Waziri Mkuu Majaliwa, pokea makadirio yangu kibanda cha VETA Tabora

Waziri Mkuu Majaliwa, pokea makadirio yangu kibanda cha VETA Tabora

Ndugu muhandisi, usifanye watu wajinga,hizo bei za labour charge, unawalipa wachina au Hawa Hawa vijana wa mtaani? Maana huku kwetu hiyo pesa inamaliza kabisa nyumba,sasa hicho ni kinanda,mi naona unaleta story za serikali za kununua V8 kwa milioni 400+

Ukihoji wanasema ndio bei!hawajuhi huku kitaa hizo ndinga tunanunua kwa 200M tu,wao wanaweka dalali,usilete mambo ya kununua peni kwa shilingi elfu kumi!wakati kitaa inauzwa 200.
Soma vizuti hiyo BOQ, na hapo ndio vilaza wasiojua maana ya ujenzi mnapokwama.
Bei ya cement ni kwa wote, iwe serikali mtu binafsi au kilaza yeyote.
Hivyo hivyo bei ya mbao na mabati.
Tatizo ni kuelewa namna ya kujenga.
Kwa mikataba ya serikali na viwango vyake, unajenga kwanza na kulipwa baadaye, UNAKOPWA!

Ukikopwa kuna riba.
Malipo ni baada ya urasimu mwingi, miezi minne au mitano baadaye.
Mswahili mtaani unanunua vifaa cash na kujenga!
Elewa hilo toka mwanzo, ujenzi wa kikandarasi si lelemama.
Kama wewe unaweza kujenga bure, tena bila faida kazi za kiserikali, ingia mchezo uanze kucheza ngoma hiyo.
Na pengine hata Waziri Mkuu angeweza kujenga majengo yote ya serikali, bure kabisa.
 
Ndugu muhandisi, usifanye watu wajinga,hizo bei za labour charge, unawalipa wachina au Hawa Hawa vijana wa mtaani? Maana huku kwetu hiyo pesa inamaliza kabisa nyumba,sasa hicho ni kinanda,mi naona unaleta story za serikali za kununua V8 kwa milioni 400+

Ukihoji wanasema ndio bei!hawajuhi huku kitaa hizo ndinga tunanunua kwa 200M tu,wao wanaweka dalali,usilete mambo ya kununua peni kwa shilingi elfu kumi!wakati kitaa inauzwa 200.
Kwa ufupi mleta mada hajawahi kujenga, hakuna gharama za namna hiyo huo ni wizi wa mchana labda kama unajenga mbinguni au baharini, nipe milioni nne nikupe kibanda bora zaidi ya hicho
 
View attachment 2352668
Kwa kawaida nakerwa sana viongzi kuongelea mambo ya kitaalam bila kutafuta ushauri.

Hivi karibuni Mh. Waziri Mkuu alishangazwa kibanda cha Mlinzi katika mradi wa VETA huko Tabora kugharimu Ths 11 million.

Mimi sikushangzwa na gharama lakini nilishangazwa na kauli ya Waziri Mkuu Majaliwa kusema hadharani kuwa pale kuna upigaji!

Nikiwa mhandisi, niliamua kutafuta picha za kazi hiyo na kutenngeneza Rough Estimates za mradi huo kama ungekuwa Dar es Salaam kwa sasa hivi.

Gharama nilizo pata Kwa MKOANI DAER ES SALAAM ni Tsha 11,371,650.0

Kwa vile tabora ni mbali na supplier vifaa vingi , niliamua kuweka factor ya 1.2, hivyo GHARAMA ZA JENGO TABORA KUWA 13,645,980.

Naomba washauri wa Mh Waziri Mkuu wawe wanamtonya kama anakosea.
Gharama za kibanda ni sawa, tena ni pungufu kidogo.

KIBANDA CHA MLINZI VETA , TABORA
S.NoITEMUNITSQUANTITYUNIT COSTCOSTREMARKS
1​
Kuset kibanda na ngazi zotesum20,000
2​
Kuchimba misingim3
3.8​
12,00045,600
3​
Kuweka zege la msingi, nyumba na ngazi
0.2m thickm3
0.45​
180,00081,000
4​
Tofali za kulaza misingim2
21​
37,000777,000
5​
Tofali ngazi za kupandia kibandam2
3.6​
37,000133,200
6​
kuujaza udongo wa murramm3
27.5​
15,000412,500
na kushindilia
7​
kuweka mawe ndani ya msingi na ngazim3
4.5​
35,000157,500
8​
Kumwaga zege la jamvi 150mmm3
4.5​
180,000810,000
9​
Kuset kuta za nyumba, tofali zam2
13.5​
25,000337,500
kusimama 150mm mpaka
beam soffit
10​
Shuttering ya ring beamm2
4.6​
26,000119,600
11​
Kukunja na kuweka nondokg
98​
4,000392,000
12​
Kumwaga zege la beamm3
1.25​
180,000225,000
13​
Tofali za level mtambaa panyam2
13.45​
25,000336,250
na gable
14​
Kufunga wall plate na truss, nanos
5​
1,5007,500
15​
Kufunga fascia board nyumba nzimam
15​
1,50022,500
16​
Kufunga purlins 50x50mmm
120​
8,000960,000
17​
Kupiga bati za IT4 na kofia, kila bati 3.4mnos
38​
65,0002,470,000
18​
Kupiga brandering ya ceilingm2
25​
4,000100,000
19​
Kufix gypsum board ya ceilingm2
25​
6,800170,000
20​
Kujaza uwazi kati ya bati na ukutasum45,000
21​
Fufunga bomba za kupitishasum50,000
Umeme na box za switches
22​
Kufunga frame za madirishanos
2​
150,000300,000
23​
Kufunga frame za milangonos
3​
150,000450,000
24​
Kupiga render za kuta nje na ndanim2
148.5​
2,000297,000
25​
Kupiga plaster nje na ndanim2
148.5​
2,000297,000
26​
Kufunga madirisha ya aluminiumnos
2​
240,000480,000
27​
Kufunga milango mbao ya mkongonos
3​
260,000780,000
28​
Electrical wiring na kufunga switchsum650,000
29​
Kupiga rangi nje na ndanim2
148.5​
3,000445,500
TOTAL11,371,650
NB
1​
Gharama hizi ni za DAR ES SALAAM
2​
Kibanda hiki kiko TABORA, hivyo kwa kusafirisha vifa hivyo kwend TABORA, factor gharama kwa 1.2 ,
3​
Hivyo Gharama ya jengo la VETA , TABORA =13,645,980.00
Kitu ambacho watu hawaelewi hapo ni kwamba mkandarasi vifaa kanunua mwenyewe na kivisafirisha, lakini pamoja na hayo bado amelipa Kodi Vat 18% na kabla ya kupata hiyo kazi kina gharama za kuipata, stationary nauli nk, japo bei bado imechangamka. Kwa hesabu zangu ni milioni 8.7. Mimi ni mkandarasi pia.
 
Lakin
Kitu ambacho watu hawaelewi hapo ni kwamba mkandarasi vifaa kanunua mwenyewe na kivisafirisha, lakini pamoja na hayo bado amelipa Kodi Vat 18% na kabla ya kupata hiyo kazi kina gharama za kuipata, stationary nauli nk, japo bei bado imechangamka. Kwa hesabu zangu ni milioni 8.7. Mimi ni mkandarasi pia.
Lakini kitu ambacho umetudanganya kingine umesema kupiga branderling ni m2 25 na kufunga gipsum board ni m2 25. Kwa wasiojua m2 ni square MITA yaani Upana mara urefu Kwa jinsi umbo la kinanda lilivyo. Sasa jamaa ana maanisha hicho kibanda kina urefu MITA 5 na Upana MITA 5 ndani Kwa ndani, kitu ambacho sio kweli. Sana sana kina m2 9 au 12.
 
Na mwisho kabisa ni kwamba mfumo uliotumika ni FORCE ACCOUNT yaani serlikali wenyewe wananunua vifaa na mjenzi ni fundi wa kawaida sio kampuni. Wanachomlipa ni labour charge tu Kwa bei za mtaani. Fundi yeye analipa Kodi ya withholding tax ambayo ni 5% ya anacholipwa kama ni mtanzania na 10% kama ni mgeni kutoka nje. Kazi inatangazwa tends na fundi mwenye sifa ambaye bei yake ni nafuu inayokaribiana na bei ya makisio ya wahandisi ndiyo hupewa kazi.Hivyo basi, kama Kuna wizi hapo mwizi hawezi kuwa fundi pekee, maana Kuna maafisa ugavi(walionunua vifaa ) mhandisi (aliyeshauri bei ya fundi) user department (msimamizi mkuu wa mradi) nk.

Lakini kitu ambacho umetudanganya kingine umesema kupiga branderling ni m2 25 na kufunga gipsum board ni m2 25. Kwa wasiojua m2 ni square MITA yaani Upana mara urefu Kwa jinsi umbo la kinanda lilivyo. Sasa jamaa ana maanisha hicho kibanda kina urefu MITA 5 na Upana MITA 5 ndani Kwa ndani, kitu ambacho sio kweli. Sana sana kina m2 9 au 12.
 
Kitu ambacho watu hawaelewi hapo ni kwamba mkandarasi vifaa kanunua mwenyewe na kivisafirisha, lakini pamoja na hayo bado amelipa Kodi Vat 18% na kabla ya kupata hiyo kazi kina gharama za kuipata, stationary nauli nk, japo bei bado imechangamka. Kwa hesabu zangu ni milioni 8.7. Mimi ni mkandarasi pia.
Mkuu mahesabu ya BOQ yapo hapo.
Wewe yapitie uone cha kupunguza.
Ni kweli wasiojua ujenzi wanafikiri mkandarasi ndiye mwenye gharama, hawajui kuwa specifications ndio zinaelekeza kitasa , mbso na madirisha ya aina gani kufunga kwenye jengo.
 
View attachment 2352668
Kwa kawaida nakerwa sana viongzi kuongelea mambo ya kitaalam bila kutafuta ushauri.

Hivi karibuni Mh. Waziri Mkuu alishangazwa kibanda cha Mlinzi katika mradi wa VETA huko Tabora kugharimu Ths 11 million.

Mimi sikushangzwa na gharama lakini nilishangazwa na kauli ya Waziri Mkuu Majaliwa kusema hadharani kuwa pale kuna upigaji!

Nikiwa mhandisi, niliamua kutafuta picha za kazi hiyo na kutenngeneza Rough Estimates za mradi huo kama ungekuwa Dar es Salaam kwa sasa hivi.

Gharama nilizo pata Kwa MKOANI DAER ES SALAAM ni Tsha 11,371,650.0

Kwa vile tabora ni mbali na supplier vifaa vingi , niliamua kuweka factor ya 1.2, hivyo GHARAMA ZA JENGO TABORA KUWA 13,645,980.

Naomba washauri wa Mh Waziri Mkuu wawe wanamtonya kama anakosea.
Gharama za kibanda ni sawa, tena ni pungufu kidogo.

KIBANDA CHA MLINZI VETA , TABORA
S.NoITEMUNITSQUANTITYUNIT COSTCOSTREMARKS
1​
Kuset kibanda na ngazi zotesum20,000
2​
Kuchimba misingim3
3.8​
12,00045,600
3​
Kuweka zege la msingi, nyumba na ngazi
0.2m thickm3
0.45​
180,00081,000
4​
Tofali za kulaza misingim2
21​
37,000777,000
5​
Tofali ngazi za kupandia kibandam2
3.6​
37,000133,200
6​
kuujaza udongo wa murramm3
27.5​
15,000412,500
na kushindilia
7​
kuweka mawe ndani ya msingi na ngazim3
4.5​
35,000157,500
8​
Kumwaga zege la jamvi 150mmm3
4.5​
180,000810,000
9​
Kuset kuta za nyumba, tofali zam2
13.5​
25,000337,500
kusimama 150mm mpaka
beam soffit
10​
Shuttering ya ring beamm2
4.6​
26,000119,600
11​
Kukunja na kuweka nondokg
98​
4,000392,000
12​
Kumwaga zege la beamm3
1.25​
180,000225,000
13​
Tofali za level mtambaa panyam2
13.45​
25,000336,250
na gable
14​
Kufunga wall plate na truss, nanos
5​
1,5007,500
15​
Kufunga fascia board nyumba nzimam
15​
1,50022,500
16​
Kufunga purlins 50x50mmm
120​
8,000960,000
17​
Kupiga bati za IT4 na kofia, kila bati 3.4mnos
38​
65,0002,470,000
18​
Kupiga brandering ya ceilingm2
25​
4,000100,000
19​
Kufix gypsum board ya ceilingm2
25​
6,800170,000
20​
Kujaza uwazi kati ya bati na ukutasum45,000
21​
Fufunga bomba za kupitishasum50,000
Umeme na box za switches
22​
Kufunga frame za madirishanos
2​
150,000300,000
23​
Kufunga frame za milangonos
3​
150,000450,000
24​
Kupiga render za kuta nje na ndanim2
148.5​
2,000297,000
25​
Kupiga plaster nje na ndanim2
148.5​
2,000297,000
26​
Kufunga madirisha ya aluminiumnos
2​
240,000480,000
27​
Kufunga milango mbao ya mkongonos
3​
260,000780,000
28​
Electrical wiring na kufunga switchsum650,000
29​
Kupiga rangi nje na ndanim2
148.5​
3,000445,500
TOTAL11,371,650
NB
1​
Gharama hizi ni za DAR ES SALAAM
2​
Kibanda hiki kiko TABORA, hivyo kwa kusafirisha vifa hivyo kwend TABORA, factor gharama kwa 1.2 ,
3​
Hivyo Gharama ya jengo la VETA , TABORA =13,645,980.00
Itabidi Waziri Mkuu atoe hadharani uchunguzi wake kuondoa aibu hii inayomkabili.
 
Kwanini uchukulie ni mita 100m wakati Kuna majengo makubwa yapo karibu na hicho kibanda.

Hicho kibanda hakiwezi kuchukua Armoured cable ya size ya ya zaidi ya 2.5sqmm aidha 3C au 4C. Chukulia hiyo Armoured cable per metre ni 5000 pamoja na VAT. Sawa tuchukulie ni mita 100, ukizidisha hapo hiyo Armoured Cable ya mita 100 gharama yake ni TSh 500,000/-. Au tufanye kabisa ni TSh 1,000,000/-.

Sasa ifikie hatua tuheshimiane hakuna kibanda kama hicho kina chojengwa Kwa gharama hizo.
2.5sqmm kwa Sheria ipi ya IEE? kwamba hiyo DB ya kibanda Ina breaker ya 13A au kibanda ikiwa ndogo ndo Sheria isifuatwe? Kusema kweli wakati mwingine tunapotoshwa tu. Kwa maana hiyo unasema plumbing system isifuatwe...shimo la maji taka ichimbwe kila karibu na nyumba ili kubana bajeti? Tusijenge taasisi Kama tunavyojengwa majumbani kwetu.
 
2.5sqmm kwa Sheria ipi ya IEE? kwamba hiyo DB ya kibanda Ina breaker ya 13A au kibanda ikiwa ndogo ndo Sheria isifuatwe?
Umekisoma ulichokiandika ? Usiwe unakurupuka katika kuuliza maswali. Hakiki swali lako Kisha uliza swali kwa usahihi.
 
Watu hawapigi kijinga hivyo. Hiyo pesa yenyewe lazima ipitishwe na kamati kibao na kila mara inakuja kamati kukagua mradi. Shida yenu mnalinganisha miradi ya serikali na miradi ya watu binafsi ambayo hailazimiki kufuata viwango vilivyowekwa na washauri wa serikali.

Amandla...
Nashindwa kuelewa watu wanakubishia kwa sababu ipi hasa.

Hata ujenzi wa binafsi, vifaa vinatofautiana ubora...sio wire, sio PVC, sio vyoo, sio rangi, sio mabati..kila kitu unaulizwa unataka ubora upi? Hata mafundi, kama ana jina kidogo mjini bei zake huwa juu tofauti na hawa wa papatu papatu.

Sasa hapo PM angekuwa amecheck ubora na quality assurance processes kama zilifuatwa na wataalam wake, kabla hajamsweka ndani mkandarasi.
 
Umekisoma ulichokiandika ? Usiwe unakurupuka katika kuuliza maswali. Hakiki swali lako Kisha uliza swali kwa usahihi.
Rejea post no.135 nilikua najibu hoja yako ya kuwa hicho kibanda hakiwezi kuchukua waya ya Armoured zaidi ya 2.5sqmm 3C au 4C...ukimaanisha kuwa ndiyo itakuwa waya wa kuleta umeme hapo.

Sasa rejea kwenye jibu lako la post no.136.
Nakuuliza ni Sheria gani ya IEEE inayoruhusu supply cable iwe ya 2.5sqmm? either iwe ya 3C or 4C? Nyie ndo mnazidi kupotosha viongozi wetu kuhusiana na standard za kufanya kazi za ujenzi alafu mnasema gharama ipo juu.

Kwamba utembeze 2.5sqmm umbali wa mita 100 na ukaipeleka kwenye kibanda Kama supply cable kisa unataka kubana bajeti Kama nyumbani kwako...alafu baada ya miezi mitano mnataka kuweka geti yenye motor na vitu vingine Tena muanze kulaumu kuwa hamkushauriwa vizuri umeme uliopo kwenye kibanda hakitoshi kuendesha motor.

Tupunguze ujuaji.
 
View attachment 2352668
Kwa kawaida nakerwa sana viongzi kuongelea mambo ya kitaalam bila kutafuta ushauri.

Hivi karibuni Mh. Waziri Mkuu alishangazwa kibanda cha Mlinzi katika mradi wa VETA huko Tabora kugharimu Ths 11 million.

Mimi sikushangzwa na gharama lakini nilishangazwa na kauli ya Waziri Mkuu Majaliwa kusema hadharani kuwa pale kuna upigaji!

Nikiwa mhandisi, niliamua kutafuta picha za kazi hiyo na kutenngeneza Rough Estimates za mradi huo kama ungekuwa Dar es Salaam kwa sasa hivi.

Gharama nilizo pata Kwa MKOANI DAER ES SALAAM ni Tsha 11,371,650.0

Kwa vile tabora ni mbali na supplier vifaa vingi , niliamua kuweka factor ya 1.2, hivyo GHARAMA ZA JENGO TABORA KUWA 13,645,980.

Naomba washauri wa Mh Waziri Mkuu wawe wanamtonya kama anakosea.
Gharama za kibanda ni sawa, tena ni pungufu kidogo.

KIBANDA CHA MLINZI VETA , TABORA
S.NoITEMUNITSQUANTITYUNIT COSTCOSTREMARKS
1​
Kuset kibanda na ngazi zotesum20,000
2​
Kuchimba misingim3
3.8​
12,00045,600
3​
Kuweka zege la msingi, nyumba na ngazi
0.2m thickm3
0.45​
180,00081,000
4​
Tofali za kulaza misingim2
21​
37,000777,000
5​
Tofali ngazi za kupandia kibandam2
3.6​
37,000133,200
6​
kuujaza udongo wa murramm3
27.5​
15,000412,500
na kushindilia
7​
kuweka mawe ndani ya msingi na ngazim3
4.5​
35,000157,500
8​
Kumwaga zege la jamvi 150mmm3
4.5​
180,000810,000
9​
Kuset kuta za nyumba, tofali zam2
13.5​
25,000337,500
kusimama 150mm mpaka
beam soffit
10​
Shuttering ya ring beamm2
4.6​
26,000119,600
11​
Kukunja na kuweka nondokg
98​
4,000392,000
12​
Kumwaga zege la beamm3
1.25​
180,000225,000
13​
Tofali za level mtambaa panyam2
13.45​
25,000336,250
na gable
14​
Kufunga wall plate na truss, nanos
5​
1,5007,500
15​
Kufunga fascia board nyumba nzimam
15​
1,50022,500
16​
Kufunga purlins 50x50mmm
120​
8,000960,000
17​
Kupiga bati za IT4 na kofia, kila bati 3.4mnos
38​
65,0002,470,000
18​
Kupiga brandering ya ceilingm2
25​
4,000100,000
19​
Kufix gypsum board ya ceilingm2
25​
6,800170,000
20​
Kujaza uwazi kati ya bati na ukutasum45,000
21​
Fufunga bomba za kupitishasum50,000
Umeme na box za switches
22​
Kufunga frame za madirishanos
2​
150,000300,000
23​
Kufunga frame za milangonos
3​
150,000450,000
24​
Kupiga render za kuta nje na ndanim2
148.5​
2,000297,000
25​
Kupiga plaster nje na ndanim2
148.5​
2,000297,000
26​
Kufunga madirisha ya aluminiumnos
2​
240,000480,000
27​
Kufunga milango mbao ya mkongonos
3​
260,000780,000
28​
Electrical wiring na kufunga switchsum650,000
29​
Kupiga rangi nje na ndanim2
148.5​
3,000445,500
TOTAL11,371,650
NB
1​
Gharama hizi ni za DAR ES SALAAM
2​
Kibanda hiki kiko TABORA, hivyo kwa kusafirisha vifa hivyo kwend TABORA, factor gharama kwa 1.2 ,
3​
Hivyo Gharama ya jengo la VETA , TABORA =13,645,980.00
Mwivi wewe
 
Back
Top Bottom