNdugu muhandisi, usifanye watu wajinga,hizo bei za labour charge, unawalipa wachina au Hawa Hawa vijana wa mtaani? Maana huku kwetu hiyo pesa inamaliza kabisa nyumba,sasa hicho ni kinanda,mi naona unaleta story za serikali za kununua V8 kwa milioni 400+
Ukihoji wanasema ndio bei!hawajuhi huku kitaa hizo ndinga tunanunua kwa 200M tu,wao wanaweka dalali,usilete mambo ya kununua peni kwa shilingi elfu kumi!wakati kitaa inauzwa 200.
Armoury inajengwa kwa ukuta wa nchi sita? Unajua kweli unachoongea?Ameweka BOQ ya kujenga armoury badala ya banda la mlinzi, hivyo hawezi kuwekewa mahesabu mbadala!