Endelea kulamba matako yao ila punguza kutema shit humu ujinga ujinga tu unaandika humu wa CCM
Bila kulamba nitakosa hizo shit za Kuandika so wewe broiler endelea kulalamika
 
Ufundi una hela, hausubiri mwisho wa mwezi na hupo, hupigwi doro kila siku upo kazini labda upumzike inapobidi lakini usikimbie kazi. Wacheki mafundi umeme, mafundi aluminiamu, mafundi ujenzi, mafundi rangi, mafundi bomba kila siku wao ni kazi tu tena kazi zisizo na mipaka. Awali tulidharau sana vyuo vya NVTC/VETA kwa kuwa shauku yetu ilikuwa ni kuajiriwa tu na si kujiajiri, kuwa na kijiwe/ofisi yako ya ufundi. Soko la ufundi ni kubwa pamoja na kuwepo kwa teknolojia za kisasa kama Akili mnemba/undo, IA
 
Hawa bado hawaelewi tatizo hasa la msingi tulilonalo kama nchi, hao mafundi wenyewe wanalia njaa huku mtaani!
 
Kumpeleka mtoto chuo kikuu chochote hapa Tanzania ni kupoteza pesa... mtoto akimaliza Darasa la saba mpeleke chuo cha ufundi... Mwekee hiyo pesa ya chuo kwenye account ya bank itamsaidia kama mtaji wa kujiajiri baada ya kupata ujuzi kwenye chuo cha ufundi...
 
Ni kweli ujuzi na ubunifu ndo kila kitu
 
Naona unajaribu kuzimua dilute ujumbe wa PM, pole sana, katika nazi TUI ni ile inayokamuliwa kwanza !πŸ€”πŸ€”πŸ€£πŸ€£
 
Mkuu kama upo na utaratibu wa kumuona Waziri mkuu nipe code in box,
Nitamwambia jambo la msingi na asipo nisikiliza nitaenda mshitaki ukweni Songea ,nakwambia uzuri napajua karibu na ofisi za Halmashauri fulani hivi mkabala na Peramio
Mkuu Sina channel, ndo maana nimetumia hili jukwaa kutuma ujumbe wangu,
 
Mkuu aksante sana kwa jibu lako Mujarabu kuhusu Uzi wangu.

Mosi mimi siongozwi na hisia, wala hisia za uchonganishi, isipokuwa statement yenyewe ndiyo Chongamishi YA WENYE DEGREE kusoma VETA mambo ya ufundi.

Pili nilichoandika sio nilichojazwa kichwani, hapana hii ni Pato la akili yangu baada ya kutafakari statement ya Waziri Mkuu.

Kazi ya akili ni kutafakari vitu, kuviangalia kwa jicho angavu, kuona ukweli wake, au namna kilivyopotoshwa!!

Natumain una ndugu zako wamehitimu Shahada vyuoo vikuu, wengine hawana ajira, basi Anza nao waambie waende VETA.
Yote katika yote ,nikushukuru kwa reply yako.

Mtindo wako wa uandishi umenitambulisha na kunijulisha jina na mahali unapotoka πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£ aksante sana kiongozi,Jipange jaribu Tena bahati Yako wakati ndo huu,mwaka ndo huuπŸ™πŸ™
 
Nilisema hivi miaka 5 nyuma.....

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…