Waziri Mkuu wa Israel akutana na Putin kumaliza mgogoro Ukraine, Marekani yabariki

Marekani haina tishio lolote kwa sasa wakae pembeni tu
 
Endelea kuota na wayahudi wako...kama wana uwezo wa kushinda kwanini wanaenda kupiga magoti kwa Putin? Si wampige tu wamtoe
 
Ww ni kichaa!! hakuna lingine zaid.
 
Hivi unatokea sayari ya gapi?
 
Toka nimeanza kuwajua wanaCCM wahajawahi kuniangusha kwenye kuongea ugoro . jambo lolote ukitaka liharibike na kuonekana pumba mshirikishe mwana Lumumba.
[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Asikose kuja kuonana na Amri jeshi wetu Samia Hassan,la sivyo hiyo vita itaenea hadi Brazil
 
Wakati kuna watanzania wenzetu huko Ukraine wanateseka huku wanazuiwa na viongoz wa Ukraine kutoka,huku Tanzania kuna watu wajinga na wapumbavu wamekalia upopoma wakushabikia vitu wasivyovijua...Nimekutukana tusi kubwa sana matako wewe
Ukraine iko kwa ajili ya raia wake , Wameomba msaada mmechuna basi pambanieni watu wenu , serikali yenu ipo kimya hlf mnakenua
 
Putin is an Israelite. Substantiate.
 
Hii pombe usinywe mkuu [emoji23]
 
Aisee!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…