Na nani??, Veta inatakuwa kichaka cha serikali kujifichia kushindwa kutengeneza mazingira wezeshi kwa vijana kuajiriwa au kujiajiri!!.Nadhani watatia mkopo wa kusoma VETA!!! Hivi wote waliomaliza VETA wameajiriwa/ wamejiajiri?
Sahivi tuendelee na VETA kwani, huo Uuzaji hadi Kassim aseme.Ndio uuzaji wako?
Nauliza tu kuwa wewe ni mzoefu ili uishauri serikali kulasimisha hiyo biashara!! Maana unafikiri za viongozi hawa🚶🚶Sahivi tuendelee na VETA kwani, huo Uuzaji hadi Kassim aseme.
Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
Mkuu elimu sio shida,shida ni elimu ulio nayo inakuletea ugali nyumbani?Mbona ni kauli yenye kujenga, sema watu kutaka makubwa, na ni kwakuwa hiki ni kipindi cha uchaguzi basi kila kauli itajadiliwa... Simple kama unaoana umesoma na bado degree haijaweza kukutoa ulipo...
Piga kozi za veta kuna mawili aidha ujiajiri ama uajiriwe kwa level ya chini... Sababu huku level ya chini possibility ya kupata ajira ni kubwa kuliko level ya juu
We unahisi ukisoma kozi ya ufundi umeme, huwezi pata hata kazi ya kupiga wiring kwenye majengo?
au kozi ya kuchomelea, huwezi pata fursa ya kutengeneza mageti?
Ulichoandika mfano wake kwenu muwe hamna uwezo hata wa kupata mlo alafu unasema hautafanya kazi ya kubeba tofali hadi uone mtoto wa Waziri mkuu na Rais na wao wanabeba matofali ndo wewe utabeba.Huyo eti waziri mkuu akijbu swali la suluhisho la ajira kwa vijana kwny taifa lake, ndo maana linapaka mapiko ili lionekane halina mvi za uzee, ili tuende veta na dgree au masters tunataka tuwaone watoto wa majaliwa, samia, pinda, tulia, nk wakiwa veta.
Acheni ujinga nyinyi mnaorukia kauli za viongozi pasipo kutafakari na mihemuko yenu. Mheshimiwa waziri Mkuu yuko sahihi.Habari!
Elimu ya VETA tunaweza kuiita elimu ya kati. Wakufuzi wake ni wahitimu wa elimu za juu. Wapo pia wakufuzi wenye elimu ya kati, nawafahamu.
Bahati mbaya kauli ya Majaliwa haijawataja hao wenye degree anataka waenda VETA ni degree za fani gani, na je, nini hatma ya elimu yao ya degree.
Huko VETA wakasome kozi za mda gani? Kwa lengo gani? Nani atagharamia ada na mahitaji mengine na nini hatma ya elimu yao ya VETA ikiwa hatma ya degree zao haijapatikana?
Mh. Samia usiogope gharama ya kuvunja bunge kwa kumtimua huyo Mh. Majaliwa.
Majaliwa ni jirani yangu huko Lindi ila kwenye mambo ya kitaifa Mimi sina jirani. Timua kabisa ili kuwepo na funzo kwa viongozi wengine waache kuongea kwa misisimko.
NJE YA MADA
Kama kuna mtoto wa Kiongozi mteule wa Rais anasoma VETA mje mnipige ngumi 4 za puani niko hapa TAZARA Dar es salaam nawasubiri.
Achana na watoto wa vichochoroni, nazungumzia mtoto aliyekulia nyumba za bure za viongozi.
mbona leo tunaona hao waliomALIZA DEGREE ZAO WANENDESHA BODA? mbona hilo hamjalilalamikia? hiyo leseni ya uendeshaji wa vyombo vya usafiri inapatikana wapi? kama sio VETA? mbona wanaenda kusoma VETA kupata Leseni? Au unadhani kupata degree ndo umemaliza maisha?
Uwen umeajiriwa au la, kasome VETA acha Uvivu, Soma tafuta kazi zinazotokana na mafunzo ya veta utakuwa na fursa ya kutengeneza Fedha. Tatizo ni kukariri ukoloni wa KuajiriwaWewe umejiajiri au umeajiriwa?
Mkuu kama unaona PM kaongea point basi utakuwa ni mtu uliyekata tamaa ya maisha kabisa. Vijana wa Tanzania wanahitaji sheria na sera bora zaidi kuweza kuwa na mifumo imara ya kuwasaidia kufanya shughuli zao. Kuendesha bodaboda sio jambo la kufurahia. Kauli ya PM inamfanya awe level moja na kina Msukuma au Babutale.Acheni ujinga nyinyi mnaorukia kauli za viongozi pasipo kutafakari na mihemuko yenu. Mheshimiwa waziri Mkuu yuko sahihi.
mbona leo tunaona hao waliomALIZA DEGREE ZAO WANAENDESHA BODA? mbona hilo hamjalilalamikia? hiyo leseni ya uendeshaji wa vyombo vya usafiri inapatikana wapi? kama sio VETA? mbona wanaenda kusoma VETA kupata Leseni? Au unadhani kupata degree ndo umemaliza maisha? Pata Ujuzi mbalimbali ili uwe marketable kwa fursa pia nyingi nyingi,
Kwaiyo mzee ukishakosa kazi serikalini ndo basi tena?Ukimaliza degree unajisajili PSRS hapo huwezi tena kuajirika kwa astashahada au stashahada labda kwa mchina ukalipwe laki mbili na nusu.
Mfumo wa PSRS hauwezi kumuajiri mtu kwa low entry level huku profile yake iko juu. Au wewe utakubali ukimaliza elimu ya degree ya miaka 3 au 4 usijisajili PSRS badala yake usubiri umalize kozi ya miaka 2 au 3 ya VETA ndipo ujisajili kwa level ya chini?
Yaani umalize degree na uisahau kabisa
Sikuelezei tena. Kama hujaelewa.Kwanza kabisa kwa kunipa historia. Ninachopingana nacho ni uwongo wa Kasimu majaliwa kuhusi afya ya Magufuli. Kwani angesema anaitwa lakini ana hali nzuri au akakaa kimya kabisa kitu gani kingetokea.
Eti "Yuko timamu na anaendelea na majukumu yake" wakati mtu kashafariki
Wqziri Mkuu inawezekana kakosea kuwasilisha hoja, inawezekana hakuiwasikisha vizuri.Hivi degree ni kitu gani kwani mtu anamaliza na hajui chochote hadi aelekezwe tena.
Waziri Mkuu yuko sawa kama hawataki wakae nyumbani wazeeke na degree zao.
Fahamu Kuna kitu kinaitwa retrain or upgrade skills to enhance your chances of either employment or self employment.Habari!
Elimu ya VETA tunaweza kuiita elimu ya kati. Wakufuzi wake ni wahitimu wa elimu za juu. Wapo pia wakufuzi wenye elimu ya kati, nawafahamu.
Bahati mbaya kauli ya Majaliwa haijawataja hao wenye degree anataka waenda VETA ni degree za fani gani, na je, nini hatma ya elimu yao ya degree.
Huko VETA wakasome kozi za mda gani? Kwa lengo gani? Nani atagharamia ada na mahitaji mengine na nini hatma ya elimu yao ya VETA ikiwa hatma ya degree zao haijapatikana?
Mh. Samia usiogope gharama ya kuvunja bunge kwa kumtimua huyo Mh. Majaliwa.
Majaliwa ni jirani yangu huko Lindi ila kwenye mambo ya kitaifa Mimi sina jirani. Timua kabisa ili kuwepo na funzo kwa viongozi wengine waache kuongea kwa misisimko.
NJE YA MADA
Kama kuna mtoto wa Kiongozi mteule wa Rais anasoma VETA mje mnipige ngumi 4 za puani niko hapa TAZARA Dar es salaam nawasubiri.
Achana na watoto wa vichochoroni, nazungumzia mtoto aliyekulia nyumba za bure za viongozi.
Huu Uzi hauna mudaa wata ufutaa...Jana nilikutana na huu Uzi nikajikunja kuchangia baada ya muda ukafutwa.Habari!
Elimu ya VETA tunaweza kuiita elimu ya kati. Wakufuzi wake ni wahitimu wa elimu za juu. Wapo pia wakufuzi wenye elimu ya kati, nawafahamu.
Bahati mbaya kauli ya Majaliwa haijawataja hao wenye degree anataka waenda VETA ni degree za fani gani, na je, nini hatma ya elimu yao ya degree.
Huko VETA wakasome kozi za mda gani? Kwa lengo gani? Nani atagharamia ada na mahitaji mengine na nini hatma ya elimu yao ya VETA ikiwa hatma ya degree zao haijapatikana?
Mh. Samia usiogope gharama ya kuvunja bunge kwa kumtimua huyo Mh. Majaliwa.
Majaliwa ni jirani yangu huko Lindi ila kwenye mambo ya kitaifa Mimi sina jirani. Timua kabisa ili kuwepo na funzo kwa viongozi wengine waache kuongea kwa misisimko.
NJE YA MADA
Kama kuna mtoto wa Kiongozi mteule wa Rais anasoma VETA mje mnipige ngumi 4 za puani niko hapa TAZARA Dar es salaam nawasubiri.
Achana na watoto wa vichochoroni, nazungumzia mtoto aliyekulia nyumba za bure za viongozi.