Waziri Mkuu wa Israel akutana na Putin kumaliza mgogoro Ukraine, Marekani yabariki

Ndiyo maana nakwambia haya mambo huyajui! Ni kwamba katika nyakati hizi za mwisho,Mungu sasa hivi anawakusanya Wayahudi katika mataifa yote na kuwarejesha katika nchi yao ya ahadi,(Kumbukumbu30:3-5) na (Amos9:14-15)
Na ndiyo maana sasa hivi kuna chuki dhidi ya Wayahudi (antisemitism) mahali pengi duniani hata huko Ulaya na wakati huohuo Israel inaendelea kupanua maeneo katika ardhi za Wapalestina na kujenga nyumba kwa ajili ya Walowezi wa Kiyahudi.
Wayahudi ko kote duniani huko waliko wanaitwa walowezi wa Kiyahudi!
Kwa hiyo vita inayoendelea huko Ukraine ni njia ya kuwarudisha nyumbani,na kama nilivyosema sasa hivi Israel inaendela kutuma ndege za kuwachukua wayahudi wa Ukraine kuwaleta Israel.
 
Toka nimeanza kuwajua wanaCCM wahajawahi kuniangusha kwenye kuongea ugoro . jambo lolote ukitaka liharibike na kuonekana pumba mshirikishe mwana Lumumba.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16]oyaaaa
 
Poor you 😏
 
Wewe ni MAKERUBI?
 
Kumbe jitihada zote za kuipinga Russia ni kwasababu hii!!!?
 
Tumia kidogo ubongo wako kufikiri. Usikubali kuwa mateka wa akili.
 
Tofautisha Hao no wayahudi (wadini) but sio waisrael WA (DAMU)
 
Duh!! Hatari sana, indoctrination at highest level.
 

 
wew acha kuchanganya dini na udhalim. Kwani wakati ujerumani inapigwa kina Einstein walikuwa sio wayahudi? Kina Schrodinger walikuwa wabongo?
Nchi zote za ulaya karibu zina percentage za wayahudi, sasa unakataaje Putin sio myahudi au hadi awe anaingia kwenye masinagogi ya kiyahudi ndio uamini ni myahudi?
Hiv unajua historia ya Israel? Unajua kwanini Kirusi kilikua miongoni kwa Lugha tatu za kitaifa za Israel?
 
Hoja yako Haina mashiko

Chukulia mfano labda Russia ina population ya watu milioni 100 wayahudi chukulia wako milioni 10 ina maana wao ni minority ni only 10 percent ya population ya Russia

Haya twende Ukraine chukulia kwa mfano labda wako milioni 10 population ya nchi ya Ukraine kati ya hao milioni Kumi wayahudi wako milioni nane ambayo ni 80 percent ya population

Kwa takwimu zako ni sawa Urusi utaiona ina wayahudi wengi lakini kwenye population ni minority wakati kwa Ukraine ni majority

Hao minority wayahudi wa Urusi hawawezi kuwa na power kuzuia majority wa Russia wasivamie nchi ya wayahudi majority ya Ukraine
 
Putin sio myahudi yeye mwenyewe alikana
 
Huyo Mungu ndiye kakutuma utukane watu hovyo hivyo?

Atakuwa mungu how hirizi wa viunoni au kwapani huyo ila si Muumba mbingu na nchi [emoji38]

Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…