DeMostAdmired
JF-Expert Member
- Oct 7, 2017
- 1,579
- 3,798
Waziri yupo sahihi asilimia zote miaWaziri mkuu unaongea ujinga as if maana ya elimu tanzania ni almost zero au haipo kabisa?
Unawwzqje kusema wenye degree wakasome VETA na at the same time vyuo vinavyotoa degree bado vipo havijafutwa kama kweli Tanzania degree haina maama tena.
Kweli Tanzania ni nchi ya ajabu sana na bado kuna vijana wanasema ccm mbele kwa mbele licha ya matusi haya kwenu?
So, studying for 3 years or 4 years getting degree is wastage of time in Twnzania
Karibuni Chadema tupambane
We have Unworking government machineriesWaziri yupo sahihi asilimia zote mia
Nani alikukataza usiwwe na akiki za kwenda shule? Mbona una wivu kwa walisoma. Kwa nini uliogopa umande na unawaonea wivu wasime kama ilivyokuwa kipindi cha jpm kwamba bora tukose woteWaziri yupo sahihi asilimia zote mia
Shule za ufundi ziliuwawa kivipi wakat watu tumesoma hizo shule! Af wasomi wanalalamika ajira lakini hakuna ambae amekufa njaa means watu wanajishughulisha kwamba veta ndo only option serikali imewaza it's okay Kuna almost wahitimu wa 135k wote waende veta wakasome then walimu 150k na wao waende veta wakasome ts oky sera ya nchi kuhusu huko veta inasemaje ? Kwamba wote tukiend hakutokua na saturation mmemlz wote 1m inakuaje ishu sera zinasemaje kuhusu wahitimu wew huwez kumsomesha mtu kwa mkopo ad now unamdai zaid ya 20m af humjengei mazingira ili pesa Yako urudi unamwambia aende veta et ajiajir as the only yu haveUmeona wapi waliohitimu VETA wanalalamika Ajira? By the way Bado Wilaya 60 Hazina VETA,Mkoa 1 hauna Veta na zile zilizokamilika ndani ya miaka 4 iliyopita Bado hazijawa well equiped.
Mambo yakishachangabya huko Veta wahitimu watapewa mikopo ya bila riba na Serikali Ili wakafanye kile wanachoona kinaweza wapate Fedha.
Mwisho Hakuna shule za ufundi ziliuwawa ,Kwa Sasa Samia ndio anazifufua na zinajengwa upya
Kwani mkuu PM amelazimisha wote waende VETA au ametoa wito kulingana na uhitaji wa mtu husika? PM ametoa hamasa, wengine mnafata mkumbo kwa wapotoshajiYeye Kassim Majaliwa alipomaliza certificate ya ualimu ni kwa nini hakwenda veta ili awe fundi seremala?
Kulikiwa na fursa za ulimuYeye Kassim Majaliwa alipomaliza certificate ya ualimu ni kwa nini hakwenda veta ili awe fundi seremala?
Kazi ni Kazi tu ! Kazi ni kipimo cha Utu !Kwenye hili namuunga mkono PM. Hata mimi na masters zangu 2 natamani kwenda VETA ila muda tu ndio unabana
Mtu akihitimu kile alichosomea aenda akakifanye mwenyewe kwa kushirikiana na wengine kuanzisha kiwanda au Kazi zozote zile !Shida ni kuwa hata hao wa VETA watakuwa wengi sana, kama hakuna viwqnda twaitegemea China tatizo litaendelea kuwepo
Kazi kweli kweli 😅Yuko sahihi kabisa ila watanzania tulivyowahishi tutapinga
Lijitu lina masters hata kuchomeka bulbu halijui linamwita fundi
Mtu kafuzu kuwa injinia hata kushika grinder au drill hajuwiYuko sahihi kabisa ila watanzania tulivyowahishi tutapinga
Lijitu lina masters hata kuchomeka bulbu halijui linamwita fundi
Hapa nilipo nina degree na sina ajira na naona mheshimiwa waziri yupo sahihiNani alikukataza usiwwe na akiki za kwenda shule? Mbona una wivu kwa walisoma. Kwa nini uliogopa umande na unawaonea wivu wasime kama ilivyokuwa kipindi cha jpm kwamba bora tukose wote
Ni upuuzi wa hali ya juu kushindwa kujenga hoja ,kila hoja inayohusu PM, kuhusisha na uchaguzi na jimbo, hivi mimi ndo nilomtuma aropoke???Achana na huyu Nandagala One
Jamaa analitaka jimbo la Ruangwa; shida yake kabla ya kuanza kutoa hongo kwa wajumbe; anahofia wajumbe wenyewe wana loyalty kwa Majaliwa ndio msingi wa mada zake.
Swala la elimu, sasa huyu Prof Mkenda mwenyewe wakati anazindua mkakati wake alipewa kim dmo cha kuacha porojo na kutoa hotuba.
Maana yake hiyo sera yenyewe hata kwenye baraza la mawaziri aikujadiliwa.
Sasa kama unajua lolote kuhusu strategy za nchi, maswala ya usalama wa taifa uwezi kuwa na sera isiyo-oana na dira ya taifa.
Ni hivi japo PM karopoka kutokana na mazingira husika, ila deep down nchi aina civil service imara.
Story ni ndefu, ila kwa kifupi nchi aina usalama wa taifa imara ndio msingi wa upuuzi.
Usalama wa taifa ni mchezo wa watu wenye akili, at senior level ni watu wenye uwezo wa long term strategic planning.
Ni hivi kazi ya kuongoza nchi sio rahisi.
Hatuko hapo kwa bahati mbaya, ila uwezo wetu mdogo wa kupanga mipango na watu tunaowapa nafasi.
Shida yetu ni uwezo.